TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...


kuna jamaa anaitwa gmabumbe yupo humu ndani anauza vifaa vibovu ukishampa pesa anatokomea kabisa, I think something should be done
 
avatar yako imeniacha hoi!!!
 

Taja ID yake tumjue,humu ndani tapeli maarufu ni Kitomari2 aka culboy huyo jamaa ni hatari yani ni sheeeda kifupi ni waalade.
 
Last edited by a moderator:
king kong nmeshasema MIMI SIO KITOMARI, em jaribu kupitia post zote za kitomari2 na za kwangu halafu utagundua kwamba kuna ki2 kilitokea somewhere.
 
huyu mtu anajiita ukwelikitugani ashawahi kuniliza hela zangu! Pia alimdhulumu huyu dada sweetbaby.

ukwelikitugani, nimekusamehe ila naomba nikutaje kwa faida ya wanaJF wengine wasijedhulumiwa na wewe.
 
Last edited by a moderator:

huyo tapel,mtaje tuuuuu
 
kama imethibitika ni tapeli, ifungwe akaunti yake, na ndo dawa pekee!

Mkuu mbona hiyo haitamcost sana mtuhumiwa coz si lazima atabadilisha ID tuu na ataendelea na utapeli wake km kawa dawa yao watangazwe tu id zao na washughulikiwe ipasavyo
 
Habari wakuu, jf inasaidia sana ukiwa unataka kununua ama kuuza kitu. Nimeshawahi kununua mara nyingi na kuuza pia bila tatizo lolote ila moja tu ambalo limenifika.

Niliuziwa ipad 2 na huyu MWALUPALE 0652834080 kumbe ilikuwa mbovu yani baada ya siku mbili tu mpaka leo haiwaki kila mjuzi wa ipad nikimpelekea anasema mbovu na pia ishawahi kufunguliwa.

Najuta maana nilimnunulia mzee wangu mpaka sasa sijui ananionaje. Nilijaribu kuwasiliana naye akasema nimfate morogoro mara yupo ifakara mara ilikuwa sio yake, kwenye uuzaji huo aliambulia 40,000 tu na sasa hapokei wala hajibu msg.

Sawa nimekubali nimemuachia Mungu. Lakini kuweni waangalifu.
 
Mbona mnakuza mambo! Jf ni free online forum iwe kwa siasa biashara mpnzi au umbea etc!

Sasa kazi kwako unapoingia kwenye reality world kwenda kuona bidhaa live! Hata madukani watu utapeliwa au sokoni sio jf tu! Akili yako tu
 
Na unanunuaje kitu bila guarantee! Mi sioni kama issue! Ila ikithibitika umetapeliwa na si uzembe wako aanikwe! Kumbuka hapa ni Mjini
 
kuna jamaa m1 yupo humu nmemsahau jina ila katika avata yake anabonge la bichwa, kwa kweli huyo jamaa ni tapeli sana.
 
Mimi namtafuta mtu mmoja ni tapeli wa maswala ya kazi sana, namba yake ninayo,hebu nisaidien wana jf, nitatoa dau lolote ili nimpate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…