Taifa la Israel halina uhalali wa kumiliki Gaza

Taifa la Israel halina uhalali wa kumiliki Gaza

Huo msikiti mkubwa wa waislamu wenye zaidi ya miaka 500 kwa chini yaani archeology wazee wa kuchimba chimba wamepata mabaki ya hekalu la Suleiman na wamepima umri wake ni more than 500 years...watu wameangalia hadi milima ya zamani ndo ile ile pale wa Israel hawajakurupuka ni bonge la studies wamefanya.
 
Kwa asili tangu mwanzo hii nchi ni mali ya waisrael, wapalestina walikuwa wapita njia wakiwa wafanya biashara ndio wakaweka makazi yao humo! Maandiko yanasema kuwa hii ni nchi waliopewa wana wa Israel na Mwenyezi Mungu mwenyewe.
 
U
itabu vya kiimani na kihistoria vinasema Daudi na Suleman ni wafalme wa kiYahudi (Jews). Palestina kma eneo limetambuliwa wakati wa ukoloni lakini kihistoria miji ya kiyahudi kma Nazareth, Yudea, Galilaya ilikiwepo tangu wafalme wa kale wa Wayahudi. Ni kweli wayahudi ambao ndo taifa la Israeli walisambaa na kupoteza utaifa ila eneo walilopo sasa kijiografia na historia ndio haswa asili yao na vizazi vyao viliishi hapo hakuna pe
Umenena kweli kabisa mkuu, nakupa kongole.
 
"Maana ijulikanavyo kuna jamii ya wana wa israel ila hakuna na hakukuwahi kuwa na taifa la Israel

[emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Hivi unajua kuwa katika biblia Walipotoka Misri waliambiwa waende Kaanani inchi ambayo ilikuwa inakaliwa na watu??????




Wakaambiwa wawaue wooote wao waka waacha??


Hesabu 33:55 SRUVDC

Lakini kama hamtaki kuwafukuza wenyeji wa nchi watoke mbele yenu; ndipo hao ambao mtawabakiza watakuwa kama sindano machoni mwenu, na kama miiba ubavuni mwenu, nao watawasumbua katika hiyo nchi ambayo mwakaa.



Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Israel haina mamlaka juu ya Gaza wala Jerusalem wala West bank. Israel ilivamia tu maeneo hayo ya Palestine toka miaka ya 1960s.

Palestine ilikuwepo na kihistoria ilitawaliwa na Uingereza. Je Taifa la Israel lilitawaliwa na nani?

Maana ijulikanavyo kuna jamii ya wana wa israel ila hakuna na hakukuwahi kuwa na taifa la Israel.

USA inalazimisha illegal westbank settlements zilizojengwa na Israel kwa uvamizi ziwe legalized ilhali yale maeneo waisrael wamevamia.
Ukisema Israel ni Taifa Haram ( Batili / Lisilotakiwa ) unaweza ukawa unatudhihirishia ni jinsi gani labda unaugua Uwendawazimu ila hujajigundua tu kwani hata katika Kitabu Kitakatifu cha Wakristo tumejifunza kuwa hilo ndilo Taifa la Mungu sasa ukisema ni Haram ina maana hata mwenye Taifa lake hilo Mwenyezi Mungu nae ni Haram pia au?
 
Israel taifa haram? Hmm hiyo hoja ngumu.
Zingatia:
1. Israel (ile ya leo, si ile ya Biblia) ni nchi ya pekee iliyoanzishwa kwa azimio la Umoja wa Mataifa.
2. Mfano nchi kama Kenya ilianzishwa kwa hiari ya Mwingereza, Tanganyika ilianzishwa kwa hiari ya Mjerumani halafu Mwingereza, nchi nyingi za Afrika vilevile.
Sioni mantiki kuita nchi yenye msingi katika haki ya kimataifa "Haram"

Utawala wake juu ya Ukingo wa Magharibi wa Yordani (West Bank) ni kitu kingine. Nchi nyingi hautambui.

Majadiliano kuhusu Wapalestina miaka mamia iliyopita ni bure. Palestina kama taifa walianzishwa pamoja na Israeli katika azimio lilelile la Umoja wa Mataifa.
Miaka 100 iliyopita hakuna Palestine, ilikuwa wilaya ya kusini ya jimbo la Syria ya Uturuki (tusema: Milki ya OSmani - Ottoman Empire) tu.
 
Ibrahim baba wa Isaac hakuwa na ardhi kweli kwani mfalme Daudi aliwatawala waislaeli wakiishi angani?
 
Umeelewa nini nazungumzia?Nazungumzia taifa la Israel halikuwahi kuwepo.Bali kulikua na jamii ya wana wa israel ambayo ilikua ni jamii ya kuhamahama.Walikaa maeneo karibia na Misri wakahamia uarabu Saudia wakahamia Ulaya walipita mpk upersi ndipo wakaja kulazmisha kuunda taifa Palestina kinguvu.Tofautisha jamii na taifa.Nadhani umenielewa.Maana hata waturuki ambao jamii yao ni turkmeni na fursi wao waliunda himaya iitwayo Ottoman ndio ikaja kuitwa Uturuki sehemu moja maalum walipozaliana mpk sasa.ila ukizungumzia Israel kwao ni tofauti hawakuwahi kuwa na taifa wao ni wa kuhama hama.Nadhani umeelewa nachozungumza.
Kwahiyo unasema Mfalme DAUDI alikuwa mfalme wa wanaohamahama hakutawala taifa katika jiografia fulani yenye makao?
Mbona historia umeipunguza saaana mpaka nyakati za ukoloni? je kabla ya Wapalestina kutawaliwa na Uingereza walikuwa na tawala gani?
 
Yes walikua wafalme wa Palestine but hao walikua ni Waisrael, kumbuka mfalme Daudi alipewa ufalme baada ya kumuua kamanda mkuu wa vikosi wa kivita wa Wapalestina, zamani walijulika kama wafilisti, au Philistines ambao ndio hawa hawa Wapaletina wa leo; kwa ufupi hawa watu wana ugomvi wa miaka na miaka na sio issue ya kutawaliwa na Uingereza au laa. Labda nikupe story ndogo ya huyu waziri mkuu wao wa sasa hivi huyu bwana Benyamini Netanyahu; Huyu jamaa baba yake mzee Netanyahu alikua mwalimu wa dini (rabi) moja kati ya wanae huyu mzee ni huyu waziri mkuu wa sasa na kaka yake aliitwa Jonathan, huyu Jonathan ndiye aliyeongoza ile kitu inaitwa 90 minutes in Entebe, Benyamini alizaliwa hapo hapo mashariki ya kati/Israel/Palestine na huyo kaka yake alizaliwa USA, why USA ni kwamba huyo mzee alikua anatakiwa kwenda kufundisha Wayahudi wenzie huko oversees na wakati mwingine anatakiwa kurudi nyumbani, remember wote hawa wamezaliwa enzi za ukoloni wa Uingereza.
Ndugu unachanganya mada.Daud na Suleyman hawakuwa waisrael.Na miaka unayosemea wewe waisrael walikua wakiishi Shyam Wala hawakuwa wakiishi wanapopaita Israel sasa umekosea.
Sulayman na Daud ni asili ya kiarabu asilimia mia.
Kingine mie nazungumzia taifa.
Narudia Israel hawakuwahi kuwa na taifa walikua jamii ya wahamaji ndugu.
Ndio maana kuanzia miaka ya 1948 walianza kuanzisha taifa kinguvu wakitokea Europe wakianzia Misri wakivamia sinai na Golan heights.
Na waliazia hapo kwasababu majiran wa kihistoria wa wanaisrael ni wamisri .
Daud na Suleyman hawakuwa waisrael hata majina yana asili ya kiarabu kabisa.
Motive yangu ni kuzungumza taifa la Israel kuwa si taifa halali kabisa.
Ardhi wanayomiliki Israel kihalali ni ya wapalestina.
Nadhani umenielewa.
Na ndio maana Israel kuna mvuto wa wanaisrael asilia na wanaisrael walochanganyika na uzungu ambao wanajiita wazayuni kwasababu ya Zionism supportive movement.
Je Israel inauhalali wa kumiliki hiyo ardhi ya sasa??
Naomba jibu.
 
Vitabu vya kiimani na kihistoria vinasema Daudi na Suleman ni wafalme wa kiYahudi (Jews). Palestina kma eneo limetambuliwa wakati wa ukoloni lakini kihistoria miji ya kiyahudi kma Nazareth, Yudea, Galilaya ilikiwepo tangu wafalme wa kale wa Wayahudi. Ni kweli wayahudi ambao ndo taifa la Israeli walisambaa na kupoteza utaifa ila eneo walilopo sasa kijiografia na historia ndio haswa asili yao na vizazi vyao viliishi hapo hakuna pengine.
Usipotoshe historia Daud na Suleyman ni watawala wa asili ya kiarabu.
 
Kwahiyo unasema Mfalme DAUDI alikuwa mfalme wa wanaohamahama hakutawala taifa katika jiografia fulani yenye makao?
Mbona historia umeipunguza saaana mpaka nyakati za ukoloni? je kabla ya Wapalestina kutawaliwa na Uingereza walikuwa na tawala gani?
Daud alitawala watu wake wenye asili yake ya kipalestine ambao wakajenga na masjid Aqswa.
Na kihistoria kuna misikiti imejengwa Toka miaka ya 500 ila hakuna alama ya hekalu Wala nini.Hapo nadhan utakua umenielewa.
Waisrael walikua wakuhamahama.
 
