Hii ishu ndgu wana jf nimeprove utendaji wake mimi mwenyewe, it works 98%
Hili jaribio nimefanya kwa boss wangu kwa makubaliano kua sitochukua pesa yoyote ile, alikubaliana na mimi nikafanya kazi ndani ya dakika 7 nlimwambia namb yake ya siri anayotumia na mengne mengi, kiukweli alishangaa sanaa, ni mwezi umepita tangu nimfanyie vile , tangia siku ile amekua akinihofia sanaa na ananiheshimu sana tofauti na mwanzo, na amekua akinitania kua hela zake zikipotea atajua ni mimi, nimempa uhuru kua kama ana wasi wasi abadilishe namb ya siri na asinipe tena simu yake nishike,