Tahadhari na ushauri kwa system: Msimwonee haya mtu, akishindwa achaneni naye na akishinda atangazwe

Tahadhari na ushauri kwa system: Msimwonee haya mtu, akishindwa achaneni naye na akishinda atangazwe

System bado ina woga
Kwanza inamuamini Nyerere asilimia 100
Kwa hiyo hawawezi kuachia Muungano ufe
Ndo maana Seif hatapewa hata ashinde..
As long Chadema wako na Sera isiyokubalika na system kwenye Muungano
System itawa reject tena
 
System bado ina woga
Kwanza inamuamini Nyerere asilimia 100
Kwa hiyo hawawezi kuachia Muungano ufe
Ndo maana Seif hatapewa hata ashinde..
As long Chadema wako na Sera isiyokubalika na system kwenye Muungano
System itawa reject tena
System gani hiyo?? Labda ile ya Lumumba. Hapa nazungumzia system inayoongoza nchi.
 
Kama umemaliza round ita malaya akakutie madole,mgombea wako amelala barabarani na leo.
Kufanya mkutano mkubwa kama wa Lissu ndani ya mpinzani wake Chato is not a joke aisee.
 
System wengi wetu tumekulia kwa viunga vya chama tumesomeshwa na chama tumeapa kukilinda milele hata akipata kura yake na ya Janet tutahakikisha atatangazwa ila mkiamua nyie raia ndiyo wakuibadilisha nchi mkisubiri sisi mtangoja milele
You are very right. Nchi zote waliomalizana na vyama chakavu ni wananchi wenyewe walivimba. So, hata sisi tupambane.
 
Yaan how. Mimi huwa sielewi unaposema majina ya watu wa bara. Ina maana wazanzibar waliopo bara hawatakiwi kupiga kura? Mi ninavojua wapiga kura wote wanaruhusiwa kupiga kura mahali walipojiandikisha. Au kwa lugha nyingine mahali ambapo ni makazi yake kwa sasa.
Kama ww ni wa bara lakin for now unafanya kazi au biashara Zanzibar na unaishi uko na ulijiandikisha uko au ulibadili kituo chako cha mpiga kura kuwa Zanzibar baada ya kuhamia au kuhamishiwa uko una haki ya kuchagua mbunge wako, muwakilishi wako, rais wako nk. Kwann uzuiwe. Mi nadhan kama kuna wendawazimu wa aina hii ni bora Zanzibar iwe kama mkoa au wajitoe kabisa kwenye muungano wabaki kivyao.

Sent from my LG-K520 using JamiiForums mobile app
Mkuu elewa nilichoandika ,nimesema majina feki ni ya watu wa bara ambao ni wafanyakazi wa serikali icluding vyombo vya usalama,narudia tena ni wabara(Si wa zanzibar na baadhi hata huko zanzibar hawapajui,ushahidi upo,nimetoa angalizo ,jaribu ku search mtu anayefanya kazi serikalini wa huku bara unaweza ukalikuta jina lake kwenye daftari la wapiga kura ZEC na si mzanzibar).
 
Nani anaijua system ya Ghadafi ilivyokuwa? Ya bashir, ya sadam, ya Mugabe acheni kupiga porojo hapa, dunia ikikuchoka hasa USA hata ulindwe na malaika, ikulu utaiachia tu utakeusitake.

Namshangaa huyu wa burigi anasesema amewaweza mabeberu, yamkini hawajui mabeberu anawadanganya tu wana ccm waliovimbiwa.

Narudia tena dunia ikimchoka magu hata begi la nguo zake atasahau kubeba
Waambie mkuu nani alikuwa na inteligensia Kali kama Gaddafi mgambe tena walilipwa vizuri sana lakini usiombe USA wakuchoke utatoka tu tena Tanzania ni tone tu kwa wababe wa dunia
 
Na Tanzania yetu bado ni tegemezi kwa mambo mengi kama hadi net tunapewa msaada na Hugo huyo mmarekani Tanzania bado sana tuombe mungu tu
Nani anaijua system ya Ghadafi ilivyokuwa? Ya bashir, ya sadam, ya Mugabe acheni kupiga porojo hapa, dunia ikikuchoka hasa USA hata ulindwe na malaika, ikulu utaiachia tu utakeusitake.

Namshangaa huyu wa burigi anasesema amewaweza mabeberu, yamkini hawajui mabeberu anawadanganya tu wana ccm waliovimbiwa.

Narudia tena dunia ikimchoka magu hata begi la nguo zake atasahau kubeba
 
Waambie mkuu nani alikuwa na inteligensia Kali kama Gaddafi mgambe tena walilipwa vizuri sana lakini usiombe USA wakuchoke utatoka tu tena Tanzania ni tone tu kwa wababe wa dunia
Tz hapa hakuna mmbabe hata mmoja wamuulize Soleiman Kassem wa Iran kilichomkuta.
 
Ni ishara kuwa wanachato walikuwa wanamchora tu
Kwani ni maandiko kuwa ni lazima ukubalike kwenu? Tukimkubali sie inatosha. Usikute hata ww kwenu ni hanangwa tu,ila unakotoa toa ofa ya bia ndo wanakokukubali kupita maelezo.
 
Tz hapa hakuna mmbabe hata mmoja wamuulize Soleiman Kassem wa Iran kilichomkuta.
Kwa hiyo nyie vichaa mnaomba tuchokwe,kwa maslahi ya nani,hizo familia zenu zitasalimika? Hebu kuweni na mawazo bas,na wekeni mtu perfect huko upinzani,kila round mnaweka goigoi
 
Heheh goigoi.... mtaita maji umma mwaka huu
Kwa hiyo nyie vichaa mnaomba tuchokwe,kwa maslahi ya nani,hizo familia zenu zitasalimika? Hebu kuweni na mawazo bas,na wekeni mtu perfect huko upinzani,kila round mnaweka goigoi
 
Kwani ni maandiko kuwa ni lazima ukubalike kwenu? Tukimkubali sie inatosha. Usikute hata ww kwenu ni hanangwa tu,ila unakotoa toa ofa ya bia ndo wanakokukubali kupita maelezo.
Mwaka huu kazi mnayo. Lissu anahenyesha nchi nzima.
 
Back
Top Bottom