Vitabu vya kiimani na kihistoria vinasema Daudi na Suleman ni wafalme wa kiYahudi (Jews). Palestina kma eneo limetambuliwa wakati wa ukoloni lakini kihistoria miji ya kiyahudi kma Nazareth, Yudea, Galilaya ilikiwepo tangu wafalme wa kale wa Wayahudi. Ni kweli wayahudi ambao ndo taifa la Israeli walisambaa na kupoteza utaifa ila eneo walilopo sasa kijiografia na historia ndio haswa asili yao na vizazi vyao viliishi hapo hakuna pengine.
Hiyo ni biblia ila Qur'an haijaongea hivyo.
Usijumuishe vitabu vyote.
 
Wewe mmatumbi pambana na hali yako, mambo ya Israel, Palestine achana nayo kama ambavyo wao hawajihusishi na yako. Acha kufia dini mlizoletewa na miarabu/mizungu kwa viboko na mijeredi.
Acha ufala mie sizungumzii udini hapa km hutaki kushiriki kakojoe ulale.
 
Acha ufala mie sizungumzii udini hapa km hutaki kushiriki kakojoe ulale.

Wewe mmatumbi pambana na taifa lako kama ambavyo hao unaowasujudu wanavyopambana na taifa lao bila kujihusisha na lako.

Mtakua watu wa kutangatanga na habari za mataifa mengine hadi lini? Mbona wao hawajali yenu? Nani kawaroga nyie watanganyika?
 
Vitabu vya kiimani na kihistoria vinasema Daudi na Suleman ni wafalme wa kiYahudi (Jews). Palestina kma eneo limetambuliwa wakati wa ukoloni lakini kihistoria miji ya kiyahudi kma Nazareth, Yudea, Galilaya ilikiwepo tangu wafalme wa kale wa Wayahudi. Ni kweli wayahudi ambao ndo taifa la Israeli walisambaa na kupoteza utaifa ila eneo walilopo sasa kijiografia na historia ndio haswa asili yao na vizazi vyao viliishi hapo hakuna pengine.
Umepotoshwa na biblia nimekwambia unapoongopa usihusishe vitabu vyote vya dini.
Hata vitabu vya kihistoria vinaonesha Toka miaka ya 500AD maeneo yote mpk Jerusalem yana historia ya kukaliwa na wapalestina
We ktabu gan cha kihistoria ulichosoma kikakudanganya hivyo??
Embu tizama hii video jaffa,Nazareth yote ni miji asili ya wakazi wa kifursi ambao ni wapalestina.
HIYO MIJI UNAYOITAJA KIAKIOLOJIA HAINA UTHIBITISHO WA KUKAA WANAISRAEL.
TIZAMA HIYO VIDEO HAPO CHINI.

Kwahiyo unasema Mfalme DAUDI alikuwa mfalme wa wanaohamahama hakutawala taifa katika jiografia fulani yenye makao?
Mbona historia umeipunguza saaana mpaka nyakati za ukoloni? je kabla ya Wapalestina kutawaliwa na Uingereza walikuwa na tawala gani?
 
Ibrahim baba wa Isaac hakuwa na ardhi kweli kwani mfalme Daudi aliwatawala waislaeli wakiishi angani?
We huna akili.
Nazungumzia taifa sio kabila.
Hata wakayi ambao ni kabila moja wapo ya waturuki walikua na kiongozi wa kabila na wao walikua mojawapo ya wahamaji wanahama huku na kule mpk ottoman inaundwa.
Sawa walikua na kiongozi ila hawakua na makazi maalum.
 
"Maana ijulikanavyo kuna jamii ya wana wa israel ila hakuna na hakukuwahi kuwa na taifa la Israel

[emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Hivi unajua kuwa katika biblia Walipotoka Misri waliambiwa waende Kaanani inchi ambayo ilikuwa inakaliwa na watu??????

Umepotoshwa na biblia.
Hao wayahudi hata biblia hawaifahamu.

#AljazeeraEnglish #Aljazeera world #palestine
Wakaambiwa wawaue wooote wao waka waacha??


Hesabu 33:55 SRUVDC

Lakini kama hamtaki kuwafukuza wenyeji wa nchi watoke mbele yenu; ndipo hao ambao mtawabakiza watakuwa kama sindano machoni mwenu, na kama miiba ubavuni mwenu, nao watawasumbua katika hiyo nchi ambayo mwakaa.



Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom