chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Nyie ni wachache kati ya watanzania zaid ya million 55 tunayoiombea taifa stars ishinde na itashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuki hii wanayowajinga wa chache sana, na hao hawawezi kukosekana katika watu mil. 50Hujui unachokiongea kwa sababu wewe ni idiot embacile. Kilichoko JF kinareflect mitaani kulivyo.
Tangu lini ushindi wa timu ya taifa ukaletwa na chama? Tuambieni jinsi ccm ilivyochangia taifa stars kuishinda Uganda!Wapi ambapo stars imefanywa ya ccm? Yani selikali kuwatia watu hamasa ndio kuwa ya ccm?
Mbona unaongea kama mtoto mdogo?Tangu lini ushindi wa timu ya taifa ukaletwa na chama? Tuambieni jinsi ccm ilivyochangia taifa stars kuishinda Uganda!
Sidhani kama una kiwango cha chini cha ufuatiliaji mambo kiasi hicho. Kwamba hujamsikia kiongozi wa ccm akisema hayo?Mbona unaongea kama mtoto mdogo?
Twambie ccm kama ccm ilijihusisha lini na stars? Mbona mm nawaona viongozi wa selikali wakiwatia moyo wachezaji na siyo ccm?
Weka ushahidi! Huyo kiongozi wa ccm hana jina? Kasemaje?Sidhani kama una kiwango cha chini cha ufuatiliaji mambo kiasi hicho. Kwamba hujamsikia kiongozi wa ccm akisema hayo?
Acha tufungwe hizo zingine lakini sio kwa hawa walala hoi majiraniAtawapa na Algeria??? [emoji23][emoji23], ccm stars lazima ichezee kichapo cha mbwa koko, wakijitutumua kwa wanyama, Algeria anakuja kumaliza kazi,.
Karibu Sky Eclat. Halafu vile akina Diamond, Ben Pol, Ali Kiba wamekuja Kenya mimi nataka nije kwenu. Kitamaduni mahari Mnakubali ng'ombe ngapi?
Kenya goaaaalllllllYani Bavicha kutaka stars ifungwe ili makonda aaibike ndio unasema ni watanzania?
Chadema ni wapumbavu, siyo wote Lakin wengi wao ni wapumbavu. Sasa unajiuliza stars ikifungwa ndio watakuwa wameingia ikulu ama?
Wajinga wa chache humu mitandaoni wasikutishe, huku uraiani stars inasapoti kubwa sana.
Kabila langu jogoo wa shemeji blanket la bibi, kitenge cha shangazi khanga za mama mdogo, mbuzi na ndoo ya pombe ya mnazi vimetosha.Karibu Sky Eclat. Halafu vile akina Diamond, Ben Pol, Ali Kiba wamekuja Kenya mimi nataka nije kwenu. Kitamaduni mahari Mnakubali ng'ombe ngapi?
Hadi dakika hii team uzalendo wana hali hiiView attachment 1140445
Hii chuki waliianzisha wenyewe watawala . sisi tunaimalizia .Mungu ibariki Harambee Stars . japo mm ni mtanzania
wengi tunaenda kuangalia migoli mingapi stars inafungwaChuki hii wanayowajinga wa chache sana, na hao hawawezi kukosekana katika watu mil. 50
Lkn kwa taarifa yako stars ina sapoti kubwa sana. Ukitaka kuamini baadae nenda kwenye kibanda chochote cha Mpira alafu utajiona ni jinsi gani ulivyo mjinga kushakia Kenya
😂 😂 😂Kabila langu jogoo wa shemeji blanket la bibi, kitenge cha shangazi khanga za mama mdogo, mbuzi na ndoo ya pombe ya mnazi vimetosha.
Ukifika pia Chunguza ni watanzania wangapi ni wajinga wa kumshabikia Kenya hapo kibandaniwengi tunaenda kuangalia migoli mingapi stars inafungwa
Ni yeyote lakini ni kwaajili ya shemeji huko ukweni.😂 😂 😂
Mbona Si jogoo yeyote ama kitenge chochote ama khanga lolote tu? 😂
Hivi wewe Sky Eclat una miaka ngapi?Ni yeyote lakini ni kwaajili ya shemeji huko ukweni.
😂😂😂 ask me this over a drink probably vodka blood mary cocktail 🍹Hivi wewe Sky Eclat una miaka ngapi?