dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,502
- 3,483
LOL... Hadi Pikipiki za CHINA inaonyesha tunabeba takataka NYINGI toka CHINA
unga wa sembe?mbona mingi inauzwa inatengenezwa mitaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LOL... Hadi Pikipiki za CHINA inaonyesha tunabeba takataka NYINGI toka CHINA
sasa hizi bidhaa wananchi si wananunua bila kujua.. Kwa sababu wananchi wasionunua magazeti si wanauziwa? Serikali bana!
Wamewatangazia ili wakazifiche upite msako blah blah halafu wakauziwe watu wa vijijini kwa bei ya promosheni!!!!!!
Hivi kweli unamtangazia muhalifu kuwa ntakutafuta jumatatu ijayo??!!!!
Wonderland
vitu vyote walivyotaja sivifahamu kama sio uwongo nini?. Watutajie vitu feki tunavyovifahamu
vitu vyote walivyotaja sivifahamu kama sio uwongo nini?. Watutajie vitu feki tunavyovifahamu
Hawa TBS wa akina Ikerege na vyeti feki vya magari na ofisi hewa au wengine?
Wamewatangazia ili wakazifiche upite msako blah blah halafu wakauziwe watu wa vijijini kwa bei ya promosheni!!!!!!
Hivi kweli unamtangazia muhalifu kuwa ntakutafuta jumatatu ijayo??!!!!
Wonderland
Hiyo orodha ya hizo bidhaa nyingi hazipo sokoni kwa sasa
JUL 30, 2013
...hazitakiwi kuonekana sokoni na msako utaanza wakati wowote kuziondoa na zile ambazo zitakamatwa wahusika watachukuliwa hatua kali za kisheria.
Tumetoa tangazo lakini kabla ya hapo tuliwapa muda wawe wameleta bidhaa zao kwa ajili ya kuhakikiwa kabla ya kuruhusiwa kuendelea kutumia nembo yetu,akini wamekaidi ndio maana tumewatangazia kama utaratibu unavyoagiza alisema Rhoida.
sasa hizi bidhaa wananchi si wananunua bila kujua.. Kwa sababu wananchi wasionunua magazeti si wanauziwa? Serikali bana!