Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Kwa asili tangu mwanzo hii nchi ni mali ya waisrael, wapalestina walikuwa wapita njia wakiwa wafanya biashara ndio wakaweka makazi yao humo! Maandiko yanasema kuwa hii ni nchi waliopewa wana wa Israel na Mwenyezi Mungu mwenyewe.
Maandiko gani hayo ? na kaandika nani ??