MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
mimi humu nakuja kupoteza muda kama kijiwe cha kahawaKwamba mkuu huu uzi hujaufurahia au? Naona mmeamua kuharibiana siku. Sisi yetu macho.
usichukulie mambo ya humu serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi humu nakuja kupoteza muda kama kijiwe cha kahawaKwamba mkuu huu uzi hujaufurahia au? Naona mmeamua kuharibiana siku. Sisi yetu macho.
Point mkuu. Unaweza ukaumia watu wanavyojibizana, kumbe wajitesa... Wao wanafahamiana.mimi humu nakuja kupoteza muda kama kijiwe cha kahawa
usichukulie mambo ya humu serious
Bro kuwa Muungwana bhana.ungeposti kwenye mtandao wa babaako na mamaako ndo ungeniuliza kinachoniwasha
na wewe kipi kinakuwasha kujibu reply yangu ?Bro kuwa Muungwana bhana.
Hawa watu ni wataalamu wa psychologia kabisa, unajua ww labda umeenda na laki yako hapo ya ada ya watoto tena umeipata kwa msoto kweli kweli, the moment unasikia 3m ya chap akili inaanza kupanga matumizi badala ya kufikiri hii fursa gani inanifuata kizembe hiv? na huwa wanaangalia na mtu kama kwako 3m ni hela ya kawaida hawawezi kuja koz wanajua hautapanic wanatafuta mtu ambaye hiyo hela hajawaza hata kuiona kwa pamoja licha ya kuimilikiNi ujinga kuibiwa wakati umeenda Bank kufanya mishe zako tu......yaani huwezi jiuliza tu kuwa unapata 3m kirahisi ivyo......hata NMB Kkoo wapo kibao tu
Bado kwa mtu makini hata kama hiyo 3m kuipata au hujawahi kuishika ni uzembe mkubwa sana kukutana na mtu popote pale na yeye kuanza kuongelea kukunufaisha wewe hasa kipindi hiki cha uchumi mgumu na humjui......utaibiwa kama unatamaa tu na siyo vinginevyoHawa watu ni wataalamu wa psychologia kabisa, unajua ww labda umeenda na laki yako hapo ya ada ya watoto tena umeipata kwa msoto kweli kweli, the moment unasikia 3m ya chap akili inaanza kupanga matumizi badala ya kufikiri hii fursa gani inanifuata kizembe hiv? na huwa wanaangalia na mtu kama kwako 3m ni hela ya kawaida hawawezi kuja koz wanajua hautapanic wanatafuta mtu ambaye hiyo hela hajawaza hata kuiona kwa pamoja licha ya kuimiliki
Yeah ndo wanacho deal nacho wanaamsha tamaa za mhusika kama yupo makini mission yao itakuwa imefel kama kwa mtoa maadaBado kwa mtu makini hata kama hiyo 3m kuipata au hujawahi kuishika ni uzembe mkubwa sana kukutana na mtu popote pale na yeye kuanza kuongelea kukunufaisha wewe hasa kipindi hiki cha uchumi mgumu na humjui......utaibiwa kama unatamaa tu na siyo vinginevyo
Taperi uyo MO11Huyo jamaa atakuwa ndo tapeli mwenye we thus kadandia uzi
Sure, tamaa inaponzaYeah ndo wanacho deal nacho wanaamsha tamaa za mhusika kama yupo makini mission yao itakuwa imefel kama kwa mtoa maada
Aisee kumbe wewe huwa ni juha namna hii?Sasa hela si zangu nikitapeliwa inakuhusu nini?
Mbona kodi zetu zinatumika kuwalipa CCM.
ndiooAisee kumbe wewe huwa ni juha namna hii?
Tusio na Akaunti 'Benki' Uzi hautuhusu.Wasalaam Wakuu.
Ijapokuwa uzi kama huu ulishetwa humu juu ya utapeli ndani ya benki, lakini haukuwa umeshiba. Nikaona niwaeleze kwa undani ili tumakinike.
Kuna wale wanaopenda kujua kama nimetapeliwa ama la, ukweli ni kuwa sijatapeliwa. Ila walikuwa wanajaribu kunitapeli.
