Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Nakuapia kuna Siku Mbowe hatakuepo msibani, mtamzika Waziri wenuFreeman Mbowe alifanya jambo jema na la kiuongozi ku - restore order ktk kusanyiko hilo. Na ujumbe uliotolewa na viongozi umeifikia serikali. Kama ni ya kusikia na kuelewa, basi na ielewe na kisha itende...!
Wewe ulikuwepo pale?Watu kama wewe hamfai katika kutafuta haki.
Waziri wangu yupi huyo...?Nakuapia kuna Siku Mbowe hatakuepo msibani, mtamzika Waziri wenu
Sasa ulitaka niwepo wakati sipo? Wewe uliyekuwepo na Mbowe wako mkaamua kuwa makondoo, hatujapenda. Hii sio serikali ya kukaa na kuongea kwa staha, hekima wala busara tena.Wewe ulikuwepo pale?
Mimi nilikuwepo, ila tunaenda kwa akili na hekima. Hatuendi kama kondoo au nyumbu. Sasa unasemaje sifai..?
Mimi sio kama wewe una protest kupitia keyboard ya simu yako ukiwa Nangurukuru...!!
freeman MBOWE ni mamluki, Mimi Nina imani na Tundu Lissu tu, sio huyu NJEMBAHii ni tahadhari yangu kwa Mhe. Mbowe kuwa ustaarabu na uvumilivu wake sasa ufike kikomo, vinginevyo kuna siku wata watakuzomea kama ilivyokuwa kwa Masauni leo kwenye msiba wa Mzee Kibao.
Wenzako hawa hawana ustaarabu na hata shukurani hawana. Umekuwa muungwana sana katika kuongoza harakati za mageuzi, ila wenzako hawathamini huo ustaarabu bali wao wanachojali ni kulinda madaraka hata kwa gharama za maisha ya watu..
Leo umefanya ustaarabu kumuokoa Masauni, ila kesho ni hawa hawa Mboga mboga wataleta propaganda za kuwa wewe ni CCM ndio maana ulimlinda Masauni ili tu kukudhoofisha wewe na CHADEMA kwa ujumla.
Mbowe, badilika, hawa watu ni hatari sana na hawana ustaarabu wale punje ya aibu linapokuja swala la kulinda madaraka yao.
Alichoongea Lema, ndio ulipaswa uongee wewe kama mwenyekiti, na huenda hata Lema hakuridhika na hotuba yako ila tu amekuheshimu ila usidhani watu wataendelea kukuvumilia wakati vifuani wana machungu.
Soma alama za nyakati na ubadilike.
Bila ya busara huwezi kuongoza chama kikubwa cha Upinzani kwenye hii nchiMbowe huyu chama kimemshinda, anashindwa kulinda Wanachama wake hata kwa kauli tu..
uenyekiti apewe Lema, Heche au Lissu, Mbowe hizi busara zake hizi sio relevant kwa kipindi hiki.
Halafu wewe unaambiwa tu na mwingine na kisha kuhukumu kuwa kwanini tusingevurugana pale?Sasa ulitaka niwepo wakati sipo?
Hivi unaelewa platform mliyoilata leo ingesaidia kiasi gani kuonyesha dunia namna ambavyo hatupo huru?Halafu wewe unaambiwa tu na mwingine na kisha kuhukumu kuwa kwanini tusingevurugana pale?
Are you really in your right reasoning senses...?
By the way, acha kubweka tu kama mbwa Koko hapa. Hata wewe unaweza kuwa kiongozi wa protest...
Huko uliko, jikusanyeni na wenzako kisha nendeni kwenye ofisi za umma zozote mf. Kwa mkuu wa wilaya au kituo cha polisi mlianzishe sisi tutawafuata nyuma...!!
Si lazima vurugu ziongozwe na Freeman Mbowe. Hata wewe ERoni unaweza kuwa kiongozi kama Gen-Z wa Kenya ambao hawakuongozwa na Raila Odinga Odinga...
Hata Tundu Lissu asingefafanya hiki anachopendekeza Salary Slip na kuungwa mkono na wachache wenye fikra fupi kama wewe au ERoni na wengine..
