DOKEZO Taharuki yazuka, Wazazi wajaa Shule ya Msingi Ubungo NHC baada ya taarifa kuwa shule inauzwa

DOKEZO Taharuki yazuka, Wazazi wajaa Shule ya Msingi Ubungo NHC baada ya taarifa kuwa shule inauzwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wiki iliyopita siku ya Jumamosi, watoto waliporudi nyumbani walileta taarifa ya kushtua kuwa Shule ya Msingi Ubungo National Housing (NHC) inauzwa, na wazazi tunahitajika kufika shuleni leo Jumanne kwa ajili ya kikao kilichopangwa. Hali hii ilisababisha taharuki miongoni mwa wazazi. Tulipofika shuleni leo, tumeambiwa kuwa shule inavunjwa na badala yake itabadilishwa kuwa English Medium.
Hata hivyo, tulipokea taarifa hii bila barua rasmi kutoka shuleni, tena watoto ndio waliotufahamisha kuhusu mabadiliko haya. Tumefika shuleni hapa, lakini tumeambiwa Mkuu wa Shule anaumwa na hayupo, Mkuu Msaidizi anasema yupo kwenye kazi maalum, na hata Afisa Elimu na Mratibu hawapo. Hatujui hatma ya watoto wetu.
Baada ya kufika hapa leo, tumeelezwa kuchagua shule nyingine kwa ajili ya kuwatoa watoto wetu, lakini hakuna maelezo ya kutosha kuhusu kwanini shule ya Serikali inavunjwa au kwanini taarifa hii inatolewa kwa dharura. Wengine wanalazimishwa kusaini makubaliano ya kuhamisha watoto bila kujua vema maelezo ya mabadiliko haya ya ghafla.
Hii ni hali ya kusikitisha kwa wazazi na inahitaji uwazi zaidi kutoka kwa viongozi wa elimu na serikali kuhusu mustakabali wa watoto wetu kwani hivi sasa unawahamishaje watoto mwishoni mwa mwaka?

Imeuzwa kweli hiyo tayari!
 
Wazazi mmeitwa kwenye kikao, halafu wahusika hawapo!
Haya, mshukuruni mama Kisha rudini kwenu!
 
Wiki iliyopita siku ya Jumamosi, watoto waliporudi nyumbani walileta taarifa ya kushtua kuwa Shule ya Msingi Ubungo National Housing (NHC) inauzwa, na wazazi tunahitajika kufika shuleni leo Jumanne kwa ajili ya kikao kilichopangwa. Hali hii ilisababisha taharuki miongoni mwa wazazi. Tulipofika shuleni leo, tumeambiwa kuwa shule inavunjwa na badala yake itabadilishwa kuwa English Medium.
Hata hivyo, tulipokea taarifa hii bila barua rasmi kutoka shuleni, tena watoto ndio waliotufahamisha kuhusu mabadiliko haya. Tumefika shuleni hapa, lakini tumeambiwa Mkuu wa Shule anaumwa na hayupo, Mkuu Msaidizi anasema yupo kwenye kazi maalum, na hata Afisa Elimu na Mratibu hawapo. Hatujui hatma ya watoto wetu.
Baada ya kufika hapa leo, tumeelezwa kuchagua shule nyingine kwa ajili ya kuwatoa watoto wetu, lakini hakuna maelezo ya kutosha kuhusu kwanini shule ya Serikali inavunjwa au kwanini taarifa hii inatolewa kwa dharura. Wengine wanalazimishwa kusaini makubaliano ya kuhamisha watoto bila kujua vema maelezo ya mabadiliko haya ya ghafla.
Hii ni hali ya kusikitisha kwa wazazi na inahitaji uwazi zaidi kutoka kwa viongozi wa elimu na serikali kuhusu mustakabali wa watoto wetu kwani hivi sasa unawahamishaje watoto mwishoni mwa mwaka?
Haivunjwi ila itakuwa inatumia lugha ya kiingereza TU! Tena mfurahi watoto wenu watajua kiingereza! Tz ni nchi ya hovyo sana, nchi zote 54 zilizotawaliwa na mwingereza ni Tanzania TU haitumii kiingereza kuanzia nursery mpaka chuo kikuu!
 
Peleka mtoto hapo Mugabe acha kelele ambazo hazisaidii,Serikali imeamua kubadili shule iwe ya kiingereza huoni ni maendeleo hayo?Kwa maana nyingine mdogo wake na huyo utampeleka hapo asome kwa kiingreza.
Ata pale mwanza kuna shuke serikali ili badili saivi ni english medium walio jiweza waka endelea wasio jiweza waka amishiwa shule jirani ya kawaida
 
