Hakuna lolote! Hapo ni rushwa tu zinatafutwa!
sasa ndugu wafanyaje ndo watanzania turizike cz wasinge tangaza ungesema hawafanyi kazi yao wanaruhusu bidha feki ku2athiri, sasa wametangaza kuwaepusha watu na madhara bado unadai hakuna lolote eti wanataka rushwa! EMBU WEWE TUAMBIE SASA WAFANYENINI NDO UONE WAMEFANYA KAZI?