Taifa la Tanzania mikononi mwako Mungu

Taifa la Tanzania mikononi mwako Mungu

Baba wa Mbinguni, mimi naomba tu usitishe uhai wa ccm ifikapo 2025!
Hili ni dua la kuku!.
Uhai wa CCM ukisitishwa hiyo 2025, taifa la Mungu Tanzania, ndio liwe chini ya nani?.
Sala na maombi ya the impossible ni sawa na kuomba muujiza wa CCM kuanguka, sala valid ni angeomba kwanza Mungu, kuipatia Tanzania chama mbadala chenye the ability, capacity and capabilities kuipumzisha CCM, ndipo uombe CCM i restishwe in peace!.
At the moment, Tanzania tunaendelea na kuiishi ukweli huu kuwa CCM itatawala milele!.
P
 
Naunga mkono hoja.
P
Wapuuzi hawa, Rais anapambana kuweka Nchi sawa,wao malalamiko hayaishi kwa kila jambo, kwa Tanzania hii hata aje Rais gani hawatoishi kulalama! nahisi Mungu ashushe malaika awe kiongozi labda, na haitotosha pia watamlaumu hata huyo malaika, kwa kifupi hawaeleweki wanataka nini siku zote.

Rais kajenga madarasa 12,000, miradi iliyoachwa anaiendeleza, karekebisha mahusiano ya kimataifa, karuhusu Uhuru wa wapuuzi kumtukana mitandaoni,maana magufuli hakuruhusu kabisa matahila yamtukane popote pale, alishajua hi mijitu haina jema dawa kuibana tu
 
Mungu muumbaji wa mbingu na nchi na vitu vyote vilivyo juu na nchi na chini ya bahari, mito na ziwa Naomba Ukatende kadiri ya mapenzi yako kwa taifa lako la Tanzania.
-AMEN
 
Hili ni dua la kuku!.
Uhai wa CCM ukisitishwa hiyo 2025, taifa la Mungu Tanzania, ndio liwe chini ya nani?.
Sala na maombi ya the impossible ni sawa na kuomba muujiza wa CCM kuanguka, sala valid ni angeomba kwanza Mungu, kuipatia Tanzania chama mbadala chenye the ability, capacity and capabilities kuipumzisha CCM, ndipo uombe CCM i restishwe in peace!.
At the moment, Tanzania tunaendelea na kuiishi ukweli huu kuwa CCM itatawala milele!.
P
Namkubali Sana Mh Rais wa Sasa namna anapambana walau kuweka nchi kwenye level kwa kuwa amerithi kipindi kigumu Sana.
Lakini changamoto iliyopo anaweza fight mfumo? maana hilo ndio lilimgeuza mtangulizi wake Hadi kuwa a Monster.
Kwa nini unasema hakuna Chama mbadala Cha kushika Dola nje ya CCM?, wakati mwingine binafsi nataman kuona upande B unaweza vipi kutuongoza.
Huoni USA wanavyo switch vyama
 
Kama kuna uovu umepangwa dhidi ya Watanzania na Tanzania, iwe kwa hila au kwa uwazi, hao waliopanga walaanike wao na vizazi vyao, na Mungu tunaomba, awaanike na uovu wao ukapate kuonekana, nao wakapate kuujutia.

Chama hiki, ambacho sasa kimekuwa kama kikundi cha kigaidi dhidi ya watanzania, kikivitumia vyombo vya dola, ni vema kikaangamia na kupotea maana uovu wake dhidi ya watu wako, umevuka mipaka ya kuvumilika.

Kama dola yenye nguvu, dola ya Kaizari, ilianguka na kuangamia, Mungu ukipenda, hakuna kinachoshindikana dhidi ya chama na dhidi ya Serikali inayotenda kama kikundi cha kigaidi dhidi ya wote wenye kupaza sauti zao.

Hakuna aliye mtanzania zaidi ya mwingine, tunamwomba Mungu wetu aliyetupatia nchi hii akawadhihirishie walio vipofu wa akili na waliopungukiwa hekima wanaowaza kwamba ukiwa kwenye chama fulani, ukiwa kiongozi katika serikali au vyombo vya ulinzi umekuwa binadamu na mtanzania zaidi ya wengine.
 