Hii ni video ikionyesha wazazi wakiwa na taharuki
 
Wiki iliyopita siku ya Jumamosi, watoto waliporudi nyumbani walileta taarifa ya kushtua kuwa Shule ya Msingi Ubungo National Housing (NHC) inauzwa, na wazazi tunahitajika kufika shuleni leo Jumanne kwa ajili ya kikao kilichopangwa. Hali hii ilisababisha taharuki miongoni mwa wazazi. Tulipofika shuleni leo, tumeambiwa kuwa shule inavunjwa na badala yake itabadilishwa kuwa English Medium.
Hata hivyo, tulipokea taarifa hii bila barua rasmi kutoka shuleni, tena watoto ndio waliotufahamisha kuhusu mabadiliko haya. Tumefika shuleni hapa, lakini tumeambiwa Mkuu wa Shule anaumwa na hayupo, Mkuu Msaidizi anasema yupo kwenye kazi maalum, na hata Afisa Elimu na Mratibu hawapo. Hatujui hatma ya watoto wetu.
Baada ya kufika hapa leo, tumeelezwa kuchagua shule nyingine kwa ajili ya kuwatoa watoto wetu, lakini hakuna maelezo ya kutosha kuhusu kwanini shule ya Serikali inavunjwa au kwanini taarifa hii inatolewa kwa dharura. Wengine wanalazimishwa kusaini makubaliano ya kuhamisha watoto bila kujua vema maelezo ya mabadiliko haya ya ghafla.
Hii ni hali ya kusikitisha kwa wazazi na inahitaji uwazi zaidi kutoka kwa viongozi wa elimu na serikali kuhusu mustakabali wa watoto wetu kwani hivi sasa unawahamishaje watoto mwishoni mwa mwaka?
Eneo la shule kubadilishwa matumizi sio ishu jambo la msingi ni wanawahamishia wapi
 
Mama Mitano tena, kwenye kila maendeleo kuna watu wata umizwa na watakao shangilia, ila kwa hili ni heko kwa serikali yangu bomoa tujenge upya. Tusipende lalamika sana kila kitu kwetu tunaona tuna onewa, maboresho mengine yana kwenda kwa garama kubwa. ifike mahali tuache kuamini Free education, free medical care, free homes etc Hakuna bure zaidi ya maziwa ya mama. Tujifunze kupambana na kuongeza bidii kila kitu bora na kizuri ni pesa. Hakuna elimu bora bila pesa. Wapo watu kibao wametoka hizi shule za kayumba wakawa watu mashughuri ila bado sio kigezo cha elimu bora. Elimu bora ni pamoja na madara ya kisasa, mazingira salama, walimu wa kutosha, chakula bora, vitabu na mitahala bora. Sasa kama tuna boreshewa tuna anza lalamika ni lini Watanzania wata anza amini karne zimebadilika vya bure ni garama hakuna vitu vya bure duniani? Mtegemea cha nduguye hufa maskini. Tafakari
Mkuu yote sawa, kwa hao watoto wao hawana haki ya kuboreshwa???

Kwani hao watoto hawana haki ya kujua Kiingereza???

Kwanini wasipewe kipaumbele???

Mkuu serikali inapojenga majengo mapya au kukarabati shule nyingine huwa inahamisha wanafunzi???

Kuna maswali mengi kuliko majibu. Loliondo in Dar!!!
 
Wiki iliyopita siku ya Jumamosi, watoto waliporudi nyumbani walileta taarifa ya kushtua kuwa Shule ya Msingi Ubungo National Housing (NHC) inauzwa, na wazazi tunahitajika kufika shuleni leo Jumanne kwa ajili ya kikao kilichopangwa. Hali hii ilisababisha taharuki miongoni mwa wazazi. Tulipofika shuleni leo, tumeambiwa kuwa shule inavunjwa na badala yake itabadilishwa kuwa English Medium.
Hata hivyo, tulipokea taarifa hii bila barua rasmi kutoka shuleni, tena watoto ndio waliotufahamisha kuhusu mabadiliko haya. Tumefika shuleni hapa, lakini tumeambiwa Mkuu wa Shule anaumwa na hayupo, Mkuu Msaidizi anasema yupo kwenye kazi maalum, na hata Afisa Elimu na Mratibu hawapo. Hatujui hatma ya watoto wetu.
Baada ya kufika hapa leo, tumeelezwa kuchagua shule nyingine kwa ajili ya kuwatoa watoto wetu, lakini hakuna maelezo ya kutosha kuhusu kwanini shule ya Serikali inavunjwa au kwanini taarifa hii inatolewa kwa dharura. Wengine wanalazimishwa kusaini makubaliano ya kuhamisha watoto bila kujua vema maelezo ya mabadiliko haya ya ghafla.
Hii ni hali ya kusikitisha kwa wazazi na inahitaji uwazi zaidi kutoka kwa viongozi wa elimu na serikali kuhusu mustakabali wa watoto wetu kwani hivi sasa unawahamishaje watoto mwishoni mwa mwaka?
Wameuza Loliondo na Bandari zetu sembuse shule?
 
Swala la muda, wneo potential sana ilo. Wakienda likizo December hawarudi. January wote waende Mugabe.

Maendeleo hayana chama.
 
