Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #21
Mbona viongozi wa dini wakishiriki mikutano ya Ccm hamsemi?Uyo sio Askofu wa kanisa ni Askofu wa Chadema.
Maaskofu wa Mungu wapo kwenye madhabahu wanaubiri maneno matakatifu ya Mungu.
Kama ni kupaza sauti mpaze Chadema na sio watanzania wote.
Dhehebu la babako na mamako hivi kwa nini ujishtukii mgese baridi wewe.Ni askofu wa dhehebu gani?
Watanzania tunaonekana makondoo sana kwasababu ya uoga wetu, chakushangaza zaidi tumefikia hatua ya kumshangaa mtu anaepigania haki zetu, siku tukiamka kwa umoja wetu tutalikomboa hili taifa.
Pumbavu we mbwa huna akili.
Hilo lake ni mojawapo ya hayo matatizo tuliyonayo.Usishirikishe Taifa kwenye ujinga.Mamakula ajitetee mwenyewe tuna matatizo mengi sana hayo ajinasue tu
Na wale waliompa jiwe tuzo ya kumaliza koona.Mbona viongozi wa dini wakishiriki mikutano ya Ccm hamsemi?
Aibu kubwa sana !Nchi za madictator kudai katiba ni kosa, ila kutaka dictator aongezewe muda wa madarakani kinyume na katiba ni sawa.
Nchi hawezi kuandelea kama tunaishi na wapumbavu kama hawaUyo sio Askofu wa kanisa ni Askofu wa Chadema.
Maaskofu wa Mungu wapo kwenye madhabahu wanaubiri maneno matakatifu ya Mungu.
Kama ni kupaza sauti mpaze Chadema na sio watanzania wote.
Hamia sayari ya Mars mkuu huko utengeneze watu watakao kuwa na mawazo Kama yako nadhan mtaendelea sanaNchi hawezi kuandelea kama tunaishi na wapumbavu kama hawa
Ona linavyowaza kipuuzi, ndiyo maana hamna mnachojua zaidi ya kupiga makofiHamia sayari ya Mars mkuu huko utengeneze watu watakao kuwa na mawazo Kama yako nadhan mtaendelea sana
Wewe unajua nini zaidi??Ona linavyowaza kipuuzi, ndiyo maana hamna mnachojua zaidi ya kupiga makofi
Hiyo ya Masheikh futa kabisa.Hatutawaunga mkono kwa hili.Kwanza waachiwe huru wale Masheikh wetu wa uamsho halafu ndiyo tuandamane pamoja.
Mwamakula aaliikosa mimba ya katimba wakati wa kampeni?Pumbavu we mbwa huna akili.
Nyinyi waelevu Chadema mnamaendeleo yapi,makao makuu ya Ufipa bati zinavuja,ofisi aina hata choo,ruzuku anakula Mbowe mmiliki wa chama.Nchi hawezi kuandelea kama tunaishi na wapumbavu kama hawa