TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

Next time chukua tahadhari zaidi...si vizuri hata kumpelekea mzigo mteja nyumbani hasa hawa wa kukutana mtandaoni...thank God hajakufanyia kitu mbaya ulipoenda kwake
 
Haya sawa nitalifanyia kazi ila tatizo langu kwenda kwenye PM siwezi kabisa hivyo suspects wangu nitawataja wazi hapa hapa kwenye uzi wako
Weee, angalia harahara na majina ya watu hapa.

Wakati wa kuunga dot zingatia, mahali mtu anaposema anapatikana, aina na shughuli anayoifanya humu nk. Usianze kuunga dot kwa waazaji utaingia chaka
 
Matapeli wengi Sana humu,Kuna mpuuzi mwingine akajifanya yupo kijijini huko singida na Kuna wadada kibao wa kazi.kwakua nilikua na shida nikaanza kuwasiliana nae,Mara akaniambia amepatikana ongea nae,nikiongea na huyo dada network mbovu nikiongea na huyo dada network mbovu ila simu akiwa nayo huyo tapeli anasikika vzr kabisa.akaniambia tuma hela ya udalali na nauli ya huyo binti.

nikamuuliza atapandia basi wapi anasema singida mjini,nikamwambia ukifika stand kesho na huyo bint nakutumia hiyo hela yako,siku hiyo nikatuma 15,000 ya kutokea kijijini,kesho asubuhi akaniambia yupo stand na bint wanasubiri basi,nikamtuma jamaa yangu aenda hapo stand akamcheki huyo jamaa na binti kama anafaa.

nikampigia simu kumwambia hivyo na nikamwambia hela yako jamaa anayo hapo hapo stand,baada ya hapo hakupokea simu tena
 
Sisi ni binadamu, mtu anaweza kukuface akawa kweli anatatizo unampa na mtu anarudisha au anakueleza ukweli wapi ka kwama na wakati gani atakupatia, unajua matatizo ni mapito tu. na ningeweza kumuachia hyo hyo maana nilimpa tareh 9/8/2015 lakin nilipojua ni tapeli nikasema atailipa tena kwa aibu.

msg zote ninazo kwenye sim hivo sina shaka.

Kwa haraka nilichogundua huyu jamaa ni tapeli na ndio style yake ya maisha, kuna uwezekano kishawaliza wengi, maana hata life style yake sio mtu wa kuwa wazi, haeleweki anafanya shughuli gani ila ukimkuta humu yupo kuuliza vitu vya 500000 na kuendelea, sijawah muona kwenye post za vitu vya 30000kushuka.
Pia kumjua kwa ID hakuta saidia maana hapa anaweza kubadili
ID, toeni shaka mtumjua tu soon.
Unaonaje Tukimloga , Aote mapele mpaka kwenye Ulimi

Finally hyo Guka yako yote akulipa na akishakulipa Tu upele wote unaisha.
 
Hao matapeli njaa Mura , tapeli sugu anajpanga Sana. PIA acheni kuamini msiowajua hata unajua acha ya NTAKUTUMIA HELA UNI..... UTATAPELIWA HATA KAMA NI NDUGU YAKO USIMWAMINI KABISA.
 
Kwa maelezo yako inaonekana hamkuishia kwenye biashara tu,mlienda mile tano mbele kwenye uhusiano kwanza maana hata kama iweje huwezi kumpa pesa yote hiyo mtu mliejuana mda mfupi tu.

Alafu ukizingatia wafanya biashara walivyo wabahili na ndio maana hutaki kutaja Id take.
 
Kwa maelezo yako inaonekana hamkuishia kwenye biashara tu,mlienda mile tano mbele kwenye uhusiano kwanza maana hata kama iweje huwezi kumpa pesa yote hiyo mtu mliejuana mda mfupi tu. Alafu ukizingatia wafanya biashara walivyo wabahili na ndio maana hutaki kutaja Id take.

unfold
 
Atabadili ID kivipi ?? Kuna mtu mwenye access ya kubadilisha ID JF ?? Mimi nachoona ni kwamba kuna kitu upande wa pili wa stori hutaki tujue ,sasa hii mada imekuja hapa kutuambia kuweni makini na kaka jambazi halafu hajulikani ???
Kwa hiyo nikimjua kwa sura kesho akija kunitapeli hapa jamii forum sura yake ndio inatokea ??
Ni bwana yake haiwezekani mtu isiyemjua ukampa pesa kirahisi namna hiyo,hivi unajua wafanya biashara walivyo wabahili ukipungukiwa mia tu hakuuzii kitu itakuwa laki mbili.
Daah'polen saana aseeh,ata mm mwaka jana nlitapelewi elfu.50 umu na jamaa uyoo nikamtishia polis akaniambia sisi wote wanaume tusifanyiane ayoo mambo ntakulipa tu ndo mpaka leo kbaya zaid aliweka tangazo la biashara,mm nkachukua no.yake tu na kumchek cjamfta pm,so ckujua anatumia I'd gan mpak leo...ila ww ungeweka I'd ya uyoo jamaa kam unaijua..

Mim siweki ID ila mtamjua kwa sura kupitia huko polisi alikojipeleka, jambo dogo sana kumjua.

Wapo matapeli wengi sana humu ndani. Mimi nishawahi kutapeliwa na Hawa @ukwelikitugani na Miki . Ila dada apologize lady ni bora ungemtaja ili sisi wengine tuweze kumuepuka humu jf. Pia atasikia aibu kuwaibia watu wengine maana watu wanakuwa wameshafahamu ID yake.
 
Back
Top Bottom