Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #41
Una uhakika? Hii ni haki ya kikatiba kutoa maoni acha kuniingilia shwain mkubwaWanasama ukiona mto unapita karibu yako,basi chimba kimfereji kije nyumbani kwako nawe ule asali,maana hata ukilalamika haisaidii kwa sasa.
Mwaka 1972, Mwalimu alimwambia baba yangu, " wewe nakuamini kwa kuwa si mtoto wa masikini tu aliyesomeshwa kwa kilimo cha kahawa, bali kwa kuwa una hofu ya Mungu, umeelimika na umelelewa na kufunzwa kutumikia Watanzania wenzako kwa haki".Waliamua kuajiri watu wao watoto wa vigogo , wacha wawaangushe, ukimuajiri mtu maskini hataibia serikali, angalau atakuwa na uchungu na nchi yake, ukimuajiri mtoto wa kigogo , ndo ataiba vizuri kwa sababu amekwishazoea pesa. Huu wizi Ni matokeo ya kupeana connection za wao kwa wao. Hatuhitaji mtu msomi saana kwenye hizo nafasi, tunahitaji mtu asiyeweza kuiibia serikali. Period.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23]Angalia raia maskini wanavyohangaika kulima kwa jembe la mkono na kulipa kodi na tozo kandamizi.
Angalia wavuvi ambao hawalali na familia zao wanalipa kodi na tozo kandamizi huku wakikesha majini na kuteseka.
Alafu mkuu wa nchi anakuwa dhaifu na kuacha pesa za umma zinaibiwa kama peremende kwenye duka la mhindi.
Mbaya zaidi ni kuwa Tv ipo Magogoni ila rimoti ipo Msoga.
Marais kama Julius Nyerere, Nkwame Krumah, John P Magufuli, Patrik Lumumba na Thomas Sankara watakumbukwa kwa kulinda mali za Afrika.