Kuitana hawezi kuwa na muda wa kufatilia ushenzi kama huo, na hata huyu anaezungumziwa ni sawa kijakazi wake tu.Sasa mimi nasubiri msimu nikanunue alizeti Burundi au Singida mwezi wa tano, niweke vijunia vyangu 20 nasubiri kuuza mwezi wa 11 au 12 bei imepanda mara mbili huyo jamaa nitamjulia wapi? Halafu anasema C.E. O roundtable hivi mtu kama Kitana wa mwanza anajua hiyo roundtable inajishughulisha na nini?
Achen ujinga wa kumaliza tu shule twenu huna hata mbele wala nyuma unataka watu wakuchangie ufanye harus kubwa,na ukimaliza hyo harusi unaanza kupiga miayo kama mbwa hata kutafuta hela ya sabuni jero tu huwez,nyambafu
Tena wenye hz tabia ni nyie wenye ushamba wa ku ma unakuta mmezijua ukubwan
Uelewa wako umeishia hapo ulivyoelewa ndo hivyo ..Mtu akimuhonga mtuwe pia mna mind? Watu humu mbona mna makasiriko Sana...ulitaka akuhonge ww?
Jibu ni kwamba hatutaki kuchangia masikini,kama huna kitu tuliza mku nduUmeulizwa, wakati wewe unaolewa ulimkuta jamaa kajipanga kama huyu anaezungumziwa hapa kwenye thread?
Badala ya kujibu unaanza blah blah, au ndo njia uliyoichagua kuhimiza vijana watafute pesa?
Hautaki wewe na nani sasa? Au unamaanisha wewe na hiyo bwanako tajiri?Jibu ni kwamba hatutaki kuchangia masikini,kama huna kitu tuliza mku ndu
Sitaki mimi na huyo shemeji yako unaemtegemea kwa kila kitu,atakuja kuwaoa wewe na dada ako mmuzalie mapachaHautaki wewe na nani sasa? Au unamaanisha wewe na hiyo bwanako tajiri?
Nampongeza sana kwakupata mwanamke mchumi na kwenye uchungu na pesa zake kama wewe.Mungu anisaidie nimpate kama wewe.
Taifa starsTaifa lipi?
Mbona unalazimisha watu wamjue aisee, wakati watu wa familia yake Wana mjua, na hii ndoa ya promotion kudumu itakuwa kudra za meenyezi MunguKila siku mnatafuta connection za kutoka bongo
Hii ni sababu bongo katika kutoka ni lazima uwe na connection kwa namna moja au nyingine...watu wengi wanaofanya cooprerate kuwajua ni rahisi sana kutoka kimaisha
Unaacha kuwajua watu kama kina Gilsant, unawajua kina irene Paul halafu unasema bongo mchongo haupati baki hivyo hivyo [emoji23]
vipi we umeolewa ?kama hapana nilete mahariHongera mleta mada kwa kuoa
huu mwandiko ni wa Lucy mwenyewe,wanajipromoteMbona unalazimisha watu wamjue aisee, wakati watu wa familia yake Wana mjua, na hii ndoa ya promotion kudumu itakuwa kudra za meenyezi Mungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vipi we umeolewa ?kama hapana nilete mahari
Twitter ya sikuhizi heri hata Instagram
[emoji23][emoji23]ndoa mpya inawawehusha Hawa, wanaumiza ma ex waohuu mwandiko ni wa Lucy mwenyewe,wanajipromote
Ni ujinga wa hali ya juu kuweka maisha yenu personal mitandaoni.Twitter ya sikuhizi heri hata Instagram
,,🥰🥰🥰[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]