Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Uwii Nimepata kinyaa.
Nimekumbuka nilivyokuwa naokota kuku bandani wakiwa wamedondoka, roho inauma hata kubeba siwezi.
Kumbe ndio tunaolishwa mijini[emoji23][emoji23]
Mi ndo maana huwa sili kuku mtaani,,ntakula mishkaki ya ng'ombe tu.