AMEN. Japo dua hili ni dua la kuku, ni Mungu ndiye huweka serikali za mataifa, ni Mungu ndiye alimleta JPM, hivyo JPM alikuwa ni chaguo la Mungu kwa Tanzania. Vivyo hivyo ni Mungu ndiye alimtwaa JPM na kumpangia kazi nyingine, na badala yake akatuletea Samia, hivyo Samia pia ndio chaguo la Mungu kwa Tanzania. Mungu hapangiwi, hupanga mwenyewe, hivyo hakuna sababu watu humu kuanza kuleta maombi ya dua la kuku!.
Kama Mungu amepanga ni amepanga!.
P
Hivi Nani kakuchanganya akili Hadi unajichanganya mwenyewe? Kwa hiyo kama hao unaowataja wamewekwa na Mungu na wamekengeuka watu wasiombe eti wakiomba wanaomba dua la Kuku? Mkristo gani usiyejua kuna viongozi waliwekwa madarakani Kwa baraka za Mungu lakini walipokengeuka watu wakaomba Mungu akasikia kilio chao na kuwafulusha madarakani? Hujawahi kumsikia Mfalme Sauli (Mpakwa mafuta) ambaye Mungu muumba Mbingu na nchi alifikia kujilaumu kumpa ufalme? Wewe ni Nani Hadi uanze kupangia watu jinsi ya kuwasiliana na Muumba wao?
 
Kama kuna uovu umepangwa dhidi ya Watanzania na Tanzania, iwe kwa hila au kwa uwazi, hao waliopanga walaanike wao na vizazi vyao, na Mungu tunaomba, awaanike na uovu wao ukapate kuonekana, nao wakapate kuujutia.

Chama hiki, ambacho sasa kimekuwa kama kikundi cha kigaidi dhidi ya watanzania, kikivitumia vyombo vya dola, ni vema kikaangamia na kupotea maana uovu wake dhidi ya watu wako, umevuka mipaka ya kuvumilika.

Kama dola yenye nguvu, dola ya Kaizari, ilianguka na kuangamia, Mungu ukipenda, hakuna kinachoshindikana dhidi ya chama na dhidi ya Serikali inayotenda kama kikundi cha kigaidi dhidi ya wote wenye kupaza sauti zao.

Hakuna aliye mtanzania zaidi ya mwingine, tunamwomba Mungu wetu aliyetupatia nchi hii akawadhihirishie walio vipofu wa akili na waliopungukiwa hekima wanaowaza kwamba ukiwa kwenye chama fulani, ukiwa kiongozi katika serikali au vyombo vya ulinzi umekuwa binadamu na mtanzania zaidi ya wengine.
🤣🤣🤣🤣kweli
 
AMEN. Japo dua hili ni dua la kuku, ni Mungu ndiye huweka serikali za mataifa, ni Mungu ndiye alimleta JPM, hivyo JPM alikuwa ni chaguo la Mungu kwa Tanzania. Vivyo hivyo ni Mungu ndiye alimtwaa JPM na kumpangia kazi nyingine, na badala yake akatuletea Samia, hivyo Samia pia ndio chaguo la Mungu kwa Tanzania. Mungu hapangiwi, hupanga mwenyewe, hivyo hakuna sababu watu humu kuanza kuleta maombi ya dua la kuku!.
Kama Mungu amepanga ni amepanga!.
P
Kuelewa maandiko kunahitaji hekima ya kiMungu au ya kiroho. Ni vipofu wa maandiko na neno la Mungu wanaoshindwa kupata tafsiri sahihi ya neno lile kuwa waheshimuni wenye mamlaka maana mamlaka yao yametoka kwa Mungu. Hao waliopungukiwa hekima ya Mungu, hata wakiambiwa waue, kwa kukosa hekima ya Kimungu watasema nimeambiwa na mwenye mamlaka, yanibidi niue, wakiambiwa íba nipelekee pesa hiyo kwa familia yangu, watadai wanatakiwa kutii.

Mungu ana utawala wake na shetani ana utawala wake. Mamalaka yaliyotoka kwa Mungu yapo na yanatekelezwa kupitia watawala wake na siyo watawala wa shetani.

Shetani ni mtawala, ana milki yake Duniani, ana watawala wasaidizi wake hapa Duniani, ana watendaji wake, na wapo wamwabudio kwa matendo na kauli zao. Hawa wote ni kinyume cha mapenzi ya Mungu. Mtu wa Mungu hastahili kuwatii maana akiwatii, naye anakuwa chini ya milki ya shetani.

Watu wa Mungu jitengeni na tawala za kishetani maana mtashiriki katika uovu wao, na mnaweza kutumika kama mikono ya kutendea uovu.
 
AMEN. Japo dua hili ni dua la kuku, ni Mungu ndiye huweka serikali za mataifa, ni Mungu ndiye alimleta JPM, hivyo JPM alikuwa ni chaguo la Mungu kwa Tanzania. Vivyo hivyo ni Mungu ndiye alimtwaa JPM na kumpangia kazi nyingine, na badala yake akatuletea Samia, hivyo Samia pia ndio chaguo la Mungu kwa Tanzania. Mungu hapangiwi, hupanga mwenyewe, hivyo hakuna sababu watu humu kuanza kuleta maombi ya dua la kuku!.
Kama Mungu amepanga ni amepanga!.
P
Kwa hiyo, hakuna suala la shetani kuwaghiribu wanadamu wamuasi Mungu, siyo? Kwamba, Mungu ndiye upanga wanadamu wamuasi, ama?

