Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah stress zitakuua ndugu. Tafuta hela.Sa we unataka wote tujiajiri si itakuwa fujo,wewe kweli ni mbwa. Mfumo wa maisha haupo hivyo wewe bwege.
System gani hiyo?? Labda ile ya Lumumba. Hapa nazungumzia system inayoongoza nchi.System bado ina woga
Kwanza inamuamini Nyerere asilimia 100
Kwa hiyo hawawezi kuachia Muungano ufe
Ndo maana Seif hatapewa hata ashinde..
As long Chadema wako na Sera isiyokubalika na system kwenye Muungano
System itawa reject tena
Kufanya mkutano mkubwa kama wa Lissu ndani ya mpinzani wake Chato is not a joke aisee.Kama umemaliza round ita malaya akakutie madole,mgombea wako amelala barabarani na leo.
You are very right. Nchi zote waliomalizana na vyama chakavu ni wananchi wenyewe walivimba. So, hata sisi tupambane.System wengi wetu tumekulia kwa viunga vya chama tumesomeshwa na chama tumeapa kukilinda milele hata akipata kura yake na ya Janet tutahakikisha atatangazwa ila mkiamua nyie raia ndiyo wakuibadilisha nchi mkisubiri sisi mtangoja milele
Aende huko akatunzwe na wanawake weupe. Tunamtaka Rais siyo mpenda kudako. Hovyooo.For the first time in history only five ... akwende huko hatumtaki
Mkuu elewa nilichoandika ,nimesema majina feki ni ya watu wa bara ambao ni wafanyakazi wa serikali icluding vyombo vya usalama,narudia tena ni wabara(Si wa zanzibar na baadhi hata huko zanzibar hawapajui,ushahidi upo,nimetoa angalizo ,jaribu ku search mtu anayefanya kazi serikalini wa huku bara unaweza ukalikuta jina lake kwenye daftari la wapiga kura ZEC na si mzanzibar).Yaan how. Mimi huwa sielewi unaposema majina ya watu wa bara. Ina maana wazanzibar waliopo bara hawatakiwi kupiga kura? Mi ninavojua wapiga kura wote wanaruhusiwa kupiga kura mahali walipojiandikisha. Au kwa lugha nyingine mahali ambapo ni makazi yake kwa sasa.
Kama ww ni wa bara lakin for now unafanya kazi au biashara Zanzibar na unaishi uko na ulijiandikisha uko au ulibadili kituo chako cha mpiga kura kuwa Zanzibar baada ya kuhamia au kuhamishiwa uko una haki ya kuchagua mbunge wako, muwakilishi wako, rais wako nk. Kwann uzuiwe. Mi nadhan kama kuna wendawazimu wa aina hii ni bora Zanzibar iwe kama mkoa au wajitoe kabisa kwenye muungano wabaki kivyao.
Sent from my LG-K520 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo hapo roho zenu kwaaatu kama ndo mmeshinda vile[emoji38][emoji38][emoji38]Kufanya mkutano mkubwa kama wa Lissu ndani ya mpinzani wake Chato is not a joke aisee.
Waambie mkuu nani alikuwa na inteligensia Kali kama Gaddafi mgambe tena walilipwa vizuri sana lakini usiombe USA wakuchoke utatoka tu tena Tanzania ni tone tu kwa wababe wa duniaNani anaijua system ya Ghadafi ilivyokuwa? Ya bashir, ya sadam, ya Mugabe acheni kupiga porojo hapa, dunia ikikuchoka hasa USA hata ulindwe na malaika, ikulu utaiachia tu utakeusitake.
Namshangaa huyu wa burigi anasesema amewaweza mabeberu, yamkini hawajui mabeberu anawadanganya tu wana ccm waliovimbiwa.
Narudia tena dunia ikimchoka magu hata begi la nguo zake atasahau kubeba
Nani anaijua system ya Ghadafi ilivyokuwa? Ya bashir, ya sadam, ya Mugabe acheni kupiga porojo hapa, dunia ikikuchoka hasa USA hata ulindwe na malaika, ikulu utaiachia tu utakeusitake.
Namshangaa huyu wa burigi anasesema amewaweza mabeberu, yamkini hawajui mabeberu anawadanganya tu wana ccm waliovimbiwa.
Narudia tena dunia ikimchoka magu hata begi la nguo zake atasahau kubeba
Si umtafute tu umkamate ukamnyonge bahariniAnzisha hizo fyoko fyoko unazotamba nazo humu kwa hiyo id fake ndo ujue tupo ama hatupo,tunatamba au hatutambi.
Kama system ina tengeneza watu kama wewe na kuajiri tanzania inakwendaSa we unataka wote tujiajiri si itakuwa fujo,wewe kweli ni mbwa. Mfumo wa maisha haupo hivyo wewe bwege.
Hakuna bongo hicho kituSystem gani hiyo?? Labda ile ya Lumumba. Hapa nazungumzia system inayoongoza nchi.
Tz hapa hakuna mmbabe hata mmoja wamuulize Soleiman Kassem wa Iran kilichomkuta.Waambie mkuu nani alikuwa na inteligensia Kali kama Gaddafi mgambe tena walilipwa vizuri sana lakini usiombe USA wakuchoke utatoka tu tena Tanzania ni tone tu kwa wababe wa dunia
Kwa hiyo hapo roho zenu kwaaatu kama ndo mmeshinda vile[emoji38][emoji38][emoji38]
Kwani ni maandiko kuwa ni lazima ukubalike kwenu? Tukimkubali sie inatosha. Usikute hata ww kwenu ni hanangwa tu,ila unakotoa toa ofa ya bia ndo wanakokukubali kupita maelezo.Ni ishara kuwa wanachato walikuwa wanamchora tu
Kwa hiyo nyie vichaa mnaomba tuchokwe,kwa maslahi ya nani,hizo familia zenu zitasalimika? Hebu kuweni na mawazo bas,na wekeni mtu perfect huko upinzani,kila round mnaweka goigoiTz hapa hakuna mmbabe hata mmoja wamuulize Soleiman Kassem wa Iran kilichomkuta.
Kwa hiyo nyie vichaa mnaomba tuchokwe,kwa maslahi ya nani,hizo familia zenu zitasalimika? Hebu kuweni na mawazo bas,na wekeni mtu perfect huko upinzani,kila round mnaweka goigoi
Mwaka huu kazi mnayo. Lissu anahenyesha nchi nzima.Kwani ni maandiko kuwa ni lazima ukubalike kwenu? Tukimkubali sie inatosha. Usikute hata ww kwenu ni hanangwa tu,ila unakotoa toa ofa ya bia ndo wanakokukubali kupita maelezo.
We jitekenye tu, hesabu siku tuone kati wewe na hao kitengo nani kuibuka bingwa.Heheh goigoi.... mtaita maji umma mwaka huu