Taifa la Israel halina uhalali wa kumiliki Gaza

Kwa asili tangu mwanzo hii nchi ni mali ya waisrael, wapalestina walikuwa wapita njia wakiwa wafanya biashara ndio wakaweka makazi yao humo! Maandiko yanasema kuwa hii ni nchi waliopewa wana wa Israel na Mwenyezi Mungu mwenyewe.

Maandiko gani hayo ? na kaandika nani ??
 
Mh kaka mbona umechanganya habari?????
Sijakuelewa untaka sempre Israel ndio palestine????
 
Mh kaka mbona umechanganya habari?????
Sijakuelewa untaka sempre Israel ndio palestine????
Kwani taifa la Israel lilianzishwa mwaka gani? Na kabla halijaanzishwa, hiyo nchi ilikuwa inaitwa jina gani wakati ikitawaliwa na waingereza?
 
Your browser is not able to display this video.
 


Nani aliandika hiyo biblia ?? tena unaongelea biblia ipi ?? Gay bible, Satanic bible, NIV , RSV, Douay au maelfu ya biblia tofauti ?+
 
Umeenena kweli kabisa.
 
Kwa Gaza sawa! Lakini siyo Yerusalemu na West bank.Hayo ni maeneo ya Israel kwa mjibu wa Kitabu Kitakatifu cha Biblia.
1Samweli sura ya 5 na 6: Hii ndiyo miji ya Wapalestina (Wafilist)-Gaza,Ashidodi,Gathi,Ekron na Ashikeloni.
 
Now you are talking; hapa tuko pamoja kabisa; nilicho pinga ni huyo mdau kusema eti Israel ilianza mwaka 1948.
Nazungumzia taifa la Israel sio wana waisrael
Kwani taifa la Israel lilianzishwa mwaka gani? Na kabla halijaanzishwa, hiyo nchi ilikuwa inaitwa jina gani wakati ikitawaliwa na waingereza?
Ilikua ikijulikana Palestine na kabla ya muingereza kutawala ilikua chin ya himaya ottoman baaada ya himaya ya Ottoman kuvunjwa ndio muingereza akaitawala
 
Unachanganya habar Ibrahim ni mwarabu sio muisraeli.Na Ibrahim katokea Iraq.
Yeye sio muisrael
 
Nazungumzia taifa la Israel sio wana waisrael

Ilikua ikijulikana Palestine na kabla ya muingereza kutawala ilikua chin ya himaya ottoman baaada ya himaya ya Ottoman kuvunjwa ndio muingereza akaitawala
Siku zote ni Palestine.. zamani ilikuwa inaitwa Caanan nchi waliyokuwa wanakaa wafilisti ( Philistines)
 
Nazungumzia taifa la Israel sio wana waisrael

Ilikua ikijulikana Palestine na kabla ya muingereza kutawala ilikua chin ya himaya ottoman baaada ya himaya ya Ottoman kuvunjwa ndio muingereza akaitawala
Niambie, wafalme hawa walikua wanaongoza Israel ipi? Musa, Yoshua, Samson, Samuel, Saul, Daudi (king David, nadhani huyu ndio nembo halisi ya Israel, hadi meza ya kuhutubia ya waziri mkuu wa sasa hivi imeandikwa jina hilo), Suleiman/Seleman nk. Remember hawa wote walikua wafalme/viongozi miaka ya nyuma sana kabla hata ya huyo unaemwita sijui Ottoman, hao walikuwepo enzi hizo, miaka zaidi ya 700 BC.
 
Unachanganya habar Ibrahim ni mwarabu sio muisraeli.Na Ibrahim katokea Iraq.
Yeye sio muisrael
Mkuu, sio kila aliyepo mashariki ya kati n mwarabu, historia ya waarabu wote inaanzia kwa Ibrahim, waarabu ni matokeo ya mtoto wa Ibrahim aliyezaa na house girl wake, nabii Ibrahimu alipiga copy na house girl then hao watoto wa house girl ndio wakafanya mataifa ya kiarabu, by history, Iran na Iraq sio waarabu, kasome tu historia ya kawaida kabisa sio ya kidini; hao Iraq na Iran of course hata Samaria (sasa Syria ) na Misry kihistoria sio waarabu, Uislamu ndio ulikuja kuwafanya kama kitu kimoja. Historia ya kawaida tu, sio ya kidini mkuu.
 
Mh mkuu umeenda viral sana.
Kwahiyo Iraq ni wayahudi???
Km umesema waarabu wametokan na Ibrahim kuzaa na house girl wake je house girl wake ametokea ktk chimbuko gani km siyo la uarabu????
Mkuu embu fanya reasoning vzuri.
 
Unaongea kwa minajili ya kibiblia kaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…