Taifa ambalo wananchi wake wamejaa manug'uniko na malalamiko ni taifa ambalo lina serikali iliyofeli kuongoza

Taifa ambalo wananchi wake wamejaa manug'uniko na malalamiko ni taifa ambalo lina serikali iliyofeli kuongoza

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kwamba wananchi wanalalama juu ya ugumu wa maisha. Biashara ngumu huku mzunguko wa pesa upo chini.

Ajira za kugombania kama watoto wanagombania peremende.

Tozo lukuki kama vile hakuna vyanzo mbadala vya kulipatia mapato taifa.

Watanzania mpaka ifike 2025 mtakuwa watu wa kulialia na kulalama tu.
 
Back
Top Bottom