TAHADHARI kwa wale wanaopenda kufanya mapenzi na wasichana wa ndani wa kazi

TAHADHARI kwa wale wanaopenda kufanya mapenzi na wasichana wa ndani wa kazi

sifa ya mwanaumeeeeeeeeeeeeeee...MASHINE
 
Asante kwa taarifa nadhani itasaidia wengi sababu huwa wanawachukulia wasichana wakazi kama wapo salama sana kumbe the opposite


kwahiyo mkuu huwa unawaomba huduma tu..
kwakuwa unadhania kuwa wako Salama...??
 
Ni kweli mkuu hiyo nimeona nikivyo panga mabibo kuna Sister mmoja hivi alipanga chumba na sebule... Humo anakaa na mtoto wake, Mdogo wake wa kiume na Dada yake... Na huyo Mdogo wake alikua anashindaga sana chuo na alikua nalala huko lakini likizo analala pale...

Sasa yule mfanyakazi alikua anagegedwa na huyo kijana mida ya chana Sister ake ekienda kuhangaikia tumbo yan chakula... Mbaya zaidi huyo kijakazi alikua na ukimwi..

Na ilijukikana pale ambapo alikua anaongea na Sister mmoja ambaye alipanga chumba kimoja maana lugha ni moja na kabila moja akawa anamwambia nimesahau arv zangu ntafanyeje kupata hapa mjini...

............,..................................

Lakini kijana alikua anajilia tuuu... Lakini kumla mwenye ukimwi sio ni kupata ukimwi inategemeana na mapenzi yenu


duuuhhhh ningekuwa mimi ndiye huyo kijana aliyekuwa anamgegeda kisha nikayaskia hayo maongezi yao
nadhani ICU PANGENIHUSU
 
Hawa mabinti wa vijijini wanangonoka sana tena hovyohovyo si wa kuwaamini kabisa.
Umeongea kweli mkuu walio wengi wanakuwa wameshakubuhu ni wachache ambao wanakuwa hiyo michezo hawajaianza.
 
sisi Ni watu wazima bana potelea mbali. Siyo kwako tu tumeshasikia huu ushauri ninmiaka nenda Rudi. Qutomber hatutaacha hasa hasa ya kuibia tamu Sana.

Kama Akina Samsoni Na daudi watu way Mungu Hadi Mungu mwenyewe alikuwa Benet nao walishindwa kuvumilia Yani Samsoni Licha ya kutandaza miti uyahuduni hakuridhika alikuwa anafuata nyap Hadi ukanda was Gaza ije iwe sisi kizazi hiki Cha qisayngeh manabii zetu Ni Mzee wa upako Na gwajima?

Tuache bana tutandaze miti Kama ukipangiwa kufa Na ngoma ndio hivyo huwez badilisha

hahaaaa isije ikawa unawashauri wenzio qutomber ..huku wewe mwenyew nimuoga zaidi ya kunguru...mwisho wasiku wenzio wanapata magonjwa kwaajili ya ushauri wako...wakati huohuo wewe unapeta tu
 
Papuch znazotoka kijijini sijui znakuwaje sijui kwa nini watu wanazipenda
 
Umeongea kweli mkuu walio wengi wanakuwa wameshakubuhu ni wachache ambao wanakuwa hiyo michezo hawajaianza.
Nimeyashuhudia sana kuna kazi moja nilikuwa nafanya vijijini nimeshuhudia sana.
 
Ndio watu waelewe humu, hawa wasichana wa kazi ni hatari sana. Pia si uungwana kwa mwanaume kumcheat mkeo kwa house girl.
Walio wengi wenye tabia hizo huwa wanaona ndio uanaume huo ila mie kwa upande wangu nawaona ni wanaume ambao kwanza hawajithamini na hata wake zao hawawathamini sababu mke na msaidizi inatakiwa wawe na utofauti sasa mtu akitaka kuwageuza kuwa ni watu wanaofanana huwa nawashangaa sana aiseee.
 
