FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #21
Na kila siku tunakatwa tozo ya madawati na madarasaUsikute pesa zinaenda kuongezea madarasa na kuongezea matumbo ya mafisadi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kila siku tunakatwa tozo ya madawati na madarasaUsikute pesa zinaenda kuongezea madarasa na kuongezea matumbo ya mafisadi.
Then this is not a proper way to run any organization. Huwezi endesha kila kitu kwa mikipo...ipo siku deni litakua kubwa to a point ukitoa pesa za matumizi na kuservice deni huna unacho baki nacho, huna uwezo wa kukopa na huna kipato cha ziada.Usilolijua ni sawa na usiku wa giza...hiyo mikopo unayoipiga vita ndio inasababisha wadogo wanaajiriwa na mishahara kwa watumishi inaongezwa....hivi unahisi kodi inayopatikana kwenye vyanzo mbalimbali vya mapato inatosha kwa kila kitu?.....
Wamerudisha kodi yankichwa tayari, kazi ipoThen this is not a proper way to run any organization. Huwezi endesha kila kitu kwa mikipo...ipo siku deni litakua kubwa to a point ukitoa pesa za matumizi na kuservice deni huna unacho baki nacho, huna uwezo wa kukopa na huna kipato cha ziada.
Kama deni linaongezeka na ratio sio sambamba na Maendeleo, watanzania tunaibiwa hapo... 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳
kukopeshana kwa riba ndo mna Uislamu umekataa hya mambo ya riba mna yanazidi kumdhoofisha mkopweshajiHii mikopo tunayobugia kwa pupa hivi tutakuja kuilipa kupitia puani. Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF
Muda wa kulipa ukifika, tunaweza hata kuambiwa tulipie hii hewa tunayovuta, maana ni rasilimali ya serikali na tulipe kama tunavyolipa kodi ya ardhi. Unapimwa uzito wako kisha unaenda TRA kukadiriwa wastani wa hewa unayovuta kwa mwezi na kupewa control number ukalipe, haina jinsi, mikopo chechefu lazima ilipwe!
Tena tutaambiwa tule nyasi ikibidi, ila mikopo ilipwe na riba yote!
===========================
Update: 15/06/2022
Kila mTanzania anaevuta hewa ya Tanzania na mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 atatakiwa kuilipia kodi
Serikali: Kila Mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi
"Kila mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi. Ili kutimiza amza hiyo, Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN) kwa kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 au zaidi" "Kwa kuwa utaratibu wa usajili wa namba ya utambulisho...www.jamiiforums.com
Ni unyonyaji sawa na wa kikoloni tukukopeshana kwa riba ndo mna Uislamu umekataa hya mambo ya riba mna yanazidi kumdhoofisha mkopweshaji