[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hiyo mifugo chaliiiiii ulikuwa unaitunza vipi?mshana jr sio haba hadi na wa bei poa we unao-poa
au ndo kuisoma namba
Kuna siku nilikwenda na mtoto G house ya buku mbili nilitoka na mifugo(kunguni). sasa asubuhi nipo kanisani mtu akanigusa anamuona mfugo unaingia bandani (makalioni). niliacha kwenda mwaka mzima kwa aibu ya hawa jamaa.
watu mna experience za mambo hadi raha 😀😀😀Geust House za bei chee 3,000 mpaka 5,000
1. chabo
2. kunguni
3. kuchafu
4. luku tatizo
5. maji tatizo
6. watu kufanya kijiwe hasa kile chumba cha muhudumu
7. vitanda telemka tukaze(mishindo mitatu chaga zote chini)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]ndala vipande kisha hazifanani rangiGeust House za bei chee 3,000 mpaka 5,000
1. chabo
2. kunguni
3. kuchafu
4. luku tatizo
5. maji tatizo
6. watu kufanya kijiwe hasa kile chumba cha muhudumu
7. vitanda telemka tukaze(mishindo mitatu chaga zote chini)
Kuna PAPA na NGURU, au sometimes wanazikata ili kuziharibu shape
hii inasaidia zisiibiwe maana mtu aliyelipa 2000 hashindwi kusepa na kandambili za 1500Kuna PAPA na NGURU, au sometimes wanazikata ili kuziharibu shape
ndo uende masakiMkuu usinivuruge maana kesho nina ratiba ya uko na goma jipya