TAHAR SABAR: Mwanadada aliyefanya plastic surgery zaidi ya Hamsini ili Afanane na Angelina Jolie

Da Vinci XV

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2019
Posts
3,862
Reaction score
6,438
WASAALAM

Fatemeh Khishvand, anayejulikana na jina lake la Instagram Sahar Tabar ni mwanada wa Irani ambaye alijizolea umaarufu mnamo 2017 kwa upasuaji na mapambo , kwenye picha zake zilizoenea mtandaoni ili tu afanane na mwigizaji nguli wa hollywood ANGELINA JOLIE



Ilisemekana kwamba alikuwa amebadilisha uso wake kupitia upasuaji wa plastiki kama mara hamsini.



Tabar alihojiwa kwenye televisheni ya kitaifa ya Iran mnamo Oktoba 2019 baada ya kukamatwa kwa mashtaka ikiwa ni pamoja na kufuru na kupata pesa kinyume cha sheria.



Tabar alihukumiwa kifungo cha miaka kumi mnamo Desemba 2020.


ANGELINA JOLIE



DA'VINCI XV
 
Hiyo pesa angetuletea huku Tanzania isaidie kupelekea maji tiririka vijijini.
kwakweliii ...pale jirani kwao tu palestina na syria kuna wananchi wanasuffer kwa maafa ya vita ,,, angewagusisha tu hata za matibabu

Hivi kuna watu pesa zao hazina kazi ?? au zina kazi lakini ni kazi za kijinga🤣🤣🤣
 
Sasa mbona kapoteza mvuto ata wa awali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…