Wiki iliyopita siku ya Jumamosi, watoto waliporudi nyumbani walileta taarifa ya kushtua kuwa Shule ya Msingi Ubungo National Housing (NHC) inauzwa, na wazazi tunahitajika kufika shuleni leo Jumanne kwa ajili ya kikao kilichopangwa. Hali hii ilisababisha taharuki miongoni mwa wazazi. Tulipofika shuleni leo, tumeambiwa kuwa shule inavunjwa na badala yake itabadilishwa kuwa English Medium.
Hata hivyo, tulipokea taarifa hii bila barua rasmi kutoka shuleni, tena watoto ndio waliotufahamisha kuhusu mabadiliko haya. Tumefika shuleni hapa, lakini tumeambiwa Mkuu wa Shule anaumwa na hayupo, Mkuu Msaidizi anasema yupo kwenye kazi maalum, na hata Afisa Elimu na Mratibu hawapo. Hatujui hatma ya watoto wetu.
Baada ya kufika hapa leo, tumeelezwa kuchagua shule nyingine kwa ajili ya kuwatoa watoto wetu, lakini hakuna maelezo ya kutosha kuhusu kwanini shule ya Serikali inavunjwa au kwanini taarifa hii inatolewa kwa dharura. Wengine wanalazimishwa kusaini makubaliano ya kuhamisha watoto bila kujua vema maelezo ya mabadiliko haya ya ghafla.
Hii ni hali ya kusikitisha kwa wazazi na inahitaji uwazi zaidi kutoka kwa viongozi wa elimu na serikali kuhusu mustakabali wa watoto wetu kwani hivi sasa unawahamishaje watoto mwishoni mwa mwaka?
PPP
 
Wiki iliyopita siku ya Jumamosi, watoto waliporudi nyumbani walileta taarifa ya kushtua kuwa Shule ya Msingi Ubungo National Housing (NHC) inauzwa, na wazazi tunahitajika kufika shuleni leo Jumanne kwa ajili ya kikao kilichopangwa. Hali hii ilisababisha taharuki miongoni mwa wazazi. Tulipofika shuleni leo, tumeambiwa kuwa shule inavunjwa na badala yake itabadilishwa kuwa English Medium.
Hata hivyo, tulipokea taarifa hii bila barua rasmi kutoka shuleni, tena watoto ndio waliotufahamisha kuhusu mabadiliko haya. Tumefika shuleni hapa, lakini tumeambiwa Mkuu wa Shule anaumwa na hayupo, Mkuu Msaidizi anasema yupo kwenye kazi maalum, na hata Afisa Elimu na Mratibu hawapo. Hatujui hatma ya watoto wetu.
Baada ya kufika hapa leo, tumeelezwa kuchagua shule nyingine kwa ajili ya kuwatoa watoto wetu, lakini hakuna maelezo ya kutosha kuhusu kwanini shule ya Serikali inavunjwa au kwanini taarifa hii inatolewa kwa dharura. Wengine wanalazimishwa kusaini makubaliano ya kuhamisha watoto bila kujua vema maelezo ya mabadiliko haya ya ghafla.
Hii ni hali ya kusikitisha kwa wazazi na inahitaji uwazi zaidi kutoka kwa viongozi wa elimu na serikali kuhusu mustakabali wa watoto wetu kwani hivi sasa unawahamishaje watoto mwishoni mwa mwaka?
 

Attachments

  • 354506.jpg
    354506.jpg
    14.5 KB · Views: 2
Mkuu yote sawa, kwa hao watoto wao hawana haki ya kuboreshwa???

Kwani hao watoto hawana haki ya kujua Kiingereza???

Kwanini wasipewe kipaumbele???

Mkuu serikali inapojenga majengo mapya au kukarabati shule nyingine huwa inahamisha wanafunzi???

Kuna maswali mengi kuliko majibu. Loliondo in Dar!!!
Nakubaliana na wewe sana mkuu ila mambo mengine yana maana ilio jificha, vitu vingine kama watanzania tuna jitakia, wanao fanya hayo tumewapa dhamana sisi, wanao takiwa kutusemea tumewapa dhamana sisi. wakati wa kulia tuna lia na kulalamika sisi wakutusemea ana kuwa hayupo tena. Je nani ame tuloga watanzania? Tafakari kz walio wengi bado wamelala usingizi mzigo tuna shabikia zaidi kuliko kufanya maamuzi ya maisha yetu ndio mana tuna tumika na kutupwa kama hivi. So wacha watu wale mwarubaini wao mpaka pale wata amka wakute safari ina endelea ukitaka kwenda mbali nenda mwenyewe ukitaka kusogea sogea wewe nenda nao wote matokeo ndio haya sasa. Kesho hata nikisikia Yanga wamenunua hilo eneo wana jenga uwanja sawa tu maana bado tulio wengi hatujui wajibu wetu.
Conclusion; wacha tulio wapa dhamana watu buruze mpaka pale tuta pata akili kuwa bila sisi wao ni hakuna.
 
Ngoja na mimi niende kuandamana, nimesoma hapo miaka 31 iliyopita, enzi za mwalim mkuu banda.
 
Back
Top Bottom