TAHADHARI: Mboga za majani wanazokula wakazi wa Dar ni sumu tupu

TAHADHARI: Mboga za majani wanazokula wakazi wa Dar ni sumu tupu

hayo maji yatokayo serengeti hamlewi kweli??
utakuta mtu anakula mchicha afu analewa.

sjawah kula, watu wa karbu na hapo hununua.
wakat nasoma kbasla nlshuhud a hayo huku wak oshea maj yaleyale mteja anapopewa mboga
 
Inabidi tubadilike na tupande mboga zetu wenyewe
 
Kuna mboga nyingine zinatoka kando ya mto kimara mbezi. Pengine hizo zinaweza kuwa salama kidogo. Tatizo ni kuwa sijasikia chombo husika kikifanyia uchunguzi mboga zinazouzwa katika masoko ya Dsm.
wako busy na vipodozi
 
yaani karibu kila kitu sasa ni sumu tu tungoje kudedi
 
Nimeileta hii mada huku kwa makusudi kwakuwa inahusika na mapishi lakini vile vile na afya zetu kwakuwa mapishi na afya haviachani

Sehemu kubwa ya mboga za Darisalama zinatoka mabonde ya mto msimbazi ,Mandela road bonde lililoko kituo cha garage ,jangwani kigogo sambusa na maeneo ya Tandale na kwingineko
maji yanayopita kwenye mabonde haya ni machafu ,yenye kemikali toka viwandani ,yenye vinyesi toka vyooni nk ndio hayo hayo yanayonyweshea mbogamboga hizi tangu kuchipua hadi kukomaa
kwa vyovyote vile maji haya yakipimwa ni wazi yatakutwa na kiwango kikubwa cha sumu mbali mbali zinazosababisha magonjwa kansa na ngozi
uchafu tunaoutupa kwenye mito ipitayo kwenye haya mabonde kama betri za z simu na magari material za friji mbovu computer mbovu nk nk vyote hivi vimebeba kemikali zenye sumu kali
Tusipochukua tahadhari tutaishia kuongeza vyumba pale Ocean road kwenye ile hospital ya kansa

Ni kweli issue ya mboga hapa Dar ni changamoto kubwa sana. Mimi ninadhani kuna fursa ya biashara kwa anaeweza kulima mboga salama, kama ataweza kushawishi walaji
 
Ni kweli issue ya mboga hapa Dar ni changamoto kubwa sana. Mimi ninadhani kuna fursa ya biashara kwa anaeweza kulima mboga salama, kama ataweza kushawishi walaji
Duu hii post ya mwaka juzi hii asante kwa kuipa uhai tena
 
Mkuu hili ni tatizo. Watu wanashindwa kujua hata uchemshe vipi vijidudu vitakufa lkn Chemicals hazifi.
Mercury,lead, na heavy metals ndio zimevyonzwa kwenye hiyo michicha na spinach.

Madhara ya heavy metals
Inarreact na ions nyingi mwilini ambazo ni muhimu kwa uasfilishaji Wa taarifa.
Zinapopungua unaugua Ugonjwa Wa akili unaitwa MINAMATA.Japan wanaojua hbr yake.

Nini kifanyike
NEC na waziri Wa mazingira Mpina, wapige marufuku shuguli zote za kuliko bondeni maana hakuna jinsi lzm viwanda vitoe waste, na vinyesi havina effects kama heavy metals japo sio salama pia.
Pili ruvu hapo na kule mto wami, au mito mikubwa ya krb na dar es salaam, itengwe maeneo maalumu VEGETABLEs MASS PRODUCTION HUB. Hizi zililishe jiji.

Wakishindwa hili maana sioni nia mwenyewe wamewekeza zaidi kwenye viwanda. Hata kama tumepanga anzisha home based simple garden. Badala ya kupanda maua panda mchicha,vitunguu hata kabichi. Kuna jamaa Kenya analisha mtaa mzima kwa kulima spinach kwenye magunia huani kwake.
 

Attachments

  • download.jpg
    download.jpg
    10.6 KB · Views: 214
  • 183697187.jpg
    183697187.jpg
    43.3 KB · Views: 109
Mkuu hili ni tatizo. Watu wanashindwa kujua hata uchemshe vipi vijidudu vitakufa lkn Chemicals hazifi.
Mercury,lead, na heavy metals ndio zimevyonzwa kwenye hiyo michicha na spinach.

Madhara ya heavy metals
Inarreact na ions nyingi mwilini ambazo ni muhimu kwa uasfilishaji Wa taarifa.
Zinapopungua unaugua Ugonjwa Wa akili unaitwa MINAMATA.Japan wanaojua hbr yake.

