The mission 2017 JF-Expert Member Joined Aug 14, 2017 Posts 1,748 Reaction score 3,229 Sep 10, 2024 #61 Soaiod said: Mbowe ni kiongozi , watu hawana budi kutambua hili, alafu kuna mambo yanahitaji wisdom na sio emotion katika kuyatatua. Tukio lile ni mtego mkubwa Sana Kwa Mbowe angeshindwa ingeonesha hafai kuwa kiongozi wa chama kikubwa kama chadema. Click to expand... Hao nyumbu ndo hao kipindi kile Malwai wanaleta chochochoko Kwenye ziwa Nyasa, Wanashadadia tu tuwapige. Uongozi ni busara na kubalance mambo, Nje ya hapo ni uanaharakati
Soaiod said: Mbowe ni kiongozi , watu hawana budi kutambua hili, alafu kuna mambo yanahitaji wisdom na sio emotion katika kuyatatua. Tukio lile ni mtego mkubwa Sana Kwa Mbowe angeshindwa ingeonesha hafai kuwa kiongozi wa chama kikubwa kama chadema. Click to expand... Hao nyumbu ndo hao kipindi kile Malwai wanaleta chochochoko Kwenye ziwa Nyasa, Wanashadadia tu tuwapige. Uongozi ni busara na kubalance mambo, Nje ya hapo ni uanaharakati
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Sep 10, 2024 #62 Smart911 said: Siasa ndivyo zilivyo... Cc: Mahondaw Click to expand... Siasa ni ntafute nikutafute jifanye unanijua sana nikumalize Siasa Sio poaaaaa kabisa
Smart911 said: Siasa ndivyo zilivyo... Cc: Mahondaw Click to expand... Siasa ni ntafute nikutafute jifanye unanijua sana nikumalize Siasa Sio poaaaaa kabisa
S Salary Slip Platinum Member Joined Apr 3, 2012 Posts 49,390 Reaction score 152,301 Dec 25, 2024 Thread starter #63 Congressman said: Mbowe huyu chama kimemshinda, anashindwa kulinda Wanachama wake hata kwa kauli tu.. uenyekiti apewe Lema, Heche au Lissu, Mbowe hizi busara zake hizi sio relevant kwa kipindi hiki. Click to expand... Maneno yako ni kama yanathibitika.
Congressman said: Mbowe huyu chama kimemshinda, anashindwa kulinda Wanachama wake hata kwa kauli tu.. uenyekiti apewe Lema, Heche au Lissu, Mbowe hizi busara zake hizi sio relevant kwa kipindi hiki. Click to expand... Maneno yako ni kama yanathibitika.