Hili andiko lako ninastahiri jibu la kina kama lilivyo lenyewe.Hii ni tahadhari yangu kwa Mhe. Mbowe kuwa ustaarabu na uvumilivu wake sasa ufike kikomo, vinginevyo kuna siku wata watakuzomea kama ilivyokuwa kwa Masauni leo kwenye msiba wa Mzee Kibao.
Wenzako hawa hawana ustaarabu na hata shukurani hawana. Umekuwa muungwana sana katika kuongoza harakati za mageuzi, ila wenzako hawathamini huo ustaarabu bali wao wanachojali ni kulinda madaraka hata kwa gharama za maisha ya watu..
Leo umefanya ustaarabu kumuokoa Masauni, ila kesho ni hawa hawa Mboga mboga wataleta propaganda za kuwa wewe ni CCM ndio maana ulimlinda Masauni ili tu kukudhoofisha wewe na CHADEMA kwa ujumla.
Mbowe, badilika, hawa watu ni hatari sana na hawana ustaarabu wale punje ya aibu linapokuja swala la kulinda madaraka yao.
Alichoongea Lema, ndio ulipaswa uongee wewe kama mwenyekiti, na huenda hata Lema hakuridhika na hotuba yako ila tu amekuheshimu ila usidhani watu wataendelea kukuvumilia wakati vifuani wana machungu.
Soma alama za nyakati na ubadilike.
Imeonyeshwa na kama ni dunia kuona imeona...Hivi unaelewa platform mliyoilata leo ingesaidia kiasi gani kuonyesha dunia namna ambavyo hatupo huru?
Mbowe ameongea vizuri. Yeye ni "Statesman". Lakini inawezekana Lissu na Heche hawakuhudhuria kwa sababu huo u "statesman" wa Mbowe wasingeuweza.Hii ni tahadhari yangu kwa Mhe. Mbowe kuwa ustaarabu na uvumilivu wake sasa ufike kikomo, vinginevyo kuna siku wata watakuzomea kama ilivyokuwa kwa Masauni leo kwenye msiba wa Mzee Kibao.
Wenzako hawa hawana ustaarabu na hata shukurani hawana. Umekuwa muungwana sana katika kuongoza harakati za mageuzi, ila wenzako hawathamini huo ustaarabu bali wao wanachojali ni kulinda madaraka hata kwa gharama za maisha ya watu..
Leo umefanya ustaarabu kumuokoa Masauni, ila kesho ni hawa hawa Mboga mboga wataleta propaganda za kuwa wewe ni CCM ndio maana ulimlinda Masauni ili tu kukudhoofisha wewe na CHADEMA kwa ujumla.
Mbowe, badilika, hawa watu ni hatari sana na hawana ustaarabu wale punje ya aibu linapokuja swala la kulinda madaraka yao.
Alichoongea Lema, ndio ulipaswa uongee wewe kama mwenyekiti, na huenda hata Lema hakuridhika na hotuba yako ila tu amekuheshimu ila usidhani watu wataendelea kukuvumilia wakati vifuani wana machungu.
Soma alama za nyakati na ubadilike.
Hana busara yoyote anakumbuka fadhila ana fedha alizopewaMbowe huyu chama kimemshinda, anashindwa kulinda Wanachama wake hata kwa kauli tu..
uenyekiti apewe Lema, Heche au Lissu, Mbowe hizi busara zake hizi sio relevant kwa kipindi hiki.
Kwa mtu makini aliyemsikiliza Mbowe alijua ameumia na amekasirika sana. Hamna wakati unaohitaji busara za mtu kama Mbowe kama wakati huu.Mbowe huyu chama kimemshinda, anashindwa kulinda Wanachama wake hata kwa kauli tu..
uenyekiti apewe Lema, Heche au Lissu, Mbowe hizi busara zake hizi sio relevant kwa kipindi hiki.
Mbowe ndo maana hataki kukiachia chama ingekua Lissu angekemea kwa Lugha kali sanaNdo maana hawa CCM hawamuogopi kabisa mbowe lakini ukiwatajia Tundu lisu wengine huwa wanajinyea...mbowe simuamini kabisaa tangu auwawe Ben sas 8 na yeye kukaa kimya. ni bora chadema isishike madaraka lakini wasimame jino kwa jino kutetea haki.