Teeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeeeh ndiyo wasomi hao wa kariakoo shimoniWasomi Simba! Hahahaaa.. Asikusikie Aden Rage! Walioitwa mambumbumbu na mwenyekiti wao wa Club ni team ipi!
Wanaodai points 3 ilihali wamefungwa na wamekiuka kanuni za rufaa ni nani..
Walioshindwa kuisoma na kuielewa mikataba ya wadhamini wa Club na kuingizwa Chaka na Sportpesa ni nani.... Hao ndo wasomi sio,. Hahahahaaaa
Simba hakuna msomi wacha kudanganya watu wewe mmeigia mkenge mkasaini 880m/annual wakati wenzenu yanga wamelamba 950m/annualKaka nenda kajifunze sheria ya mkataba ( contact law) simba mpk sasa wameingia mkataba na mdhamini mmoja tu naye ni sport pesa. Mo siyo mdhamini bali alikuwa anaikopesha timu na deni lake mpk sasa ni 1.4 bilion mdhamini hakopeshi sisi wana msimbazi ndo tunajua nyie wapita njia hamjui chochote kuhusu simba
Swali zuri sanaHivi mkopo hauna mkataba?.... Mkataba ni nini msomi wa Simba
Wasomi ni kina Hassan Dalali!!!!Kipukuswa alikuwa hajui kusoma wala kuandika na aliiongoza simba ya wasomi
Na kubeba magunia ya viazi kariakoo shimoniWamesoma sana kaswidaaaa
Na ndiyo sababu wameenda kumpigia magotiMkataba ni makubaliano yoyote yanayotambulika kisheria.kulikuwa na makubaliano kati ya simba na Dewj ambayo yamekiukwa.
Msomi ndani ya simba ni manaraKama yana legal entity mwambieni aende mahakama Kichwa chenye akili kubwa Aveva kashasaini
Nyinyi si mbumbumbu Fc hamjui haki zenu.
Sasa kama Uongozi unazingua kwa nini wabaki madarakani kama Raisi wenu asiye na Nchi wala ikulu Aveva ni wa kuwatimua tu ata kwa magongo.
Angekuwa kwa wakimataifa(YANGA ) tusingekubali abaki mpaka Leo kawaona nyinyi Mbumbumbu Fc A.K.A wamatopeni .
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Aveva ana akili kubwa? Toka lini,Aveva kilaza yule,kama Aveva ana akili kubwa basi,Simba ni nzi na mkiacha ujinga ipo siku mtatengeneza asali.
Amuweze wapi Wema?hiyo nauli ya kwenda India kwenye matibabu kachangiwa na yangaHawatazipata,safarii yule Manara wao alisema wakikosa Ubingwa anamuoa wema sepetu na amuoe sasa,
Jengo la simba hadi sasa lipo mikononi mwa wakopeshaji wahindi wenye akili walishakulaAveva kashituka mhindi alikuwa anataka aendelee kutukopesha kesho itokee kama vyura fc deni la bilion 11 Aveva hapendi ujinga kaka.
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh mkuu umemsahau na Hasan Dalali bingwa wa kupiga tumbaSimba wasomi wengi akina bi. Hindu na Msagasumu
Waze wa simba ni mabingwa wa madogoriWazee wamechachamaaa wamesema Mo asipojiondoa WataROGA MTU.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaaaa jamaa kaandika maneno matano umemjibu ukurasa mzima, angeandika ukurasa je, si ungeandaa kitabu kizima.
Teteteeeh, ndo mafanikio waloyapata makubwa kwao ni hayo tu.. Mwaka wa sita huu, wanajivunia kumfunga Yanga goli 5, kwao ndio fahari kubwa kama Yanga akija kuifunga Manchester United.... Kampeni za viongozi wa simba ni yule atakae ahidi kuifunga Yanga, bhhaaassss.. Huyo ndie kiongozi anayewafaa simba. Teteteeeh. Mbumbumbu bhana!Yafaa tujikumbushe kidogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Teteteeeh, ndo mafanikio waloyapata makubwa kwao ni hayo tu.. Mwaka wa sita huu, wanajivunia kumfunga Yanga goli 5, kwao ndio fahari kubwa kama Yanga akija kuifunga Manchester United.... Kampeni za viongozi wa simba ni yule atakae ahidi kuifunga Yanga, bhhaaassss.. Huyo ndie kiongozi anayewafaa simba. Teteteeeh. Mbumbumbu bhana!
Mkuu...nimesema tujikumbushe tu..POVU LA NN!?Teteteeeh, ndo mafanikio waloyapata makubwa kwao ni hayo tu.. Mwaka wa sita huu, wanajivunia kumfunga Yanga goli 5, kwao ndio fahari kubwa kama Yanga akija kuifunga Manchester United.... Kampeni za viongozi wa simba ni yule atakae ahidi kuifunga Yanga, bhhaaassss.. Huyo ndie kiongozi anayewafaa simba. Teteteeeh. Mbumbumbu bhana!