Tahadhari epukeni gesti za bei poa uswazi

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hiyo mifugo chaliiiiii ulikuwa unaitunza vipi?
 
nilishatoa mada humuunajuaje kama umtegeshewa kitu chumbani
 
wakuu hivi hawa wanaokula chabo wanafaidika na nini eti mbona siwaelewi?
 
Sikumoja nilitoka mkoani kufika dar guest Fulani saa tatu usiku ikawa imejaa , muhudumu akutuambia Wateja tusubiri baada ya nusu saa vyumba vitatu vitakuwa wazi maana jamaa watakuwa wamemaliza kazi (ngono ya short time)
 
[emoji121] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwahiyo mkuu ukawa mteja Wa kikwapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…