Tahadhari: Kuwa makini na mtu anayeomba simu yako atumie

Tahadhari: Kuwa makini na mtu anayeomba simu yako atumie

Josey j

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2017
Posts
466
Reaction score
908
Habari ndgu wana jamii forums,

Niende moja kwa moja kwenye mada kama nlivyoanza kutoa tahadhari

Kwa ufupi ni hivi, usimpe simu janja yako mtu usiemfaham aitumie kwa namna yoyote ile la sivyo ikitokea unataka kumpa basi hakikisha unakua makini kwa kile afanyacho,

Je, unajua mtu anaweza kubeba details zako muhimu za mifumo ya kifedha? Mwisho wa siku unaweza pukutishwa pesa ukaishia kupata kichaa! Kua makini sana na watu wanaoshka simu janja yako

Mtu anaweza kuwepa programme flan kwenye simu yako bila ya wewe kujua mwisho wa siku akapata siri zako nyingi kuhusu wewe na akapanga ni siku gani ya kukuacha masikini ndan ya muda mfupi( hili nime prove mimi mwenyewe) namb ya siri yako ni yangu pia!!
 
Kikulacho ki nguoni mwako, mke wako. Mume wako, mtoto wako, rafiki ako au ndgu yako unaemwamini ndio rahisi zaidi kukuumiza na usijue kwa sababu unajua hujawahi mwambia mtu namb yako ya siri,

Nimetaja hayo makundi kua ni rahs zaidi kukuumiza kwa sababu ili wizi huo ufanikiwe ni lazma mwizi afanikiwe kuishika simu yako zaid ya mara moja, haiwezi kuzidi mara tatu,

Mara ya kwanza akishka ataweka hiyo programme, mara ya pili atashka kwa ajiri ya kuchukua siri alizopata(namb ya siri ya mifumo yako ya kifedha ataipata punde utakapo fanya muamala wowote ule a, iwe kutuma, kutoa, kununua muda wa maongezi nk, baada ya hapo atakutafutia siku ya kukuumiza tu,

POLENI NA MIHANGAIKO BANGUGU!!
 
Kikulacho ki nguoni mwako, mke wako. Mume wako, mtoto wako, rafiki ako au ndgu yako unaemwamini ndio rahisi zaidi kukuumiza na usijue kwa sababu unajua hujawahi mwambia mtu namb yako ya siri,

Nimetaja hayo makundi kua ni rahs zaidi kukuumiza kwa sababu ili wizi huo ufanikiwe ni lazma mwizi afanikiwe kuishika simu yako zaid ya mara moja, haiwezi kuzidi mara tatu,

Mara ya kwanza akishka ataweka hiyo programme, mara ya pili atashka kwa ajiri ya kuchukua siri alizopata(namb ya siri ya mifumo yako ya kifedha ataipata punde utakapo fanya muamala wowote ule a, iwe kutuma, kutoa, kununua muda wa maongezi nk, baada ya hapo atakutafutia siku ya kukuumiza tu,

POLENI NA MIHANGAIKO BANGUGU!!
Hiyo program inaitwaje mkuu
 
cha muhimu hapo weka password app zote muhimu ambazo mtu hutaki aingie bila ruhusa yako kama tgo pesa, whatsapp , playstore, gallery...etc.
 
Simu Nampa,anaitumia,ananirudishia,tena labda ni ndani ya dakika zisizozidi 5,kwanini nimnyime?
Mtoa mada hajaweka bayana ni namna gani mhalifu anaweza akanitendea uhalifu,bila mimi kujua,kaongea generally.Anyway,asante kwa tahadhari.
 
Kikulacho ki nguoni mwako, mke wako. Mume wako, mtoto wako, rafiki ako au ndgu yako unaemwamini ndio rahisi zaidi kukuumiza na usijue kwa sababu unajua hujawahi mwambia mtu namb yako ya siri,

Nimetaja hayo makundi kua ni rahs zaidi kukuumiza kwa sababu ili wizi huo ufanikiwe ni lazma mwizi afanikiwe kuishika simu yako zaid ya mara moja, haiwezi kuzidi mara tatu,

Mara ya kwanza akishka ataweka hiyo programme, mara ya pili atashka kwa ajiri ya kuchukua siri alizopata(namb ya siri ya mifumo yako ya kifedha ataipata punde utakapo fanya muamala wowote ule a, iwe kutuma, kutoa, kununua muda wa maongezi nk, baada ya hapo atakutafutia siku ya kukuumiza tu,

POLENI NA MIHANGAIKO BANGUGU!!
Sisi wa iphone 📱 haituhusu
 
Hiyo program inaitwaje mkuu
mkuu lengo ni kutoa tahadhari watu wasijekumbwa na kua wahanga wa huu wizi kabla vibaka wa Tanzania hawagundua,(watu wapate elimu kwanza kabla haujawa applied kwa kwa kiwango kikubwa)
 
Hii ishu ndgu wana jf nimeprove utendaji wake mimi mwenyewe, it works 98%

Hili jaribio nimefanya kwa boss wangu kwa makubaliano kua sitochukua pesa yoyote ile, alikubaliana na mimi nikafanya kazi ndani ya dakika 7 nlimwambia namb yake ya siri anayotumia na mengne mengi, kiukweli alishangaa sanaa, ni mwezi umepita tangu nimfanyie vile , tangia siku ile amekua akinihofia sanaa na ananiheshimu sana tofauti na mwanzo, na amekua akinitania kua hela zake zikipotea atajua ni mimi, nimempa uhuru kua kama ana wasi wasi abadilishe namb ya siri na asinipe tena simu yake nishike,
 
Back
Top Bottom