Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Leo hii mgao wa umeme umekuwa kero kwa taifa letu kiasi cha kuporomosha uchumi wa wananchi lakini mnachukulia poa.
Hiyo kampuni ya Mahindra group iliposaini mkataba wa bil 78 kuiboresha TANESCO mbona haijaboresha?
Bunge linapitisha kuwa serikali ikope tril 10. Halafu zinakopwa tril 15 bila idhini ya bunge. Hamuoni kuwa wahuni wanatuumiza?
Tokea tumepata uhuru. Taifa letu kwa ujumla hatukuwahi kupata raisa aliyekuwa tayari kuweka kipaumbele katika kupambana na majanga. Hata magari ya zimamoto mpaka sasa hivi hayapo baadhi ya wilaya. Ndio mumbebeshe mzigo Kassim?
Tunajua ni mkakati wa 2025 wa wahuni wapigaji wa CcM
Hiyo kampuni ya Mahindra group iliposaini mkataba wa bil 78 kuiboresha TANESCO mbona haijaboresha?
Bunge linapitisha kuwa serikali ikope tril 10. Halafu zinakopwa tril 15 bila idhini ya bunge. Hamuoni kuwa wahuni wanatuumiza?
Tokea tumepata uhuru. Taifa letu kwa ujumla hatukuwahi kupata raisa aliyekuwa tayari kuweka kipaumbele katika kupambana na majanga. Hata magari ya zimamoto mpaka sasa hivi hayapo baadhi ya wilaya. Ndio mumbebeshe mzigo Kassim?
Tunajua ni mkakati wa 2025 wa wahuni wapigaji wa CcM