Tahadhari: Kimbunga hiki/upepo mkali ukiambatana na mvua kubwa huenda vikatokea pwani ya Tanzania

Kimbunga Jobo.
 
Per CNN kuna vimbunga viwili tu kama hiki vilivyoipiga Dar es salaam, mwaka 1952 na mwaka 1872 hapo mji ulikuwa bado unaanzishwa.
Kwa hiyo ni ishu serious! Mbona kama mamlaka zimezubaa!? nikikumbuka kile cha Msumbiji mwaka juzi naingiwa na hofu sana. Kama kawaida yetu tutaanza kutafutana na kukimbizana baada ya majanga.
 
Kwa hiyo ni ishu serious! Mbona kama mamlaka zimezubaa!? nikikumbuka kile cha Msumbiji mwaka juzi naingiwa na hofu sana. Kama kawaida yetu tutaanza kutafutana na kukimbizana baada ya majanga.
Msumbiji mbona hata January mwaka huu kuna kingine kilipiga.

Inaonekana kama mabadiliko ya hali ya hewa yanafanya hivi vimbunga viwe vinatokea zaidi siku hizi.

 
Kongamano lilishamaliza kila kitu
 
Kimbunga kinaitwa Jobo weekend hii kitatandika Mikoa ya Pwani, Dar es salaam ikiwemo. Mvua za kufa mtu hasa hasa Jumapili 25/April/2021
Your browser is not able to display this video.


 

Attachments

Likitokea ilo Katrina nitarudisha imani na TMA.
 
Tulitakiwa tufanyaje sasa mkuu . Tupanic na kuanza kuukimbia mji?
Mkuu la msingi ni kufuata tahadhari zilizotolewa na watalaamu..hoja yangu ilikua ni wangapi wanafuatilia hizi habari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…