Nini kifanyike
NEC na waziri Wa mazingira Mpina, wapige marufuku shuguli zote za kuliko bondeni maana hakuna jinsi lzm viwanda vitoe waste, na vinyesi havina effects kama heavy metals japo sio salama pia.
Pili ruvu hapo na kule mto wami, au mito mikubwa ya krb na dar es salaam, itengwe maeneo maalumu VEGETABLEs MASS PRODUCTION HUB. Hizi zililishe jiji.

Wakishindwa hili maana sioni nia mwenyewe wamewekeza zaidi kwenye viwanda. Hata kama tumepanga anzisha home based simple garden. Badala ya kupanda maua panda mchicha,vitunguu hata kabichi. Kuna jamaa Kenya analisha mtaa mzima kwa kupika spinach kwenye magunia huani kwake.
Waziri wa afya waziri wa mazingira TFDA na TBS wanapaswa kupita huku
 
Mh.Kigwagwala....achana na press fanya kazi.Kwa muda mfupi tu tangu uwe Waziri tumekuona more than enough kwenye media na to make worse mara zote una angalia camera....usifanye hivyo.Mbogmboga zitatuuwa achana na ma gate ya wizarani.
 
Pandeni mboga mboga muache kununua

Kama huna nafasi panda kwenye makopo au madumu ya lita 20 unayakata kiurefu toboa kidogo kuvujisha maji panda mboga
Kweli kabisa unakuta watu wana ishi sehemu kubwa halafu kapanda maua kubao ambayo kiukweli yana mandhari nzuri lakini hayana faida hata kimvuli hakina,
Bora angepanda hata nyanya maana umwagiliaji ni ule ule
1459420837346.jpg
 
Mh.Kigwagwala....achana na press fanya kazi.Kwa muda mfupi tu tangu uwe Waziri tumekuona more than enough kwenye media na to make worse mara zote una angalia camera....usifanye hivyo.Mbogmboga zitatuuwa achana na ma gate ya wizarani.

Nimekuelewa mkuu, lakini kuuza sura huku hata mimi mwenyewe kunanikanganya na hawa jamaa wa JPM
 
sio Dar pekee, Dodoma mboga za majani zinatoka sehemu moja inaitwa swaswa ambapo sewage system za mji mzima zimeelekezwa kule hivyo kuweka bwawa ambalo linatumika kwa kilimo. ukiona mazao yanayotoka huko kama ni mboga za majani zinakuwa zimenawiri kweli kweli, kuna kipindi walikuanza kuongelea hili suala sina uhakika kama walizuia au la ila hali ni mbaya maeneo mengi. tujenge ule utaratibu wa zamani wa kujilimia mboga zetu nyumbani
 
sio Dar pekee, Dodoma mboga za majani zinatoka sehemu moja inaitwa swaswa ambapo sewage system za mji mzima zimeelekezwa kule hivyo kuweka bwawa ambalo linatumika kwa kilimo. ukiona mazao yanayotoka huko kama ni mboga za majani zinakuwa zimenawiri kweli kweli, kuna kipindi walikuanza kuongelea hili suala sina uhakika kama walizuia au la ila hali ni mbaya maeneo mengi. tujenge ule utaratibu wa zamani wa kujilimia mboga zetu nyumbani.
 
Nimeileta hii mada huku kwa makusudi kwakuwa inahusika na mapishi lakini vile vile na afya zetu kwakuwa mapishi na afya haviachani

Sehemu kubwa ya mboga za Darisalama zinatoka mabonde ya mto msimbazi ,Mandela road bonde lililoko kituo cha garage ,jangwani kigogo sambusa na maeneo ya Tandale na kwingineko
maji yanayopita kwenye mabonde haya ni machafu ,yenye kemikali toka viwandani ,yenye vinyesi toka vyooni nk ndio hayo hayo yanayonyweshea mbogamboga hizi tangu kuchipua hadi kukomaa
kwa vyovyote vile maji haya yakipimwa ni wazi yatakutwa na kiwango kikubwa cha sumu mbali mbali zinazosababisha magonjwa kansa na ngozi
uchafu tunaoutupa kwenye mito ipitayo kwenye haya mabonde kama betri za z simu na magari material za friji mbovu computer mbovu nk nk vyote hivi vimebeba kemikali zenye sumu kali
Tusipochukua tahadhari tutaishia kuongeza vyumba pale Ocean road kwenye ile hospital ya kansa
mimi kabla ya kununua huwa nawauliza je mboga hizi ni za bonde gani,wakiniambia msimbazi nawaambia ninazo
 
Waziri wa afya anafunguwa supermarket ya mtu binafsi...why..????kwa nini asitembelee sehemu hatarishi zinazolimwa mbogamboga....Jamani kuweni realistic na kama the job huiwezi mwambie Waziri Mkuu the shoes are too big.
 
Ni kweli tupu. eti bustani inamwagiliwa kwa maji ya mto msimbazi hii si hatari jamani?
 
Back
Top Bottom