TAHAR SABAR: Mwanadada aliyefanya plastic surgery zaidi ya Hamsini ili Afanane na Angelina Jolie

TAHAR SABAR: Mwanadada aliyefanya plastic surgery zaidi ya Hamsini ili Afanane na Angelina Jolie

Hospitali yA Magonjwa ya akili na saikolojia.

Just imagine mwanzo alvokua mzur,
afu cheki alovokua mbaya baada ya haya matakataka.

Apo sio ajabu Kuna watu wanamkoki ku kapendeza

Sent using Jamii Forums mobile app
ilo haliwezi kukwepekana kuna wapumbavu wenzake itakuwa wanamsifia kapendeza
 
Hospitali yA Magonjwa ya akili na saikolojia.

Just imagine mwanzo alvokua mzur,
afu cheki alovokua mbaya baada ya haya matakataka.

Apo sio ajabu Kuna watu wanamkoki ku kapendeza

Sent using Jamii Forums mobile app
ilo haliwezi kukwepekana kuna wapumbavu wenzake itakuwa wanamsifia kapendeza
 
Ukipata nistue best
Na wewe uko kwenye hili janga ndugu yangu🤣🤣
mwingine huyu apa Chakorii ana matatazo kama yako hela yenyewe mnayo ndugu msje skia kutoka hapa hadi huko nauli tu ni sawa na pato letu la mwaka mzima🤣🤣🤣🤣
Akuu...yasije yakanipata kama ya huyo dada hapo.najivunia kuwa mfupi maana kuzeeka ni kipengele😅😅
 
mwingine huyu apa Chakorii ana matatazo kama yako hela yenyewe mnayo ndugu msje skia kutoka hapa hadi huko nauli tu ni sawa na pato letu la mwaka mzima🤣🤣🤣🤣
Mdogo wangu usinichukulie poa ninauwezo wa kulisha wewe na kizazi chako cha sasa na cha baadae
Na wewe uko kwenye hili janga ndugu yangu🤣🤣

Akuu...yasije yakanipata kama ya huyo dada hapo.najivunia kuwa mfupi maana kuzeeka ni kipengele😅😅
Yes ni mbirikimo mwenzio
 
Mdogo wangu usinichukulie poa ninauwezo wa kulisha wewe na kizazi chako cha sasa na cha baadae

Yes ni mbirikimo mwenzio
Wacha bhana
Mdogo wangu usinichukulie poa ninauwezo wa kulisha wewe na kizazi chako cha sasa na cha baadae

Yes ni mbirikimo mwenzio
tujipige kifuani tuseme sisi hatuzeeki kiboya boya🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom