Tahadhari ya utapeli: Kuna watu wanaenda kupigwa na kitu kizito!

Tahadhari ya utapeli: Kuna watu wanaenda kupigwa na kitu kizito!

Kinumbo

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
3,039
Reaction score
5,560
Habari zenu wakuu,

Nimepita kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii nimekutana na kitu inaitwa WAKALA ONLINE. Kama ujuavyo baadhi ya watanzania wanapenda pesa za mteremko yaani wapate pesa bila kushughulika. Pia kupenda njia za mikato, hapa wajinga wengi watapigwa na kitu kizito.

Hii kitu kwa namna nilivyo ifuatilia una jiunga kisha utaweka kiasi cha pesa kupitia namba itakayo kuwepo hapo. Baada ya hapo utasubiri masaa 24 kisha utapata nusu ya faida kutokana na pesa uliyo tuma hapo awali. Mfano ukituma 1,000 baada ya masaa 24 pesa yako itakuwa imeongezeka na kuwa 1,500 hapo unaweza kutoa 500 ikabaki 1,000 kisha utasubiri masaa 24 tena utoe 500, hivyo hivyo mpaka utakapo ona umetosha kupiga maokoto.

Hii kitu bado ni mpya haina muda mrefu mpaka sasa, ila mi nahisi hapa watu wanavutiwa upepo tu mwisho wa siku watajaa kwenye mfumo na kulia kilio cha mbwa mwitu.

Je, umewahi kutana ama kuisikia hii kitu katika pita pita zako huko kwenye mitandao ya kijamii na una maoni gani? Karibu
 
Habari zenu wakuu,

Nimepita kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii nimekutana na kitu inaitwa WAKALA ONLINE. Kama ujuavyo baadhi ya watanzania wanapenda pesa za mteremko yaani wapate pesa bila kushughulika. Pia kupenda njia za mikato, hapa wajinga wengi watapigwa na kitu kizito.

Hii kitu kwa namna nilivyo ifuatilia una jiunga kisha utaweka kiasi cha pesa kupitia namba itakayo kuwepo hapo. Baada ya hapo utasubiri masaa 24 kisha utapata nusu ya faida kutokana na pesa uliyo tuma hapo awali. Mfano ukituma 1,000 baada ya masaa 24 pesa yako itakuwa imeongezeka na kuwa 1,500 hapo unaweza kutoa 500 ikabaki 1,000 kisha utasubiri masaa 24 tena utoe 500, hivyo hivyo mpaka utakapo ona umetosha kupiga maokoto.

Hii kitu bado ni mpya haina muda mrefu mpaka sasa, ila mi nahisi hapa watu wanavutiwa upepo tu mwisho wa siku watajaa kwenye mfumo na kulia kilio cha mbwa mwitu.

Je, umewahi kutana ama kuisikia hii kitu katika pita pita zako huko kwenye mitandao ya kijamii na una maoni gani? Karibu
Naomba link nikapige pesa.
 
Hapa ni kucheza nao akili tu unaweka pesa kubwa wanakupa mara mbili yake unaamsha unawarudia na jina jingine pia unaweka mara moja unaondoka mazima, kawaida yao huwa wanakusubiri uweke na kupokea mara nne then pesa wana mute nayo, so we unaweka mara moja moja pesa nyingi kwa I'd tofauti tofauti,
 
haya ni mafanikio ya sayansi na tecnologia ...

huyo ukute ni kijana wa IT na kijana wa maswala ya kifedha wameamua kuunda system yao wapige pesa then wasepe

siwalaumu acha wajinga walie

maana nchi zilizoendelea ni vitu vya kawaida sana hivyo hata ukicheki movie ya beekepeer inaanza na story za maswala kama hayo
 
Screenshots_2024-09-04-11-12-50.png
 
Back
Top Bottom