Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
utakua kilaza mpaka kufa kwako, hv viongozi wote wa NEC wanachaguliwa na mwenyekiti wa ccm upinzani unawezaje kushinda hata tukiwapigia kura mijizi ccm inaiba, inateka watu na kuwaua wengine bila huruma. Wakati mwingine kabla hujaandika jitafakari unatia watu hasira.Vyama vya upinzani vilivyopo ni maswahiba wa CCM na hawana nia thabiti ya kuiondoa CCM madarakani.
Wananchi wameichoka CcM na wanataka mabadiliko.
CCM ilishawadharau wananchi na kuwaona wajinga . Lakini wananchi walishabumburuka.
Hakuna useriousness wa kupata katiba mpya itayozaa tume huru ya uchaguzi. Kuna ngonjera na maigizo tu.
Wewe chakwako kiko wapi ?Sajili cha kwako tukione.
Ingia upinzani uone! Not that much easy as you think behind keyboard. Wapinzani hadi uhai wamepoteza, achilia mbali majeraha ya risasi za moto lakini CCM bado ipo palepale.Vyama vya upinzani vilivyopo ni maswahiba wa CCM na hawana nia thabiti ya kuiondoa CCM madarakani.
Wananchi wameichoka CcM na wanataka mabadiliko.
CCM ilishawadharau wananchi na kuwaona wajinga . Lakini wananchi walishabumburuka.
Hakuna useriousness wa kupata katiba mpya itayozaa tume huru ya uchaguzi. Kuna ngonjera na maigizo tu.
Upinzani wanasuppport serikali ya sasa.
Ndio wananchi tujue kuwa kinachowasukuma wapinzani kufanya siasa ni mambo binafsi na wala sio kwa manufaa ya wananchi.
Hizo kelele za katiba mpya ni kujitengenezea tu mazingira ya kushika dola ili nao wajibinafsishie mali za uma.
Wananchi tusipokuwa makini hawa wanasiasa watatupindua pindua kama chapati.
Kama nimekuelewa vizuri unamaanisha katiba ya sasa inaruhusu watu kujilimbikizia mali!Upinzani wanasuppport serikali ya sasa.
Ndio wananchi tujue kuwa kinachowasukuma wapinzani kufanya siasa ni mambo binafsi na wala sio kwa manufaa ya wananchi.
Hizo kelele za katiba mpya ni kujitengenezea tu mazingira ya kushika dola ili nao wajibinafsishie mali za uma.
Wananchi tusipokuwa makini hawa wanasiasa watatupindua pindua kama chapati.
Sijalalamika kama wewe na wenzako.Wewe chakwako kiko wapi ?
Umeelewa swali?Nahisi anazungumzia upinzani huu
View attachment 2174273
View attachment 2174274
View attachment 2174276
View attachment 2174277