Mkuu au kuna kitu unataka kutuficha?
 
Mleta mada asibezwe kwa Sababu kiusalama Rais wa Nchi akifia madarakani Nchi huwekwa kwenye Hali ya hatali kwa miaka miwili ingawa Wananchi Huwa hawaambiwi.Hivo lolote linawezekana mhimu tuliombee Taifa letu lipite salama katika kipindi hiki kigumu.Pia ukiangalia vizuri ni kweli Nchi inapitia wakati mgumu Sana Yani kwa kipindi kisichozidi mwaka mmoja mihimili miwili imeshatikisika je hii ni Hali ya kawaida?Ni kweli MUNGU WA MBINGUNI alikumbuke Taifa letu tunapitia pagumu ,lakini tutatoka salama kwa Neema yake.
 
Wapuuzi hawa, Rais anapambana kuweka Nchi sawa,wao malalamiko hayaishi kwa kila jambo, kwa Tanzania hii hata aje Rais gani hawatoishi kulalama! nahisi Mungu ashushe malaika awe kiongozi labda, na haitotosha pia watamlaumu hata huyo malaika, kwa kifupi hawaeleweki wanataka nini siku zote.

Rais kajenga madarasa 12,000, miradi iliyoachwa anaiendeleza, karekebisha mahusiano ya kimataifa, karuhusu Uhuru wa wapuuzi kumtukana mitandaoni,maana magufuli hakuruhusu kabisa matahila yamtukane popote pale, alishajua hi mijitu haina jema dawa kuibana tu
Wewe Chawa wa Mkojan acha kutufokea! Kwa nini na wewe usifanye maombi basi ili huyo Mkojan wako aishi miaka 200?

Eti kajenga madarasa 12,000! Pumbavu!! Umeshawahi kuona mtoto wa Mwanasiasa yoyote yule akisoma kwenye hizo shule zenye walimu wanao dharauliwa bila sababu mpaka na Madiwani wenu vilaza wanaojua kusoma na kuandika tu?

Unajenga madarasa 12,000 huku walimu wa kufundisha wakiwa mtaani kwa zaidi ya miaka 6 sasa wakiwa hawaja ajiriwa! Hopeless kabisa wewe.

Halafu aliye kudanganya ni nani kwamba wakati wa utawala wa dikteta wako uchwara tulikuwa hatumkosoi? Umezaliwa mwaka 2021, au?
 
Mungu Hana muda wa kujibu maombi ya wapumbavu Kama nyinyi na wahaini wenzio, taasisi ndio Ina jukumu la kuwashughulikia ipasavyo ikibidi kuvunja haki yenu ya kuishi hili Tanzania ibaki salama siku zote,

Mshashindwa hila zenu zote kenge nyinyi,Sasa mnamlilia miungu yenu ya kishirikina iwasaidie, na Bado!
Wewe kunguni umepaniki mpaka basi! Unaogopa kurudi Kojan kwenda kuendelea na shughuli yako ya awali ya kukamata Kasa na kuwauzia Wakojan wenzako?
 
Nilishangaa mkuu wa majeshi anasisitiza kuwa njaa ikitokea amani hutoweka!!nikajua kuna Jambo!!
Usitafsiri tofauti anahimiza JKT kuongeza uzalishaji wa mazao, na ukizingatia tumetoka kwenye ukame na hii February inapoingia na hizi mvua basi kilimo kisipuuzwe uzalishaji uongezeke, sema sababu ya kubeba hisia zako ndio unamlisha maneno CDF.
 
AMEN. Japo dua hili ni dua la kuku, ni Mungu ndiye huweka serikali za mataifa, ni Mungu ndiye alimleta JPM, hivyo JPM alikuwa ni chaguo la Mungu kwa Tanzania. Vivyo hivyo ni Mungu ndiye alimtwaa JPM na kumpangia kazi nyingine, na badala yake akatuletea Samia, hivyo Samia pia ndio chaguo la Mungu kwa Tanzania. Mungu hapangiwi, hupanga mwenyewe, hivyo hakuna sababu watu humu kuanza kuleta maombi ya dua la kuku!.
Kama Mungu amepanga ni amepanga!.
P
Samia hakuletwa na Mungu. Samia aliletwa na CCM walipokubali awe mgombea mwenza ambaye anakuwa Makamu wa Rais ambaye anakuwa Rais in case Rais anashindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu yoyote ile.

Tatizo la CCM hawakufikiria kote huko ndiyo maana sasa hivi wanalalamika hawataki kuongozwa na mwanamke.
 
Back
Top Bottom