Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukituma hela kwny hiyo namba mda huohuo unaiona hela kwa account yn secunde tu hela inaingia haichukui hata dakikaUkituma peace kwenye hiyo namba, pesa inafika vipi kwenye akaunti yako?
Ni kama wewe ulivyowaita watu kwenye safari yako ya china uliwafanya fursa kwa maslahi yako binafsiUkiitiwa fursa tambua wewe ndio fursa yenyewe
Stupidity how can you get paid for free? Ignorance ignorance ignoranceSio kweli mkuu hii kitu ipo na watu wanalipwa ukweli ila jamaa wanaekeza kwenye cryptocurrency kule kuna hela asikwambie mtu, wanafanya crypto mining then mnagawana faida
lengo langu lilikua kukujuza tu tu kua utapeli&ulaghai ni sehemu ya changamoto sio jambo la kuonyesha ujinga wa mtu fulaniYou will always called stupid if you don’t understand this principle…. “You can not get paid if don’t work “ nothing goes for nothing “ no free lunch under the sun”