DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]Huyu ni kuku au Mpira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]Huyu ni kuku au Mpira
Mkuu inbox sikufikiiKaribu Msata Kilingeni ule OG kitchen...sorry chicken sio haya mazezeta yaliyodungwa sindanoView attachment 2738188
Hahahaaa unamla bobi
Na ndama waliofia tumboni pamoja na mapakashume mitaaniHahahaaa unamla bobi
AseeeeehPia ukienda sokoni kununua kuku hakikisha wanamchinja kuku ukiwa unamuona. Usikubali waende sehemu ambayo huoni. Wengi huwa wanabadilishiwa anachukuliwa kuku aliyekufa wana kata kichwa na kumyonyoa na kumkata vipande kuku aliyekufa alafu mzima wanabaki nae anarudishwa bandani .
Ng'ombe ,mbuzi tunakula sana vibudu hakuna MTU atakubali hasara Kwa ng'ombe wa 600+ atauza ht laki au laki mbili akifa Ili tu apunguze maumivuNaonaga hata ng'ombe akifa anapakizwa kwenye guta wanamfunika sijui wanapeleka kuzika wapi[emoji1]
Hii kali[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Pia ukienda sokoni kununua kuku hakikisha wanamchinja kuku ukiwa unamuona. Usikubali waende sehemu ambayo huoni. Wengi huwa wanabadilishiwa anachukuliwa kuku aliyekufa wana kata kichwa na kumyonyoa na kumkata vipande kuku aliyekufa alafu mzima wanabaki nae anarudishwa bandani .
Chicken poxBalaa lingine ni ugonjwa uliomuua huyo kuku kibudu unaweza kuwa hatari kwa binadamu.
basi wewe nami tunaongoza kula zile dawa za maitiViumbe wa majini ndio favourite food kwangu, kuku hizo za kizungu sipendi kabisa
Wakienyeji unakula wapi..labda kama unakulaga nyumbani kwako ..na mtaani usile kabisaKuku wa Kizungu Sili.
Kuku wa Kizungu Sili.
Wakizungu unaexlude broiler na wanayai ambao ndo wanapikwa bar wakisema ni wa kienyeji au unamaanisha nnHawa wa kienyeji. Wa kizungu huwezi pika na mchuzi.
Wale ambao wanajitafutia chakula kwa kuparua parua chini hivi mi ndio nawaitaga wa kienyeji.Wakizungu unaexlude broiler na wanayai ambao ndo wanapikwa bar wakisema ni wa kienyeji au unamaanisha nn
Watoto wa mjini hawajui haya mambo yetu wahenga ,kukimbizana na kuku 😂Raha ya kula kuku umkimbize kidgo,.
Kabisa yani unakula kuku huku unatoa jasho kwa supu nzuriWatoto wa mjini hawajui haya mambo yetu wahenga ,kukimbizana na kuku 😂