Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Ndugu wadau wa elimu habarini za mda huu,
Tangu kuanza kwa wiki hii inayoelekea weekend kumetokea na taharuki kubwa kwa vyuo mbalimbali hapa Nchini na inaendelea hadi da huu wanafunzi wengi tuko midomo wazi.
Issue iko hivi, baada ya vyuo kufunguliwa na wanafunzi kuanza masomo bodi ya mikopo ilianza kutoa Allocations zote kwa wanafunzo wanaoendelea na masomo(Continues), sasa cha kushangaza mpaka mda huu Luna baadhi ya wanafunzi hawajapata message za boom kwenye simu zao wala hela hata shilling 100.
Licha ya wachache kupata message za pesa na kufanikiwa kuverify bado pesa na viandikwa bado wanafunzi hawajapata yaan unatumiwa message zote za MA & BS alafu ukiverify inaingia hela ya boom tu.
Sambamba na hilo, kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo inaonesha dhahiri kuwa àllocation zetu za ada zimepunguzwa, nasema hvyo kuwa zimepunguzwa kwanini?
Kwa sababu mwaka Jana bodi ilivyotoa mikopo kwa wanafunzi walikuwa wanaonesha allocation za miaka yote kulingana na duration ya program husika, sasa ni jambo la kushangaza nakusikitisha mtu umeona toka mwaka Jana kuwa nikifika mwaka wa pili nalipiwa pesa yote ya ada alafu sasa hivi nakuta pesa imepunguzwa nalipiwa laki saba.
Binafsi Nipo chuo ni mwezi sasa ila sijapata message ya booms mpaka leo wala Kierkegaard's a hata mia kwenye account yangu ya bank. Kwenye upande wa tuition fees ndo wamepunguza kabisa hadi watu wanalia.
Jana kuna girl mmoja alikuwa analia kabisa maana hajui atasomaje bila hela ya ada. Mwaka Jana ilionesha atalipiwa pesa zote za ada kwa 100% miaka yote Leo hii anakuta allocation ya boom pekee ada ajilipie mwenyewe.
HESLB popote mlipo tunataka maelezo ya kina kuhusu haya mauzauza mnayotufanyia sababu mini, kwani tuliwalazimisha pale mwaka Jana kutuonesha allocation za miaka yote mi3? Ni bora mngetuchinja tu kama mlivyowachinja ndugu zetu hapa mwaka huu kwa kuwa 20% kuliko haya mnayotufanyia maana tungelijua moja na kama mm nisingejisumbua kuja kabisa chuoni ningelifanya mambo yangu.
Kwa hiki mlichokifanya na kama bado kitaendelea kuwa serious basi mtegemee wanafunzi wengine kuacha vyuo bila kujali wako mwaka wa ngapi.. Maana bila ada watu watasomaje? Booms zenyewe mnatoa nyie mnajisikia kana kwamba ni pesa za familia.
Yaaan mambo ni mengi ila hebu niishie hapa
HESLB sio watu kabisa,,, mpaka leo watu hatujapata booms zetu hali ya kuwa tumefaulu vizuri na uongozi wa chuo unatuambia matokeo yetu yalishatumwa kwenu kitambo tu...!!
Tangu kuanza kwa wiki hii inayoelekea weekend kumetokea na taharuki kubwa kwa vyuo mbalimbali hapa Nchini na inaendelea hadi da huu wanafunzi wengi tuko midomo wazi.
Issue iko hivi, baada ya vyuo kufunguliwa na wanafunzi kuanza masomo bodi ya mikopo ilianza kutoa Allocations zote kwa wanafunzo wanaoendelea na masomo(Continues), sasa cha kushangaza mpaka mda huu Luna baadhi ya wanafunzi hawajapata message za boom kwenye simu zao wala hela hata shilling 100.
Licha ya wachache kupata message za pesa na kufanikiwa kuverify bado pesa na viandikwa bado wanafunzi hawajapata yaan unatumiwa message zote za MA & BS alafu ukiverify inaingia hela ya boom tu.
Sambamba na hilo, kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo inaonesha dhahiri kuwa àllocation zetu za ada zimepunguzwa, nasema hvyo kuwa zimepunguzwa kwanini?
Kwa sababu mwaka Jana bodi ilivyotoa mikopo kwa wanafunzi walikuwa wanaonesha allocation za miaka yote kulingana na duration ya program husika, sasa ni jambo la kushangaza nakusikitisha mtu umeona toka mwaka Jana kuwa nikifika mwaka wa pili nalipiwa pesa yote ya ada alafu sasa hivi nakuta pesa imepunguzwa nalipiwa laki saba.
Binafsi Nipo chuo ni mwezi sasa ila sijapata message ya booms mpaka leo wala Kierkegaard's a hata mia kwenye account yangu ya bank. Kwenye upande wa tuition fees ndo wamepunguza kabisa hadi watu wanalia.
Jana kuna girl mmoja alikuwa analia kabisa maana hajui atasomaje bila hela ya ada. Mwaka Jana ilionesha atalipiwa pesa zote za ada kwa 100% miaka yote Leo hii anakuta allocation ya boom pekee ada ajilipie mwenyewe.
HESLB popote mlipo tunataka maelezo ya kina kuhusu haya mauzauza mnayotufanyia sababu mini, kwani tuliwalazimisha pale mwaka Jana kutuonesha allocation za miaka yote mi3? Ni bora mngetuchinja tu kama mlivyowachinja ndugu zetu hapa mwaka huu kwa kuwa 20% kuliko haya mnayotufanyia maana tungelijua moja na kama mm nisingejisumbua kuja kabisa chuoni ningelifanya mambo yangu.
Kwa hiki mlichokifanya na kama bado kitaendelea kuwa serious basi mtegemee wanafunzi wengine kuacha vyuo bila kujali wako mwaka wa ngapi.. Maana bila ada watu watasomaje? Booms zenyewe mnatoa nyie mnajisikia kana kwamba ni pesa za familia.
Yaaan mambo ni mengi ila hebu niishie hapa
HESLB sio watu kabisa,,, mpaka leo watu hatujapata booms zetu hali ya kuwa tumefaulu vizuri na uongozi wa chuo unatuambia matokeo yetu yalishatumwa kwenu kitambo tu...!!