Tahadhari ya utapeli: Kuna watu wanaenda kupigwa na kitu kizito!

Tahadhari ya utapeli: Kuna watu wanaenda kupigwa na kitu kizito!

washingtin pale wala sio mbali na white house na watu wanapigwa deile....
ingia youtube andika scams arreste in washington,au weka new york au kokote...
scammers ni moja ya disadvantage kwenye maendeleo ya teknolojia
by the way,point yangu sio kwamba watakaopigwa bongo ni wajinga,scammers wanatumia akili nyingi kukupiga hera yako hata uwe na degree utaingia tu kwa mtego.....
 
Habari zenu wakuu,

Nimepita kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii nimekutana na kitu inaitwa WAKALA ONLINE. Kama ujuavyo baadhi ya watanzania wanapenda pesa za mteremko yaani wapate pesa bila kushughulika. Pia kupenda njia za mikato, hapa wajinga wengi watapigwa na kitu kizito.

Hii kitu kwa namna nilivyo ifuatilia una jiunga kisha utaweka kiasi cha pesa kupitia namba itakayo kuwepo hapo. Baada ya hapo utasubiri masaa 24 kisha utapata nusu ya faida kutokana na pesa uliyo tuma hapo awali. Mfano ukituma 1,000 baada ya masaa 24 pesa yako itakuwa imeongezeka na kuwa 1,500 hapo unaweza kutoa 500 ikabaki 1,000 kisha utasubiri masaa 24 tena utoe 500, hivyo hivyo mpaka utakapo ona umetosha kupiga maokoto.

Hii kitu bado ni mpya haina muda mrefu mpaka sasa, ila mi nahisi hapa watu wanavutiwa upepo tu mwisho wa siku watajaa kwenye mfumo na kulia kilio cha mbwa mwitu.

Je, umewahi kutana ama kuisikia hii kitu katika pita pita zako huko kwenye mitandao ya kijamii na una maoni gani? Karibu
Hivi watu mbona hamna huruma leta link tujiunge tuokote nasisi
 
Habari zenu wakuu,

Nimepita kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii nimekutana na kitu inaitwa WAKALA ONLINE. Kama ujuavyo baadhi ya watanzania wanapenda pesa za mteremko yaani wapate pesa bila kushughulika. Pia kupenda njia za mikato, hapa wajinga wengi watapigwa na kitu kizito.

Hii kitu kwa namna nilivyo ifuatilia una jiunga kisha utaweka kiasi cha pesa kupitia namba itakayo kuwepo hapo. Baada ya hapo utasubiri masaa 24 kisha utapata nusu ya faida kutokana na pesa uliyo tuma hapo awali. Mfano ukituma 1,000 baada ya masaa 24 pesa yako itakuwa imeongezeka na kuwa 1,500 hapo unaweza kutoa 500 ikabaki 1,000 kisha utasubiri masaa 24 tena utoe 500, hivyo hivyo mpaka utakapo ona umetosha kupiga maokoto.

Hii kitu bado ni mpya haina muda mrefu mpaka sasa, ila mi nahisi hapa watu wanavutiwa upepo tu mwisho wa siku watajaa kwenye mfumo na kulia kilio cha mbwa mwitu.

Je, umewahi kutana ama kuisikia hii kitu katika pita pita zako huko kwenye mitandao ya kijamii na una maoni gani? Karibu
Ubaya wa hizi project hata waanzilishi huwa hawajulikani yaani kila kitu wanakiendesha kimazabe mazabe tu na mara nyingi haya mambo huwa yanaanziaga hapo kwa majirani zetu Kenya.

Nasema Kenya kutokana na uzoefu wangu na hizi scam, niko na project kadhaa nimeshawahi kuzifanya kutoka kwa owners wanaotokea hiyo nchi na kuna wakati niliwahi kupata mmoja ambae alinipa structure halisi ya project za namna hii.

Na mara nyingi wale watu wa mwanzo mwanzo huwa wanafaidika sana kwa maana mambo huwa yanaenda smooth kabisa ila lengo ni kuwavuta na account yao ikifika kile kiasi ambacho wao wanahitaji basi mambo huwa yanaanza kuwa mengi.

Utaskia kampuni mara imeuzwa kwa mchina au muhindi kwa hiyo utawala mpya unajipanga ili warudi tena huku tarehe rasmi ya kurudi hamuambiwi na hapo ndio kalenda juu ya kalenda siku miezi mwaka na miaka itapita bila uongozi mpya kuanza kazi then shwaaaaaaa inakua ndio nitolee... mfano mzuri ni Agham.

Watu walipiga sana pesa hapo kabla taarifa za kampuni kuuzwa kwa mchina hazijatoka na tangu 2018 hadi leo aliyenunua kampuni bado hajaanza kazi 😂😂😂😂
 
Hii nchi bado inawajinga shazi mzee, acha wapigwe...
Hiyo kitu kuna jamaa ameileta pia hapa Jf, na akasema wapo Dodoma na Dar
Siku ukiona CCM imepigwa chini ndiyo ujue wajinga wameanza kupungua, kinyume na hapo bado sana, hata wakizeeka na kufa wanakuwa wameacha watoto ndugu na marafiki
 
Habari zenu wakuu,

Nimepita kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii nimekutana na kitu inaitwa WAKALA ONLINE. Kama ujuavyo baadhi ya watanzania wanapenda pesa za mteremko yaani wapate pesa bila kushughulika. Pia kupenda njia za mikato, hapa wajinga wengi watapigwa na kitu kizito.

Hii kitu kwa namna nilivyo ifuatilia una jiunga kisha utaweka kiasi cha pesa kupitia namba itakayo kuwepo hapo. Baada ya hapo utasubiri masaa 24 kisha utapata nusu ya faida kutokana na pesa uliyo tuma hapo awali. Mfano ukituma 1,000 baada ya masaa 24 pesa yako itakuwa imeongezeka na kuwa 1,500 hapo unaweza kutoa 500 ikabaki 1,000 kisha utasubiri masaa 24 tena utoe 500, hivyo hivyo mpaka utakapo ona umetosha kupiga maokoto.

Hii kitu bado ni mpya haina muda mrefu mpaka sasa, ila mi nahisi hapa watu wanavutiwa upepo tu mwisho wa siku watajaa kwenye mfumo na kulia kilio cha mbwa mwitu.

Je, umewahi kutana ama kuisikia hii kitu katika pita pita zako huko kwenye mitandao ya kijamii na una maoni gani? Karibu
Tanzania hakuna umasikini wa mali kuna umasikini wa fikira. Watu masikini walisha geuzwa watumwa wa fikira. Kamali ndio limekuwa tumaini Lao. Huku watawala wakiendelea kuiba rasiri mali na kodi.
 
Tanzania kwenye masuala kama hayo bado kuna soko kubwa mnooo maana idadi kubwa ya raia wa Tanzania ni wavivu sana wanataka kufumba na kufumbua mambo tayari, wengi hawa amini katika mchakato mbaya zaidi wajinga ni wengi.
 
Kwenye kutuma hela ile namba wameweka watajua vipi ni wewe ili pesa yako ifike kwenye akaunti yako?
Wajinga sana, kwanza website yenyewe imekaa kitoto sana, hapa nimetoka kuwadanganya me ni mwalim mstaafu nataka kuwekeza 10m wakanipigia kwa namba yao nyingine eti niweke hela hiyo bank kesho wanipe 17m
 
Back
Top Bottom