Tahadhari: Ipo siku hewa tunayovuta tutailipia kodi ili ipatikane pesa ya kulipa mikopo chechefu

Tahadhari: Ipo siku hewa tunayovuta tutailipia kodi ili ipatikane pesa ya kulipa mikopo chechefu

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Hii mikopo tunayobugia kwa pupa hivi tutakuja kuilipa kupitia puani. Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF

Muda wa kulipa ukifika, tunaweza hata kuambiwa tulipie hii hewa tunayovuta, maana ni rasilimali ya serikali na tulipe kama tunavyolipa kodi ya ardhi. Unapimwa uzito wako kisha unaenda TRA kukadiriwa wastani wa hewa unayovuta kwa mwezi na kupewa control number ukalipe, haina jinsi, mikopo chechefu lazima ilipwe!
Tena tutaambiwa tule nyasi ikibidi, ila mikopo ilipwe na riba yote!









===========================


Update: 15/06/2022
Kila mTanzania anaevuta hewa ya Tanzania na mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 atatakiwa kuilipia kodi


=========================
Update: 17/06/2022
 
Kukopa si tatizo mkuu bali mikopo ina tija kwa taifa
Isije tokea wanakopa tuuu kwa faida ya wachache
Manake deni la taifa lina zidi kupaaa
Au ndio tutabinafsishwa

Saa ya ukombozi ni sasa
Rip Rev Mtikila
Mfano mzuri ni kusema Zanzibar ni nchi hivyo wapate mgao sawa kwa sawa, hiyo ni akili au utaahira, halafu deni tunalipa sisi, huo ni wendawazimu, na wanaotufanyia huu mchezo mchafu wakapimwe akili
 
kama ni kwa maendeleo yetu na kizazi kijacho hakuna shida hata kidogo. ila ukizoea vya buree utapata shida sana.

tatizo tulizoea sana misaaada kutoka mataifa ambayo wananchi wake wanatoa kodi kwa maendeleo ya nchi zao sasa sisi bado tumelemaa kusubiria misaada.

tuache upumbavu tutoe kodi hata kama ni ya hewa ilimradi maendeleo tunayaona.
 
Mambo ya Kesho wewe utakuwa haupo so tuwaachie wajukuu watalipa deni mkuu.
Sasa wewe unatofauti gani na aliyeuza ndugu zake utumwani, kwakuwa si wewe utakaekuwa unalima mashamba huko utumwani basi hujali, hata sasa tunalipa mikopo ya akina Mkapa, Mwinyi, na Kikwete na ya JPM pia, tutapigwa mnada jamani
 
kama ni kwa maendeleo yetu na kizazi kijacho hakuna shida hata kidogo. ila ukizoea vya buree utapata shida sana.

tatizo tulizoea sana misaaada kutoka mataifa ambayo wananchi wake wanatoa kodi kwa maendeleo ya nchi zao sasa sisi bado tumelemaa kusubiria misaada.

tuache upumbavu tutoe kodi hata kama ni ya hewa ilimradi maendeleo tunayaona.
Kwahio tulishindwa kuzalisha kwa pesa za misaada ila sasa ndio tunaweza kuzalisha kwa pesa za kulipia riba ?

Shida hatujajua tatizo ni nini na lipo wapi kwahio ni mwendo wa "To Cut your Nose to Spite your Face"
 
Sasa wewe unatofauti gani na aliyeuza ndugu zake utumwani, kwakuwa si wewe utakaekuwa unalima mashamba huko utumwani basi hujali, hata sasa tunalipa mikopo ya akina Mkapa, Mwinyi, na Kikwete na ya JPM pia, tutapigwa mnada jamani
We ishi leo kula kunywa sali Sana do what you can hayo Mambo ya madeni watalipa wajukuu zako mfano wewe hapo una 40+ yrs then unajipa stress za bure kuhusu gvnmt debts haifai

Jpm kakopa Sana now hayupo ? Mfano uo.
 
Kwahio tulishindwa kuzalisha kwa pesa za misaada ila sasa ndio tunaweza kuzalisha kwa pesa za kulipia riba ?

Shida hatujajua tatizo ni nini na lipo wapi kwahio ni mwendo wa "To Cut your Nose to Spite your Face"
Riba za hii mikopo ni balaa, trillion 10 kila mwaka tunalipa mikopo, mariba matupu!!
 
We ishi leo kula kunywa sali Sana do what you can hayo Mambo ya madeni watalipa wajukuu zako mfano wewe hapo una 40+ yrs then unajipa stress za bure kuhusu gvnmt debts haifai

Jpm kakopa Sana now hayupo ? Mfano uo.
Kwanini unawapeleka watoto wako shule? Jiulize. Pia Hii mikopo inaiva ndani ya miaka michache tu, hivyo tutailipa sisi wenyewe, si mtoto wala mjukuu, ni sisi wenyewe tutailipa , na mariba juu.
 
We ishi leo kula kunywa sali Sana do what you can hayo Mambo ya madeni watalipa wajukuu zako mfano wewe hapo una 40+ yrs then unajipa stress za bure kuhusu gvnmt debts haifai

Jpm kakopa Sana now hayupo ? Mfano uo.
Kama ni hivyo, kwanini babako alikupeleka shule? Angefanya starehe ukikua yeye hayupo utajua mwenyewe?
 
kama ni kwa maendeleo yetu na kizazi kijacho hakuna shida hata kidogo. ila ukizoea vya buree utapata shida sana.

tatizo tulizoea sana misaaada kutoka mataifa ambayo wananchi wake wanatoa kodi kwa maendeleo ya nchi zao sasa sisi bado tumelemaa kusubiria misaada.

tuache upumbavu tutoe kodi hata kama ni ya hewa ilimradi maendeleo tunayaona.
Mkopo ni buree?
 
Hii mikopo tunayobugia kwa pupa hivi tutakuja kuilipa kupitia puani. Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF

Muda wa kulipa ukifika, tunaweza hata kuambiwa tulipie hii hewa tunayovuta, maana ni rasilimali ya serikali na tulipe kama tunavyolipa kodi ya ardhi. Unapimwa uzito wako kisha unaenda TRA kukadiriwa wastani wa hewa unayovuta kwa mwezi na kupewa control number ukalipe, haina jinsi, mikopo chechefu lazima ilipwe!





Rubbish and nonsense
 
Back
Top Bottom