Hiyo hawakutapeli wewe. Wanatengeneza reviews fake tu.Hii michezo bhana ๐๐๐
Kuna siku nimeamka tu nikatumiwa link nikaifuata nikaenda mpaka telegram nikapewa ishu ilivyo yaani wanakutumia hotels nyingi uwe unaandika maoni mazuri na una rate nyota baada ya hapo una screenshot maoni yako unawatumia inbox, nilipiga ile mishe nika withdraw 25,000 bado wakawa wananitaka niendelee nikawapotesea na ku leave ile channel kabisa
Ndio walinilipa lakini sikutaka kuendelea tu kwanza nilipoteza zaidi ya masaa 2Hiyo hawakutapeli wewe. Wanatengeneza reviews fake tu.
Haifanyii kazi habari za mitandaoniBenki Kuu imelala?
Kwa hiyo hii ni habari ya mtandaoni tu, haya hayatokei kiuhalisia?Haifanyii kazi habari za mitandaoni
Wanakupa Ili wakukamate vizuri huo ni utapeli.Ngoja nitume 1000 nihakikishe
Nothing new..same trickโฆ.! Old wine in new bottleโฆโฆ.! Wajinga ndio waliwaoHabari zenu wakuu,
Nimepita kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii nimekutana na kitu inaitwa WAKALA ONLINE. Kama ujuavyo baadhi ya watanzania wanapenda pesa za mteremko yaani wapate pesa bila kushughulika. Pia kupenda njia za mikato, hapa wajinga wengi watapigwa na kitu kizito.
Hii kitu kwa namna nilivyo ifuatilia una jiunga kisha utaweka kiasi cha pesa kupitia namba itakayo kuwepo hapo. Baada ya hapo utasubiri masaa 24 kisha utapata nusu ya faida kutokana na pesa uliyo tuma hapo awali. Mfano ukituma 1,000 baada ya masaa 24 pesa yako itakuwa imeongezeka na kuwa 1,500 hapo unaweza kutoa 500 ikabaki 1,000 kisha utasubiri masaa 24 tena utoe 500, hivyo hivyo mpaka utakapo ona umetosha kupiga maokoto.
Hii kitu bado ni mpya haina muda mrefu mpaka sasa, ila mi nahisi hapa watu wanavutiwa upepo tu mwisho wa siku watajaa kwenye mfumo na kulia kilio cha mbwa mwitu.
Je, umewahi kutana ama kuisikia hii kitu katika pita pita zako huko kwenye mitandao ya kijamii na una maoni gani? Karibu
Stupidity,stupidity stupidity
You will always called stupid if you donโt understand this principleโฆ. โYou can not get paid if donโt work โ nothing goes for nothing โ no free lunch under the sunโwashingtin pale wala sio mbali na white house na watu wanapigwa deile....
ingia youtube andika scams arreste in washington,au weka new york au kokote...
scammers ni moja ya disadvantage kwenye maendeleo ya teknolojia
by the way,point yangu sio kwamba watakaopigwa bongo ni wajinga,scammers wanatumia akili nyingi kukupiga hera yako hata uwe na degree utaingia tu kwa mtego.....
Niliweka buku tano baada ya siku 2 nikakuta 9000 nikachomoa kuhela changu nikaacha buku 2 baada ya siku kadhaa nikakuta 6000 nimetoa nimewachia buku naisubiri ifike buku tano niruke nao๐๐Habari zenu wakuu,
Nimepita kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii nimekutana na kitu inaitwa WAKALA ONLINE. Kama ujuavyo baadhi ya watanzania wanapenda pesa za mteremko yaani wapate pesa bila kushughulika. Pia kupenda njia za mikato, hapa wajinga wengi watapigwa na kitu kizito.
Hii kitu kwa namna nilivyo ifuatilia una jiunga kisha utaweka kiasi cha pesa kupitia namba itakayo kuwepo hapo. Baada ya hapo utasubiri masaa 24 kisha utapata nusu ya faida kutokana na pesa uliyo tuma hapo awali. Mfano ukituma 1,000 baada ya masaa 24 pesa yako itakuwa imeongezeka na kuwa 1,500 hapo unaweza kutoa 500 ikabaki 1,000 kisha utasubiri masaa 24 tena utoe 500, hivyo hivyo mpaka utakapo ona umetosha kupiga maokoto.
Hii kitu bado ni mpya haina muda mrefu mpaka sasa, ila mi nahisi hapa watu wanavutiwa upepo tu mwisho wa siku watajaa kwenye mfumo na kulia kilio cha mbwa mwitu.
Je, umewahi kutana ama kuisikia hii kitu katika pita pita zako huko kwenye mitandao ya kijamii na una maoni gani? Karibu
Nilichogundua kwa hawa jamaa ni kwamba ukiweka pesa kubwa kuanzia lako haitoki wanakwambia mara mtandao au unaweza kutoa ila mara moja alaf baada ya hapo utaambiwa baada ya siku 30 ndo utoe hela ujue ndo imetoka hapo๐๐Hapa ni kucheza nao akili tu unaweka pesa kubwa wanakupa mara mbili yake unaamsha unawarudia na jina jingine pia unaweka mara moja unaondoka mazima, kawaida yao huwa wanakusubiri uweke na kupokea mara nne then pesa wana mute nayo, so we unaweka mara moja moja pesa nyingi kwa I'd tofauti tofauti,
Nilichogundua kwa hawa jamaa ni kwamba ukiweka pesa kubwa kuanzia lako haitoki wanakwambia mara mtandao au unaweza kutoa ila mara moja alaf baada ya hapo utaambiwa baada ya siku 30 ndo utoe hela ujue ndo imetoka hapo[emoji16][emoji16]
Imewekwa mkuu page no 2Ungetuwekea link na hapa tuwahi mapema tukayapige hayo maokoto pia
Ngoja niiwahi hii fursaImewekwa mkuu page no 2
Sio kweli mkuu hii kitu ipo na watu wanalipwa ukweli ila jamaa wanaekeza kwenye cryptocurrency kule kuna hela asikwambie mtu, wanafanya crypto mining then mnagawana faidaYou will always called stupid if you donโt understand this principleโฆ. โYou can not get paid if donโt work โ nothing goes for nothing โ no free lunch under the sunโ