TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

Apologize Lady ni miongoni mwa wadada nawa respect mno humu JF.
Ila kwa hili,naona nimekushusha daraja mpaka ligi ya mchangani,
Unajua wewe ni mfanyabiashara,na mazingira ya tukio yanaweza kukushushia heshma bila kujua.Nakuambia hivyo kwakuwa mie mwenyewe ni mfanyabiashara.
Huwezi kutapeliwa,halafu unazunguuushaeee kutaja ID ya mhusika.Kama amekutapeli wewe basi kuna wengine kibao wapo kwenye foleni,sasa usipo taja basi uzi wako hausaidiii chochote,maana ataendelea kutapeli kama kawaida.

Na ukiangalaia pia mazingira kama wanavyosema wenzangu hapo juu ni kwamba hakuna kiumbe yoyote duniani anaweza kufanya kama umevyofanya,na ndio maana maswali yanakuwa ni mengi kuliko majibu.

Yakiharibika kwenye mambo yenu,yamalizeni hukohuko,msituletee upuuzi wenu huku.Haisaidii kitu,mtajuana wenyewe.
Hii itakuharibia status yako kibiashara bila kujua,utakuja kuniambia
 
Pasi kuficha mim nilishasamehe kabisa nilichukulia uenda mtu kakwama, maana ni karibu miez 5, Nilipogundua ni tapeli kama matapeli wengine nikamwambia nitakurusha kwenye mitandao watu wakujue ndio akakimbilia polisi kuwa nimemtukana, sasa sijui hao polisi wanaokumbatia matapeli wanaashiria nin.
Wewe mwenyewe unakumbatia matapeli
 
Wewe mwenyewe unakumbatia matapeli
Hv kwel unadhan heshima yangu inaweza jengwa na watu jf?? Heshima yangu inajengwa na watu wanaonifahamu sio kwa kuambiwa, bali wanaonifahamu kiuhalisia.

Mtu asiyenijua sina habar nae hata kidogo.
1456341915683.jpg
 
wasiwasi wangu ni kwamba watu wataanika hata watu ambaosio matapeli bali wanachuki nao binafsi
ni kweli nadhan admin hata hili lizingatiwe pia ...mana linaweza leta shida
nadhan tungechambua utapeli ni kama upi na upi hilo ndo lamsing ...mana mtu atauziwa kitu ataenda huko ataharibu mwenywe then atarud atasem katapeliwa ..so admin u have to make analysis pia ya utapeli

kw mm najua utapel ni pale mmekubaliana mnafanya biashara then mtu mnafanya appointment then ukifika eneo la tukio anaanza kusema ooh njoo huku njoo huku mwishowe had unaibiwa uaiposhtuka mapema .... so hyo ni changamoto sana esp kwa wafanyabiashara mana hawa matapeli wanambinu nying sana kama huna hekima unaibiwa mchana kweupe
 
...huyu manzi analeta mbogamboga tu hapa!...eti anajidai 120000 si pesa mingi wakati anaungaunga buku buku za maziwa toka Makongo hadi Kimara!
...kweli ujinga kipaji!

Kweli kabisa akili yako imeishia hapo kufikiri???? nicheke mie

Dogo mim sitegemei maziwa, pia sichagui kazi kwenye kutafuta atiii, nenda kwenye blog yangu utajua nafanya nin, nenda fb kafungue page yangu kaone pia, mwisho na nyingeza, ni mwajiriwa pia nalipwa na serikali yako pia. Kama 120000 unaiona nyingi, mim naweza kukulipia ada private miaka yako yote unayosoma. Upo hapo???
 
Kweli kabisa akili yako imeishia hapo kufikiri???? nicheke mie

Dogo mim sitegemei maziwa, pia sichagui kazi kwenye kutafuta atiii, nenda kwenye blog yangu utajua nafanya nin, nenda fb kafungue page yangu kaone pia, mwisho na nyingeza, ni mwajiriwa pia nalipwa na serikali yako pia. Kama 120000 unaiona nyingi, mim naweza kukulipia ada private miaka yako yote unayosoma. Upo hapo???
....hahahahahahaha...acha mboyoyo we kausha tu!unazidi kujichoresha maskini!
 
Kweli kabisa na matangazo yao ya biashara na ajira
 
Wakuu,

Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:

Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF.

Tunafahamu kuna ambao mmeshalizwa, tafadhali tufahamisheni ili tuweze kuwaanika (tutaanzisha thread maalum kwa ajili ya hili).

Nisisitize, IWENI MAKINI NA MATAPELI!
ASANTE.
 
jf can't and never come to became guilts of any "on air transaction business"
 
Mtu mwenyewe ukimuona hata huwezi kumzania, mazungumzo yake ni dili za mil 10 kuendelea, unaweza sema AC yake ina fedha za escrow kumbe shwain mkubwa, anatapeli watu kuishi mjini.
Moja ya mbinu za matapeli ni kuongea dili kubwa kubwa.Nilikamatika kwenye basi kwa kuwekewa dawa za usingizi (dawa za kulevya) kwa sababu ya kumuamini MTU kwa maongezi yake.Nilijifunza kitu maana niliibiwa kila kitu
 
Kwa maelezo yako inaonekana hamkuishia kwenye biashara tu,mlienda mile tano mbele kwenye uhusiano kwanza maana hata kama iweje huwezi kumpa pesa yote hiyo mtu mliejuana mda mfupi tu. Alafu ukizingatia wafanya biashara walivyo wabahili na ndio maana hutaki kutaja Id take.
I doubt kwa Mara ya kwanza mteja aliacha chenji kwa muuzaji kuwa usijali ni vitu vidogo
 
ni kweli kabisa ila inaonyesha kuna kitu kinakunyima nguvu kwenye hili.
1. Unapajua anapoishi but u never tried to go and pick ur money!!
2. Kumtaja mtu aliyekutapeli wazi wazi kabisa unaogopa...
huyu mtu ulihusika nae zaidi ya biashara ya maziwa!!!
Ukikopa kwa mdada 100000 lkn siku moja ukamsurprise kwa zawadi ya 500000 usije ukafikiri deni la laki moja litakuwa limeisha.
 
Back
Top Bottom