Leo asubuhi nilienda katika moja ya benki kubwa sana hapa nchini kwa nia ya kufanya miamala miwili mitatu. Sitapenda kutaja jina la benki.
Nilipofika nikaanza kujaza slip zangu. Kuna mtu (akaja pembeni yangu kwa ajili ya kujaza slip. Sikuwa na wasiwasi, nikaendelea kujaza. Nilipomaliza nikaenda kupanga foleni. Naye bila hiyana akaja kunifata kwa nyuma.
Nikakaa kama dakika mbili, akaja mwenzake. Anajidai kumuuliza, kaka ni wapi wanapobadilisha fedha za kigeni? Mimi sijawageukia nikaendelea kusogea.
Yule aliyeulizwa naye akanigusa, "eti kaka, ni wapi wanapobadilisha fedha za Kiarabu? Maana nami ni mgeni hapa". Mimi nikawaonyesha dirisha la Bureau De Change. Wakati nageuka kuwaonyesha, huyu wa kwanza akamchapa swali lingine. Kwani ni fedha zipi za kiarabu?
Jamaa akachomoa kitita kumuonyesha. Na mimi niliona pia. Kwa juu kulikuwa na noti ya dollar 100 (genuine) ya Kimarekani. Akamuuliza ni bei gani, akasema ni Dollar 15,000.
Akamuuliza kwa hiyo nitapewa bei gani kwa fedha za Kitanzania? Jamaa akachukua simu, akaenda kwenye Calculator akaandika 1,500 mara 2300. Akamuambia Utapata kama 34,000,000 TZS.
Nenda kabadili utawekewa kwenye akaunti yako. Akasema sasa sina hata akaunti ya benki. Na nasikia huwa wanauliza kiasi hiki chote nimekipata wapi. Akamuuliza, kwani wewe umekipata wapi? Akasema mishe za madini. Akamuambia hapo pagumu.
Akanigusa tena, akaniambia wewe unamshaurije jamaa? Nikamuambia aende huko ambapo hatoulizwa. Machale yakanicheza.
Jamaa nilipogeuka akamuambia, kwani wewe unatupa Tsh ngapi ili nikakubadilishie. Akasema atatoa million 3. Akamuambia fanya tano. Jamaa akalia akasema labda nne.
Akamuambia, sawa nenda nje nakuja. Huyo jamaa akasepa. Jamaa akaniuliza, twende tukachukue hela tupate cha juu.. Nikamuambia hapana..
Tukaendelea kusogea, nilipokuwa wa pili, jamaa ni watatu. Yeye pia mkononi ana slip yake. Kwamba anahitaji kuhudumiwa. Wakati wa mbele anapewa slip aondoke, akajifanya kupokea simu. Kwa hiyo hii hela nisikuwekee tena? Ahaa, nikuwekee M-Pesa eeh? Poa. Huyo akatokomea. Nikaendelea kuhudumiwa.
Tahadhari za kuchukua:
a) Kwanza, wanakuja kwenye branch ambazo zipo busy. Watu ni wengi wanaopata huduma.
b) Wanakuangalia unapojaza slip ili kuwapa nafasi wajue kama una hela.
c) Zuia tamaa yako. Usikurupuke na kufurahia umepata dili. Wewe ndiyo dili mwenyewe, wanakutafutia namna wakupige.
d) Usiwape nafasi wakushawishi. Wana ushawishi mkubwa sana. Kuendelea kuwasikiliza, kuna 80% ya wewe kulia. Wapuuzie kabisa.
e) Wana ufahamu juu ya maswala ya kibenki. Kwa hiyo kukudanganya ni rahisi mno.
f) Ukikubali kufuatana nao, kubali kuwa hela yako imeenda. Pole sana.
Bila shaka wewe ndo huyo tapeli anayesemwa.ungeposti kwenye mtandao wa babaako na mamaako ndo ungeniuliza kinachoniwasha
bila shaka wewe ni kukuBila shaka wewe ndo huyo tapeli anayesemwa.
Huu pia ni uzi wangu. Umewashwa wapi kuja kuujibu?