Taifa limeingizwa kwenye mtego wa chuki kubwa

Piga hao ccm stars 3-0 siwezi kushangilia UNAFIKI mie. Sikutegemea KAMWE kuja kuandika haya niliyoyaandika lakini huyo nduli, dikteta na MUUAJI wa Ikulu ndiyo katufikisha hapa.
Kawafikisha wapi?

Alafu stars ikifungwa ndio chadema mnapata tiketi ya kwenda ikulu?

Na kama wewe siyo nyumbu ainisha makosa yaliyofanywa na selikali kwa stars!
 
[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25] nayatambua maumivu ya wengi
Mshana Jr, twambie hasa kosa la selikali kwa stars ni lipi? Kipi hasa kimefanywa na selikali ambacho kimewaudhi watu.hasa chadema.
 
Viongozi tuliowaamini hawapo upande wetu tena,kauli zao hazina staha zimejaa kebehi,jeuri na dharau.

Pamoja na kwamba hata wao walikua raia wa kawaida cha ajabu hawakumbuki walikotoka na wanasahau kua cheo ni dhamana.

Viongozi hawashauriki mtu hata akiongea jambo jema tu ataambiwa ni mchochezi. Raia mioyoni wana majeraha
 
Furaha yangu iyo timu ipingwe mechi zote Harambee star nipeni raha jamani naombeni sana
 
Makosa ya serikali ni pamoja na kufuga illerates kama wewe!
Huna hoja mkuu, wote mnaoibeza stars kisa selikali kuhamasisha watu kuisapoti nawaona ni wapumbavu sana.
 
Hujui unachokiongea kwa sababu wewe ni idiot embacile. Kilichoko JF kinareflect mitaani kulivyo.
 
Alafu ukiwa na chuki zisizo na sababu hasa nyie wana jf mtakufa mapema san
 
Algeria mkimaliza kazi ya Leo njooni mjipigie CCM FC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…