Taifa limeingizwa kwenye mtego wa chuki kubwa

Taifa limeingizwa kwenye mtego wa chuki kubwa

Piga hao ccm stars 3-0 siwezi kushangilia UNAFIKI mie. Sikutegemea KAMWE kuja kuandika haya niliyoyaandika lakini huyo nduli, dikteta na MUUAJI wa Ikulu ndiyo katufikisha hapa.
Kawafikisha wapi?

Alafu stars ikifungwa ndio chadema mnapata tiketi ya kwenda ikulu?

Na kama wewe siyo nyumbu ainisha makosa yaliyofanywa na selikali kwa stars!
 
[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25] nayatambua maumivu ya wengi
Mshana Jr, twambie hasa kosa la selikali kwa stars ni lipi? Kipi hasa kimefanywa na selikali ambacho kimewaudhi watu.hasa chadema.
 
Viongozi tuliowaamini hawapo upande wetu tena,kauli zao hazina staha zimejaa kebehi,jeuri na dharau.

Pamoja na kwamba hata wao walikua raia wa kawaida cha ajabu hawakumbuki walikotoka na wanasahau kua cheo ni dhamana.

Viongozi hawashauriki mtu hata akiongea jambo jema tu ataambiwa ni mchochezi. Raia mioyoni wana majeraha
 
Taifa star juu juu zaidi.
FB_IMG_1561655475607.jpeg
 
Furaha yangu iyo timu ipingwe mechi zote Harambee star nipeni raha jamani naombeni sana
 
Mgawanyiko wa Watanzania kuhusiana na mechi ya stars upo humu Jamiiforums peke yake.

Member wenyewe wa JF sidhani Kama hata nusu ya robo ya Watanzania wanafika hapohapo Kuna murtiple ID.

Japo dogo DAB ni live anazingua ila siwezi nikaichukia Taifa stars kisa yeye.Kwa sababu DAB sio Taifa stars.
Hujui unachokiongea kwa sababu wewe ni idiot embacile. Kilichoko JF kinareflect mitaani kulivyo.
 
Alafu ukiwa na chuki zisizo na sababu hasa nyie wana jf mtakufa mapema san
 
Algeria mkimaliza kazi ya Leo njooni mjipigie CCM FC
 
Back
Top Bottom