Tahadhari: Utapeli ndani ya benki

Sasa hela si zangu nikitapeliwa inakuhusu nini?

Mbona kodi zetu zinatumika kuwalipa CCM.
H
Huwa nashangaa Sana, Tena Sana huu uzi haujahusisha Siasa nashindwa kuelewa CCM imefikaje hapa!!!!!

Hivi Mkuu matako yako kweli ulikuwa unayapa mapumziko ya viboko hiyo Elimu yako ya darasa la Saba!!
 
Mkuu hayo uloandika yaka ukweli mwingi .
Wengine wanakuwa na madawa wakisha kukamata utaenda kifwata ATM kadi dako au utaenda kaunta mwenyewe kisha utatoa hela na kuwakabidhi kisha.. baada ya muda akili hukurudia kawaida na kubaki kujilaumu.

Kipindi maduka huria ya kubadili fedha yalipo kuwepo..walikuwa na kawaida ya kuzengea maeneo hayo kisha kujidai kubadili kutoka fedha ya kigeni ya aona moja kwenda nyingine (mf :Euro kwenda USD)

Na mara nyingi hufika pale anapokubaini kwamba unazo hela nyingi za kigeni.
 
ASANTE KWA TAHADHARI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…