Tahadhari: Mbowe usipobadilika, kuna siku utazomewa kama Masauni

Tahadhari: Mbowe usipobadilika, kuna siku utazomewa kama Masauni

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hii ni tahadhari yangu kwa Mbowe kuwa ustaarabu na uvumilivu wake sasa ufike kikomo, vinginevyo kuna siku watu watakuzomea kama ilivyokuwa kwa Masauni leo kwenye msiba wa Mzee Kibao.

Wenzako hawa hawana ustaarabu na hata shukurani hawana. Umekuwa muungwana sana katika kuongoza harakati za mageuzi, ila wenzako hawathamini huo ustaarabu bali wao wanachojali ni kulinda madaraka hata kwa gharama za maisha ya watu..

Leo umefanya ustaarabu kumuokoa Masauni, ila kesho ni hawa hawa Mboga mboga wataleta propaganda za kuwa wewe ni CCM ndio maana ulimlinda Masauni ili tu kukudhoofisha wewe na CHADEMA kwa ujumla.

Mbowe, badilika, hawa watu ni hatari sana na hawana ustaarabu wale punje ya aibu linapokuja swala la kulinda madaraka yao.

Soma Pia: Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

Alichoongea Lema, ndio ulipaswa uongee wewe kama mwenyekiti, na huenda hata Lema hakuridhika na hotuba yako ila tu amekuheshimu ila usidhani watu wataendelea kukuvumilia wakati vifuani wana machungu.

Soma alama za nyakati na ubadilike.
 
Soma alama za nyakati na ubadilike.
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO...cc tunataka maendeleo yakuwang'oa CCM hapo ilipo kumbe mwenyekiti wa DEMOKRASIA anatuzunguka maninaaa ..

Alitakiwa awaache wananchi wafikishaa ujumbe Kwa mama Kwa kumtandika masauni ,Ili mama ajue ss wananchi hawaelewi Tena na akomeshe huu ujinga wa watu kuuwa ovyo..
 
Hii ni tahadhari yangu kwa Mhe. Mbowe kuwa ustaarabu na uvumilivu wake sasa ufike kikomo, vinginevyo kuna siku wata watakuzomea kama ilivyokuwa kwa Masauni leo kwenye msiba wa Mzee Kibao.

Wenzako hawa hawana ustaarabu na hata shukurani hawana. Umekuwa muungwana sana katika kuongoza harakati za mageuzi, ila wenzako hawathamini huo ustaarabu bali wao wanachojali ni kulinda madaraka hata kwa gharama za maisha ya watu..

Leo umefanya ustaarabu kumuokoa Masauni, ila kesho ni hawa hawa Mboga mboga wataleta propaganda za kuwa wewe ni CCM ndio maana ulimlinda Masauni ili tu kukudhoofisha wewe na CHADEMA kwa ujumla.

Mbowe, badilika, hawa watu ni hatari sana na hawana ustaarabu wale punje ya aibu linapokuja swala la kulinda madaraka yao.

Alichoongea Lema, ndio ulipaswa uongee wewe kama mwenyekiti, na huenda hata Lema hakuridhika na hotuba yako ila tu amekuheshimu ila usidhani watu wataendelea kukuvumilia wakati vifuani wana machungu.

Soma alama za nyakati na ubadilike.
Naunga mkono hoja...
 
Hii ni tahadhari yangu kwa Mhe. Mbowe kuwa ustaarabu na uvumilivu wake sasa ufike kikomo, vinginevyo kuna siku wata watakuzomea kama ilivyokuwa kwa Masauni leo kwenye msiba wa Mzee Kibao.

Wenzako hawa hawana ustaarabu na hata shukurani hawana. Umekuwa muungwana sana katika kuongoza harakati za mageuzi, ila wenzako hawathamini huo ustaarabu bali wao wanachojali ni kulinda madaraka hata kwa gharama za maisha ya watu..

Leo umefanya ustaarabu kumuokoa Masauni, ila kesho ni hawa hawa Mboga mboga wataleta propaganda za kuwa wewe ni CCM ndio maana ulimlinda Masauni ili tu kukudhoofisha wewe na CHADEMA kwa ujumla.

Mbowe, badilika, hawa watu ni hatari sana na hawana ustaarabu wale punje ya aibu linapokuja swala la kulinda madaraka yao.

Alichoongea Lema, ndio ulipaswa uongee wewe kama mwenyekiti, na huenda hata Lema hakuridhika na hotuba yako ila tu amekuheshimu ila usidhani watu wataendelea kukuvumilia wakati vifuani wana machungu.

Soma alama za nyakati na ubadilike.
Yep!
 
Kwa kweli kazingua sana leo, ilikuwa nafasi nzuri ya kuanzisha movement matata sana, hata ingewezekana lianzishwe varangati la kuifanya serikali ijue hasira za watu, huenda hata ku-cease someone's heartbeats...especially huyo aliyetumwa.
 
Hii ni tahadhari yangu kwa Mhe. Mbowe kuwa ustaarabu na uvumilivu wake sasa ufike kikomo, vinginevyo kuna siku wata watakuzomea kama ilivyokuwa kwa Masauni leo kwenye msiba wa Mzee Kibao.

