Aksante kwa tahadhari bi mkubwa, vipi ban imeisha lini?Wana jamii wote tahadhari kubwa sana ichukuliwe pale teja la madawa ya kulevya (maaruf "unga") litapokuja "kukupiga mzinga" (kukuomba pesa) hususan kama tulivyowazoea omba yao kubwa ni "Buku".
Usifanye ubahili wakati huu kwani ukimuudhi tu na akienda kusema wewe ndiye unamuuzia unga utajiunga na fiesta kule central police station.
Mpe hiyo "buku" na kama hauna japo kamkopee, maana wana hasira kwani ni lazima unga utakuwa adimu mitaani kwa trend hii ya bwana Makonda inavyoenda na arosto waliyonayo, mateja wanaweza kufanya lolote la ajabu.
Tahadhari sana. Hii siyo joke.
Sasaaa
Hapana nimpe mtu buku kisa naogopa nisitajwe kua muuza unga?
Hapana kutajwa peke yake hakukamilishi ushahidi wa Mimi kufungwa jela kama muuza unga.
Ushahidi mkubwa unahitajika mpaka nitiwe hatiani sio teja kunitaja tu, ifahamike mateja hata mahakamani wanawajua kua wakiwa na alosto wanaweza sema lolote au kufanya lolote
Zamani nilikuwa nakuona kama zuzu fulani na ushungi wako, lakini sasa nimekuvulia kofia. Kwa hiyo ushapanga dili na watoto wako ulioshindwa kuwalea wapite mitaani wakituomba buku na wewe ndio unakamata nafasi yako kutuandaa kutoa buku...hola!Wana jamii wote tahadhari kubwa sana ichukuliwe pale teja la madawa ya kulevya (maaruf "unga") litapokuja "kukupiga mzinga" (kukuomba pesa) hususan kama tulivyowazoea omba yao kubwa ni "Buku".
Usifanye ubahili wakati huu kwani ukimuudhi tu na akienda kusema wewe ndiye unamuuzia unga utajiunga na fiesta kule central police station.
Mpe hiyo "buku" na kama hauna japo kamkopee, maana wana hasira kwani ni lazima unga utakuwa adimu mitaani kwa trend hii ya bwana Makonda inavyoenda na arosto waliyonayo, mateja wanaweza kufanya lolote la ajabu.
Tahadhari sana. Hii siyo joke.
Zamani nilikuwa nakuona kama zuzu fulani na ushungi wako, lakini sasa nimekuvulia kofia. Kwa hiyo ushapanga dili na watoto wako ulioshindwa kuwalea wapite mitaani wakituomba buku na wewe ndio unakamata nafasi yako kutuandaa kutoa buku...hola!
Sitoi buku wala panya mawazo. Mwambie mwanao Dula hapa pagumu aje na maji
Potelea mbali siwezi kuendekeza " ujinga" buku yenyewe usawa wa Magufuli huu sitoi nimesema sitoi waende huko Polisi wakaseme kama wanaweza.Utajipotezea muda kwa "buku" tu, wakija wanakuchukuwa mpaka wajuwe huhusiki na umesingiziwa tum umeshapoteza mambo mengi.
Wana jamii wote tahadhari kubwa sana ichukuliwe pale teja la madawa ya kulevya (maaruf "unga") litapokuja "kukupiga mzinga" (kukuomba pesa) hususan kama tulivyowazoea omba yao kubwa ni "Buku".
Usifanye ubahili wakati huu kwani ukimuudhi tu na akienda kusema wewe ndiye unamuuzia unga utajiunga na fiesta kule central police station.
Mpe hiyo "buku" na kama hauna japo kamkopee, maana wana hasira kwani ni lazima unga utakuwa adimu mitaani kwa trend hii ya bwana Makonda inavyoenda na arosto waliyonayo, mateja wanaweza kufanya lolote la ajabu.
Tahadhari sana. Hii siyo joke.
tuwekane wazi mapema kabla ya hyo tahadhari yako..............Duh!