Walio wengi wenye tabia hizo huwa wanaona ndio uanaume huo ila mie kwa upande wangu nawaona ni wanaume ambao kwanza hawajithamini na hata wake zao hawawathamini sababu mke na msaidizi inatakiwa wawe na utofauti sasa mtu akitaka kuwageuza kuwa ni watu wanaofanana huwa nawashangaa sana aiseee.
Ni kutojitambua tu, unajua kuna namna unaweza msababishia sononeko la kudumu mwanamke wako kwa tamaa za kipuuzi sana.

Unapoanzisha uhusiano ni vema kujitoa sadaka na kuachana na tamaa zisizo za msingi, maana mnakuwa ni kama nafsi moja inayoishi ktk miili miwili.
 
Ni kutojitambua tu, unajua kuna namna unaweza msababishia sononeko la kudumu mwanamke wako kwa tamaa za kipuuzi sana.

Unapoanzisha uhusiano ni vema kujitoa sadaka na kuachana na tamaa zisizo za msingi, maana mnakuwa ni kama nafsi moja inayoishi ktk miili miwili.
Kweli kabisa Mkuu ila walio wengi wanatanguliza mahitaji yao kwanza hivyo unakuta hata wake zao hawawawazii.

Ila ni jambo baya sana kwa baba mwenye nyumba kutembea na mdada wa kazi.
 
Duuu nimekula beki 3 Wangu wawili na wa jirani 1.
Lakini niko salama.....kesho wife anafata mwingine......ni kisu....balaa.
Kuvumilia huwezi mkuu
 
Kweli kabisa Mkuu ila walio wengi wanatanguliza mahitaji yao kwanza hivyo unakuta hata wake zao hawawawazii.

Ila ni jambo baya sana kwa baba mwenye nyumba kutembea na mdada wa kazi.
Heshima ni kitu muhimu sana.
 
Kabisa, ila wanaume wengi huwachukulia hawa mabinti kama washamba na hawajui kitu hivyo hudhani ni salama, hivyo hujiachia sana.
Hakuna watoto wapenda ngono kama wa vijijini tena kule ndani ndani ambapo Barabara kubwa na nzuri ni ile ya Mwenge, kwao ngono haina kipingamiza kabisa, kikubwa wazazi hasa wa kiume wasijue na huyo akija mjini anatembea na yeyote humo ndani hata ikiwezekana baba na watoto wa kiume wote kikubwa ni kujua kuwapanga tu
 
Ni kutojitambua tu, unajua kuna namna unaweza msababishia sononeko la kudumu mwanamke wako kwa tamaa za kipuuzi sana.

Unapoanzisha uhusiano ni vema kujitoa sadaka na kuachana na tamaa zisizo za msingi, maana mnakuwa ni kama nafsi moja inayoishi ktk miili miwili.
Wawanawake wa kileo hawajitambui ivi kama Boxer na chakula ananipikia house gal ww unategemea nini apo? Unakuta mwanamke kucha ndefu ni yeye na dressing table hata utamu wa K unapungua sass H girl na zile pilikapilika halafu ukivizia walah hutaongea haya apa
 
Wawanawake wa kileo hawajitambui ivi kama Boxer na chakula ananipikia house gal ww unategemea nini apo? Unakuta mwanamke kucha ndefu ni yeye na dressing table hata utamu wa K unapungua sass H girl na zile pilikapilika halafu ukivizia walah hutaongea haya apa
Ulimuoa vipi asiyejitambua kama na wewe si mmoja wapo?!
 
Hakuna watoto wapenda ngono kama wa vijijini tena kule ndani ndani ambapo Barabara kubwa na nzuri ni ile ya Mwenge, kwao ngono haina kipingamiza kabisa, kikubwa wazazi hasa wa kiume wasijue na huyo akija mjini anatembea na yeyote humo ndani hata ikiwezekana baba na watoto wa kiume wote kikubwa ni kujua kuwapanga tu
[emoji1] hatari sana.
 
Back
Top Bottom