Halafu wewe unaambiwa tu na mwingine na kisha kuhukumu kuwa kwanini tusingevurugana pale?
Are you really in your right reasoning senses...?
By the way, acha kubweka tu kama mbwa Koko hapa. Hata wewe unaweza kuwa kiongozi wa protest...
Huko uliko, jikusanyeni na wenzako kisha nendeni kwenye ofisi za umma zozote mf. Kwa mkuu wa wilaya au kituo cha polisi mlianzishe sisi tutawafuata nyuma...!!
Si lazima vurugu ziongozwe na Freeman Mbowe. Hata wewe
ERoni unaweza kuwa kiongozi kama Gen-Z wa Kenya ambao hawakuongozwa na Raila Odinga Odinga...