Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mshana Jr hujawahi kuigiza tangazo la kondomu kweli au nakufananisha?
kazi Kweli Kweli, hii Inaitwa kula uliweeKuna vibinti na mashangingi yaliyoshindikana yanadhalilisha wanaume
Vigesti vya bei poa vina mambo ya ajabu. Vimetegeshewa darubini zisizoonekana kwenye mwanga hafifu wa taa na hata smart phone kwa sasa
Kuna wapenda chabo hulipia hiyo huduma Kuona ngono live
Wanaume wanadhalilika na kudhalilishwa huko bila kujijua
Mitindo ya tanganyika jeki cha katimchuzi juu na mingineyo ni dhalili kwa wanaume bila kujijua wanaonwa live![]()
Vile vibinti na ile michangu usione unaifanya matusi kwa bei poa ikaridhika, kuna malipo mengine yanawasubiri
Kama huwezi kabisa kujizuia kwenda huko hakikisha hukubali masharti yao ya ziada na tafadhali zima taa ujilie vyako gizani! Utaokoka na mengi
Nimecheka kinomaMshana Jr hujawahi kuigiza tangazo la kondomu kweli au nakufananisha?
Sasa asubuhi nipo kanisani mtu akanigusa anamuona mfugo unaingia bandani (makalioni). niliacha kwenda mwaka mzima kwa aibu ya hawa jamaa.[emoji23]mshana jr sio haba hadi na wa bei poa we unao-poa
au ndo kuisoma namba
Kuna siku nilikwenda na mtoto G house ya buku mbili nilitoka na mifugo(kunguni). sasa asubuhi nipo kanisani mtu akanigusa anamuona mfugo unaingia bandani (makalioni). niliacha kwenda mwaka mzima kwa aibu ya hawa jamaa.
Legend...!Geust House za bei chee 3,000 mpaka 5,000
1. chabo
2. kunguni
3. kuchafu
4. luku tatizo
5. maji tatizo
6. watu kufanya kijiwe hasa kile chumba cha muhudumu
7. vitanda telemka tukaze(mishindo mitatu chaga zote chini)
Ila nililala....haya
Mkuu lugha inakupiga chenga nn!?Huwa unaenda Ulaya au?