DOKEZO Tahadhari: Unakula kuku au vibudu?

DOKEZO Tahadhari: Unakula kuku au vibudu?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Uwii Nimepata kinyaa.
Nimekumbuka nilivyokuwa naokota kuku bandani wakiwa wamedondoka, roho inauma hata kubeba siwezi.

Kumbe ndio tunaolishwa mijini[emoji23][emoji23]
Mi ndo maana huwa sili kuku mtaani,,ntakula mishkaki ya ng'ombe tu.
umekimbia bandani unaenda kula vibudu vya puguu
 
Wazungu kufananisha ngozi nyeusi na nyani hawaku kosea kabisa.

Akili za mwafrika nadhani hata wanyama wanatuzidi.

Yaki tokea magonjwa ya mlipuko, watu wana anza kukesha makanisani kukemea pepo, kumbe ni vibudu wanavyo lishwa.
 
Hilo sasa ni mtihani!

"Chips kuku" halafu uwe makini!

Jambo hilo ni gumu sana kulibaini kama ilivyo vigumu ngamia kupita kwenye tundu la sindano!

"Uzuri" ni kwamba, magonjwa mengi yasababishayo vifo vya kuku, kwa binadamu hayana madhara.

Ingelikuwa kama antrax ilivyo kwa wanyama, Dar yangelibakia ni magofu kama mwendo ni huo!

Kikubwa kabla ya kuanza kufakamia misosi, tusalini sana kumuomba Mungu atuepushe na ubaya utokanao na chakula tunachokula.

Maana utakwepa ya vibudu, utakumbana na ya expired ama amira!
Waafrika wana ishi kimazoea sana bila kufuata kanuni za kiafya na ulaji.

Halafu wana dai Mungu ana walinda.

Waki anza kuumwa na kudondoka kama kuku, ndio hukimbilia makanisani kudhani wana mapepo ya ugonjwa.

Kumbe ni ujinga wa kuishi ki mazoea kutojali kanuni za Afya na ubora wa vyakula.
 
Back
Top Bottom