Wenzako hawa hawana ustaarabu na hata shukurani hawana. Umekuwa muungwana sana katika kuongoza harakati za mageuzi, ila wenzako hawathamini huo ustaarabu bali wao wanachojali ni kulinda madaraka hata kwa gharama za maisha ya watu..

Leo umefanya ustaarabu kumuokoa Masauni, ila kesho ni hawa hawa Mboga mboga wataleta propaganda za kuwa wewe ni CCM ndio maana ulimlinda Masauni ili tu kukudhoofisha wewe na CHADEMA kwa ujumla.

Mbowe, badilika, hawa watu ni hatari sana na hawana ustaarabu wale punje ya aibu linapokuja swala la kulinda madaraka yao.

Alichoongea Lema, ndio ulipaswa uongee wewe kama mwenyekiti, na huenda hata Lema hakuridhika na hotuba yako ila tu amekuheshimu ila usidhani watu wataendelea kukuvumilia wakati vifuani wana machungu.

Soma alama za nyakati na ubadilike.
Sijaona kosa la Freeman Mbowe...

Ulifuatilia tukio hilo live kwenye TV....?

Wewe kwa hekima ya, mfano ndo ungekuwa ndiye Freeman Mbowe uko kwenye nafasi yake, kiongozi mkuu wa chama ukiongoza itifaki ya chama katika msiba huo kwa fikra zako ungefanyaje kuweka mambo sawa...?

Je, ungesimama na kuwasisitiza waombolezaji wamshambulie huyo kiongozi na Waziri huyo wa CCM pamoja na kuwa kweli yeye ni sehemu ya tatizo la utekaji na mauji yanayoendelea hapa nchini by default...?

Je, ungewatia moyo wazomeaji waendelee kufanya fujo ku - distract orders na utaratibu wa msiba ulioandaliwa na familia na kuhudhuriwa na watu tofauti tofauti na wengine hata siyo wana CHADEMA...?

Je, unadhani wanafamilia na watu wengine wasio wanachama wenu kwa kuharibu taratibu za msiba wangewaonaje....?

Haiko hivyo ndugu Salary Slip. Kwenye hili, sioni sababu ya kumlaumu mwenyekiti....

Wote tukakubaliana kuwa Waziri Hamad Masauni, Rais Samia Suluhu Hassan, Jeshi la Polisi na serikali kwa ujumla ni tatizo na inastahili kuzomewa na kuchukuliwa hatua ikiwemo kuiondoa madarakani. Je, ni kwa njia hiyo na kupitia misiba...?

HAPANA. I don't agree with you. There better and more effective ways to deal with them...

Freeman Mbowe alifanya jambo jema na la kiuongozi ku - restore order ktk kusanyiko hilo. Na ujumbe uliotolewa na viongozi umeifikia serikali. Kama ni ya kusikia na kuelewa, basi na ielewe na kisha itende...!
 
Kwa kweli kazingua sana leo, ilikuwa nafasi nzuri ya kuanzisha movement matata sana, hata ingewezekana lianzishwe varangati la kuifanya serikali ijue hasira za watu, huenda hata ku-cease someone's heartbeats...especially huyo aliyetumwa.
Hata kwa hicho kidogo kilichofanyika leo, the government felt it.....

Ujumbe umepelekwa na imeupata kwa njia na style muhimu sana. Masauni huko aliko kwa kuonjeshwa hivyo, hana hamu kabisa...!!
 
Sijaona kosa la Freeman Mbowe...

Ulifuatilia tukio hilo live kwenye TV....?

Wewe kwa hekima ya, mfano ndo ungekuwa ndiye Freeman Mbowe uko kwenye nafasi yake, kiongozi mkuu wa chama ukiongoza itifaki ya chama katika msiba huo kwa fikra zako ungefanyaje kuweka mambo sawa...?

Je, ungesimama na kuwasisitiza waombolezaji wamshambulie huyo kiongozi na Waziri huyo wa CCM pamoja na kuwa kweli yeye ni sehemu ya tatizo la utekaji na mauji yanayoendelea hapa nchini by default...?

Je, ungewatia moyo wazomeaji waendelee kufanya fujo ku - distract orders na utaratibu wa msiba ulioandaliwa na familia na kuhudhuriwa na watu tofauti tofauti na wengine hata siyo wana CHADEMA...?

Je, unadhani wanafamilia na watu wengine wasio wanachama wenu kwa kuharibu taratibu za msiba wangewaonaje....?

Haiko hivyo ndugu Salary Slip. Kwenye hili, sioni sababu ya kumlaumu mwenyekiti....

Wote tukakubaliana kuwa Waziri Hamad Masauni, Rais Samia Suluhu Hassan, Jeshi la Polisi na serikali kwa ujumla ni tatizo na inastahili kuzomewa na kuchukuliwa hatua ikiwemo kuiondoa madarakani. Je, ni kwa njia hiyo na kupitia misiba...?

HAPANA. I don't agree with you. There better and more effective ways to deal with them...

Freeman Mbowe alifanya jambo jema na la kiuongozi ku - restore order ktk kusanyiko hilo. Na ujumbe uliotolewa na viongozi umeifikia serikali. Kama ni ya kusikia na kuelewa, basi na ielewe na kisha itende...!
Watu kama wewe hamfai katika kutafuta haki.
 
Back
Top Bottom