Evarm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 1,994
- 1,540
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekupa tahadhari, mbona imeeleweka?! Take it or leave it.Kama unashindwa kumtaja tukamfahamu. Unamaana gani kututahadharisha kwa mtu ambae hatumjui??!
Nikosa nimelifany, lakin nilimsadia kiungwana tu, kwa kua niliamin ATM yake inatatizo na ilikuwa ni jumapili.Nimekutoa akili kabisa... unamkopesha mteja?
Labda kama Id mbili.Naona umeamua kuniumbuwaaa
teh teh teh
pole mamy .. mi nimchoyo asingekula hata maziwa yangu bila kulipa.. usichezee pesa yangu kabisa
Pole sana ma dear,binadamu bana sio wema kabisaa,mwanamme ulokamilika unakula hela ya mdada tena anayejitafutia ule tu yaan hivi hivi tu nyambafu zake,tena ulimsaidia lkn hana hata haya mtaje hapa tumjue ili iwe dawa na kwa wengine
Mtu mwenyewe ukimuona hata huwezi kumzania, mazungumzo yake ni dili za mil 10 kuendelea, unaweza sema AC yake ina fedha za escrow kumbe shwain mkubwa, anatapeli watu kuishi mjini.Juzi nilisema tunaishi na majambazi humu ndani
hao wenye kuongea ongea mara nyingi waongo.. wanao piga madili wanakula kimya kimyaMtu mwenyewe ukimuona hata huwezi kumzania, mazungumzo yake ni dili za mil 10 kuendelea, unaweza sema AC yake ina fedha za escrow kumbe shwain mkubwa, anatapeli watu kuishi mjini.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] hapo utashangaa wenyewe yupo busy kubadili avatar na Id!Naona umeamua kuniumbuwaaa
teh teh teh
Nikosa nimelifany, lakin nilimsadia kiungwana tu, kwa kua niliamin ATM yake inatatizo na ilikuwa ni jumapili.
Simuamin tena mtu, kanitoa kwenye utu, hata mteja sasa hvi hajalipa pesa hanitoi kumpelekea mzigo.hao wenye kuongea ongea mara nyingi waongo.. wanao piga madili wanakula kimya kimya
tena uwe kauzu hasa bora uyanywe wewe kuliko kuuza kwa hasaraSimuamin tena mtu, kanitoa kwenye utu, hata mteja sasa hvi hajalipa pesa hanitoi kumpelekea mzigo.
Kwanza alikuwa na mpango wa kuniteketeza, maana mashambulizi yake ya mara niazime tena laki 2 nipakupa pamoja na ile, ningemuendekeza hapa ningekuwa naomba mtaji muda huu, maana angenimalizaBiashara za kumfuata au kumpelekea mteja alipo... ni kheri uonekana na roho mbaya kuliko kumuonea imani... utalizwa...
Kwanza alikuwa na mpango wa kuniteketeza, maana mashambulizi yake ya mara niazime tena laki 2 nipakupa pamoja na ile, ningemuendekeza hapa ningekuwa naomba mtaji muda huu, maana angenimaliza