Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwenyewe unakumbatia matapeliPasi kuficha mim nilishasamehe kabisa nilichukulia uenda mtu kakwama, maana ni karibu miez 5, Nilipogundua ni tapeli kama matapeli wengine nikamwambia nitakurusha kwenye mitandao watu wakujue ndio akakimbilia polisi kuwa nimemtukana, sasa sijui hao polisi wanaokumbatia matapeli wanaashiria nin.
Hv kwel unadhan heshima yangu inaweza jengwa na watu jf?? Heshima yangu inajengwa na watu wanaonifahamu sio kwa kuambiwa, bali wanaonifahamu kiuhalisia.Wewe mwenyewe unakumbatia matapeli
ni kweli nadhan admin hata hili lizingatiwe pia ...mana linaweza leta shidawasiwasi wangu ni kwamba watu wataanika hata watu ambaosio matapeli bali wanachuki nao binafsi
...huyu manzi analeta mbogamboga tu hapa!...eti anajidai 120000 si pesa mingi wakati anaungaunga buku buku za maziwa toka Makongo hadi Kimara!
...kweli ujinga kipaji!
....hahahahahahaha...acha mboyoyo we kausha tu!unazidi kujichoresha maskini!Kweli kabisa akili yako imeishia hapo kufikiri???? nicheke mie
Dogo mim sitegemei maziwa, pia sichagui kazi kwenye kutafuta atiii, nenda kwenye blog yangu utajua nafanya nin, nenda fb kafungue page yangu kaone pia, mwisho na nyingeza, ni mwajiriwa pia nalipwa na serikali yako pia. Kama 120000 unaiona nyingi, mim naweza kukulipia ada private miaka yako yote unayosoma. Upo hapo???
ASANTE.Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF.
Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwaanika (tutaanzisha thread maalum kwa ajili ya hili).
Nisisitize, IWENI MAKINI NA MATAPELI!
Weka picha ili tumuepukeKuna tapeli humu namjua kwa sura na
Tabia
Ikifungwa siyo dawa coz atafungua nyingine kwa ID tofautikama imethibitika ni tapeli, ifungwe akaunti yake, na ndo dawa pekee!
Moja ya mbinu za matapeli ni kuongea dili kubwa kubwa.Nilikamatika kwenye basi kwa kuwekewa dawa za usingizi (dawa za kulevya) kwa sababu ya kumuamini MTU kwa maongezi yake.Nilijifunza kitu maana niliibiwa kila kituMtu mwenyewe ukimuona hata huwezi kumzania, mazungumzo yake ni dili za mil 10 kuendelea, unaweza sema AC yake ina fedha za escrow kumbe shwain mkubwa, anatapeli watu kuishi mjini.
Na kwake anapajua...teh teh teh...hapa kuna zaidi ya tunayoambiwa!
...umletee mdaiwa mipasho ya khanga wakati njia rahisi ilikuwa kumpelekea kipira tu kwake?!!
...hujaja kututahadharisha wewe hapa!
I doubt kwa Mara ya kwanza mteja aliacha chenji kwa muuzaji kuwa usijali ni vitu vidogoKwa maelezo yako inaonekana hamkuishia kwenye biashara tu,mlienda mile tano mbele kwenye uhusiano kwanza maana hata kama iweje huwezi kumpa pesa yote hiyo mtu mliejuana mda mfupi tu. Alafu ukizingatia wafanya biashara walivyo wabahili na ndio maana hutaki kutaja Id take.
Ukikopa kwa mdada 100000 lkn siku moja ukamsurprise kwa zawadi ya 500000 usije ukafikiri deni la laki moja litakuwa limeisha.ni kweli kabisa ila inaonyesha kuna kitu kinakunyima nguvu kwenye hili.
1. Unapajua anapoishi but u never tried to go and pick ur money!!
2. Kumtaja mtu aliyekutapeli wazi wazi kabisa unaogopa...
huyu mtu ulihusika nae zaidi ya biashara ya maziwa!!!