Tahadhari kwa wanaoagiza bidhaa kutoka china:- Kampuni ya mapembelo cargo kwa sasa haiaminiki tena

Tahadhari kwa wanaoagiza bidhaa kutoka china:- Kampuni ya mapembelo cargo kwa sasa haiaminiki tena

50cent

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
294
Reaction score
216
Kuna watu nikiwemo na mimi wameagiza mizigo yao toka July hadi sasa hivi November hawajapokea na matumaini kama watapokea au imepotea haijulikani, huduma kwa wateja hawapokei simu au majibu wanayotoa ni ya uongo.

Kabla hatujatapeliwa wengi bora tutoe tahadhari na kama wamo humu waje watoe majibu.

Ukitaka kuamini kasome maoni kwenye page yao ya Instagram
 
Mapembelo kumejaa Wakinga humo wanaitumia sana wauza mitumba na nguo wa Kariakoo. Somehow Mapembelo wana kasi kubwa kidogo na bei zao pungufu kiasi kuliko giant mmoja hivi ambaye kila kampuni inashindana nae.

Hujasema ulipoteza mzigo gani kama ni loose cargo kupotea sio jambo geni. Kila kampuni unayoona inapoteza mizigo na kuchelewesha. Hakuna 100% kuwa kila kitu kitakuwa sawa ingawa huduma kwa wateja inabidi iwepo nzuri na fidia ya kupoteza au kuharibika iwepo.

Natumia Silent Ocean. Pia GNM wapo vizuri.
 
Mapembelo kumejaa Wakinga humo wanaitumia sana wauza mitumba na nguo wa Kariakoo. Somehow Mapembelo wana kasi kubwa kidogo na bei zao pungufu kiasi kuliko giant mmoja hivi ambaye kila kampuni inashindana nae.

Hujasema ulipoteza mzigo gani kama ni loose cargo kupotea sio jambo geni. Kila kampuni unayoona inapoteza mizigo na kuchelewesha. Hakuna 100% kuwa kila kitu kitakuwa sawa ingawa huduma kwa wateja inabidi iwepo nzuri na fidia ya kupoteza au kuharibika iwepo.

Natumia Silent Ocean. Pia GNM wapo vizuri.
Kama mzigo ukipokea nani anaeajibika kulipa
Au ndo inakuwa basi tena Ushukuru ujipange upya
 
Kuna watu nikiwemo na mimi wameagiza mizigo yao toka July hadi sasa hivi November hawajapokea na matumaini kama watapokea au imepotea haijulikani, huduma kwa wateja hawapokei simu au majibu wanayotoa ni ya uongo.

Kabla hatujatapeliwa wengi bora tutoe tahadhari na kama wamo humu waje watoe majibu.

Ukitaka kuamini kasome maoni kwenye page yao ya Instagram
Kama ni mzigo wa meli tumia silent ocean
 
Mwezi wa 5 nilikua Guangzhou nikaenda ofisi yao ipo maeneo yanayoitwa Baiyun lake street kama sijakosea nikatuma mzigo flani ila ulifika kwa wakati labda wameanza uhuni sahivi
Bora wewe ulienda ofisini kwao, sisi wa online ni maumivu
 
Mapembelo kumejaa Wakinga humo wanaitumia sana wauza mitumba na nguo wa Kariakoo. Somehow Mapembelo wana kasi kubwa kidogo na bei zao pungufu kiasi kuliko giant mmoja hivi ambaye kila kampuni inashindana nae.

Hujasema ulipoteza mzigo gani kama ni loose cargo kupotea sio jambo geni. Kila kampuni unayoona inapoteza mizigo na kuchelewesha. Hakuna 100% kuwa kila kitu kitakuwa sawa ingawa huduma kwa wateja inabidi iwepo nzuri na fidia ya kupoteza au kuharibika iwepo.

Natumia Silent Ocean. Pia GNM wapo vizuri.
Nenda kwenye page yao ya Instagram.

Hawa jamaa wamekuwa MATAPELI

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom