Taifa la Tanzania mikononi mwako Mungu

Acha itokee tu maana tunazidi kuteseka na hatuoni uelekeo
 
Unaelewa mleta mada anachomaanisha ila tu unajifanya mjuawaji.


Mpuuzi weee, ungeonyesha makosa yangu kwa hiki nilichokosoa ningekuona wa maana.

Maombi au dua kwa Mwenyezi mungu hayatakiwi yapingane yenyewe (self contradictory) mfano mtu anaomba pesa halafu anakiri kuwa anazo pesa ameshapewa na huyo anayemuomba!!,

Huyo ndugu anamuomba Mungu ashuke lakini katika maelezo yake chini anakiri kwamba Mungu kishashuka isitoshe anasema Mungu ni baba wa taifa la Tz chini anasema Baba wa taifa la Tz ni Nyerere, au wewe hukuona huu mkanganyiko??!!.

Usifikiri usomaji wako ni sawa na usomaji wa kila mtu, wengine usomaji wetu tunaangalia hadi nukta, we read between lines.
 
Yule Ticha alishasema taifa limeonywa mara mbili akiwa Dar, akiwa Mwanza wanaotakiwa kusikia na kutekeleza maagizo ya Mungu hawakutekeleza hii ni mara y amwisho so watu wasipoingia katika maombi/toba hakika kilio ki malangoni
Unaweza kuniwekea link nisome hiyo habari?
 
Nimekumbuka Kitabu Cha Maombolezo.🀣🀣🀣
 
Mlikuwa mkifurahia maovu enzi zile. Kibao kimegeuka. Wenzenu tunajazia Bando tu.
 
Yule Ticha alishasema taifa limeonywa mara mbili akiwa Dar, akiwa Mwanza wanaotakiwa kusikia na kutekeleza maagizo ya Mungu hawakutekeleza hii ni mara y amwisho so watu wasipoingia katika maombi/toba hakika kilio ki malangoni
Dua la kuku hili.
 
Haya ndio Maombi hata Mungu anapenda kusikia
 
Tunataka kuikabidhi Miungu Taifa letu? Kweli tutabaki salama? Kila dalili inaonyesha hivyo.....
 
Teacher yupi
Yule Ticha alishasema taifa limeonywa mara mbili akiwa Dar, akiwa Mwanza wanaotakiwa kusikia na kutekeleza maagizo ya Mungu hawakutekeleza hii ni mara y amwisho so watu wasipoingia katika maombi/toba hakika kilio ki malangoni
Alisema nini na wapi??
 
Mh hiyo paragraph ya sita πŸ€” ngoja waje watunza legacy 🚢🚢🚢🚢
 
Wazalendo uchwara!!
 
Daaah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila wee jamaa

 
Mungu Hana muda wa kujibu maombi ya wapumbavu Kama nyinyi na wahaini wenzio, taasisi ndio Ina jukumu la kuwashughulikia ipasavyo ikibidi kuvunja haki yenu ya kuishi hili Tanzania ibaki salama siku zote,

Mshashindwa hila zenu zote kenge nyinyi,Sasa mnamlilia miungu yenu ya kishirikina iwasaidie, na Bado!
 
Nyie ni matahila kweli! Yaani ndugai Ni mzalendo?????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…