Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
sijatumia mitambo ya aina yoyote. Nimetambua kwa sababu nishawah kuambiwa na watu wa karibu kua siwezi kujieleza vzuri kwa maandishi na matamshi, pia mefaham kua si mwandish mzuri kwa sababu najua uandish ni fani ya watu pia kuna kanuni zake ili uandishi wako ueleweke,Umejuaje au umetumia mitambo ipi kujua weye si mwandishi nguli?
Hujaeleweka unataka kusema nini au unasema nini na Wenye Akili hapa JamiiForums labda kwa Mazuzu tu Umeeleweka.Habari ndgu wana jamii forums,
Niende moja kwa moja kwenye mada kama nlivyoanza kutoa tahadhari
Kwa ufupi ni hivi, usimpe simu janja yako mtu usiemfaham aitumie kwa namna yoyote ile la sivyo ikitokea unataka kumpa basi hakikisha unakua makini kwa kile afanyacho,
Je, unajua mtu anaweza kubeba details zako muhimu za mifumo ya kifedha? Mwisho wa siku unaweza pukutishwa pesa ukaishia kupata kichaa! Kua makini sana na watu wanaoshka simu janja yako
Mtu anaweza kuwepa programme flan kwenye simu yako bila ya wewe kujua mwisho wa siku akapata siri zako nyingi kuhusu wewe na akapanga ni siku gani ya kukuacha masikini ndan ya muda mfupi( hili nime prove mimi mwenyewe) namb ya siri yako ni yangu pia!!
ukarimu wetu muda mwingine hua unatukostiWengine akaunti zao zinasoma zero iwe bank akaunti,tigopesa/Mpesa nk.
Hofu kubwa ni kwenye matumizi ya kihalifu.
Tunashukuru kutukumbusha ila sisi watz hatujazoea kunyimana hata mbususu anapewa yeyote anayeomba bila masharti ya matumizi yake.
mkuu humu jf kuna watu wenye ufahamu tofauti, kuna wengine wataona meleta kitu kdgo mno nadhani wewe ni mmoja wao, yawezekana pia mimi ndio nimechelewa sana kujua mambo ila naamini wapo pia wale ambao wamechelewa zaidi kujua mambo na hao ndio watapata hii elimu,Hujaeleweka unataka kusema nini au unasema nini na Wenye Akili hapa JamiiForums labda kwa Mazuzu tu Umeeleweka.
Umesema kitu cha maana sana hapa ndugu yangu ila tatizo usilolijua ni kwamba at least 95% of all smart phones users are all end users wanaojua kubonyeza button ya simu tu na baada ya hapo hawajui kabisa ni nini huwa kinatokea.Habari ndgu wana jamii forums,
Niende moja kwa moja kwenye mada kama nlivyoanza kutoa tahadhari
Kwa ufupi ni hivi, usimpe simu janja yako mtu usiemfaham aitumie kwa namna yoyote ile la sivyo ikitokea unataka kumpa basi hakikisha unakua makini kwa kile afanyacho,
Je, unajua mtu anaweza kubeba details zako muhimu za mifumo ya kifedha? Mwisho wa siku unaweza pukutishwa pesa ukaishia kupata kichaa! Kua makini sana na watu wanaoshka simu janja yako
Mtu anaweza kuwepa programme flan kwenye simu yako bila ya wewe kujua mwisho wa siku akapata siri zako nyingi kuhusu wewe na akapanga ni siku gani ya kukuacha masikini ndan ya muda mfupi( hili nime prove mimi mwenyewe) namb ya siri yako ni yangu pia!!
Ili ui apply?Hiyo program inaitwaje mkuu
Zamani kwenye daladala, mtu anaomba simu anambipu mwizi mwenzie, baada ya dakika 10, mtu anaibiwa simu wanaanzisha kafujo kidogo, then mmoja wao anamwambia abu beep, hapo simu yako inaita, kabla watu wengine hawaja tafakari, tayari umeshapokea kipigo na simu wameshachukua na kushuka.Simu Nampa,anaitumia,ananirudishia,tena labda ni ndani ya dakika zisizozidi 5,kwanini nimnyime?
Mtoa mada hajaweka bayana ni namna gani mhalifu anaweza akanitendea uhalifu,bila mimi kujua,kaongea generally.Anyway,asante kwa tahadhari.
Labda katumia matakoUmejuaje au umetumia mitambo ipi kujua weye si mwandishi nguli?
Ahaa haaaah naona umeisha ipenda mkuu.Hiyo program inaitwaje mkuu
Ahaa haaaah naona umeisha ipenda mkuu hiyo APP ya udukuzi.Hiyo program inaitwaje mkuu
Duuuh! asante.Zamani kwenye daladala, mtu anaomba simu anambipu mwizi mwenzie, baada ya dakika 10, mtu anaibiwa simu wanaanzisha kafujo kidogo, then mmoja wao anamwambia abu beep, hapo simu yako inaita, kabla watu wengine hawaja tafakari, tayari umeshapokea kipigo na simu wameshachukua na kushuka.
Habari ndgu wana jamii forums,
Niende moja kwa moja kwenye mada kama nlivyoanza kutoa tahadhari
Kwa ufupi ni hivi, usimpe simu janja yako mtu usiemfaham aitumie kwa namna yoyote ile la sivyo ikitokea unataka kumpa basi hakikisha unakua makini kwa kile afanyacho,
Je, unajua mtu anaweza kubeba details zako muhimu za mifumo ya kifedha? Mwisho wa siku unaweza pukutishwa pesa ukaishia kupata kichaa! Kua makini sana na watu wanaoshka simu janja yako
Mtu anaweza kuwepa programme flan kwenye simu yako bila ya wewe kujua mwisho wa siku akapata siri zako nyingi kuhusu wewe na akapanga ni siku gani ya kukuacha masikini ndan ya muda mfupi( hili nime prove mimi mwenyewe) namb ya siri yako ni yangu pia!!
Mtu tu kutumia line yako uliyosajiliaNashukuru kwa angalizo.
Bora mimi natumia kimulika mwizi (Kitochi) au pia anaweza chukua taarifa zangu.
Imekuwaje tenaNimeona huko fp murembo kajiua kisa mambo hayo hayo
Sawa, hilo nalifajhamu. Swali langu lilikuwa, Je mtu anaweza kuchukua taarifa zangu kama password na nyinginezo kama natumia kitochi?Mtu tu kutumia line yako uliyosajilia
Kwa mazungumzo,mipango ya kutenda uhalifu,au kutukana mtu nk
Inaweza kuku cost,na hikohiko kitochi chako
Ova
Walikudanganya.Umeandika vizuri hadi nimetumia uzi wako kuwa marejeo ya habari.ππππsijatumia mitambo ya aina yoyote. Nimetambua kwa sababu nishawah kuambiwa na watu wa karibu kua siwezi kujieleza vzuri kwa maandishi na matamshi, pia mefaham kua si mwandish mzuri kwa sababu najua uandish ni fani ya watu pia kuna kanuni zake ili uandishi wako ueleweke,